Mkuu ebu toka nje uchungulie kwanza kama nyumba yako haijazungukwaCCM NI MASHETANI NA MAUAJI HAYO,,, IPO SIKU TUTAFANYA MAPINDUZI TU NGOJA AMUWEKE MKUU WA MAJESHI MSUKUMA MUONE
Kweli kabisa mkuu hapa duniani ni mapito tu na kwa mungu hakuna mjanja wala mbabeKwenye wasia huo kuna ujumbe mzito sana. Soma vizuri katikati ya mistari. Dunia tunapita tu. Mtendee wema mwenziyo kama wewe ambavyo ungependa utendewe.
Laana ipo juu yenuCha muhimu ni kuoshwa, kuvikwa sanda,kuswaliwa na kuzikwa, Mengine asitupangie, apumzike kwa amani.
Mnafik ni neno la kiarabu, lenye maana ya kauli isio thabiti au mtu anae badilisha kauli au mtu mwenye kutoa ndimi zaidi ya 1CCM ni wanafiki sana
Walishirikiana hawa akina Mkapa kuendelea kumtenga Mzee Jumbe
Leo kafa watajifanya wanamjua kwa saaana
Wanafiki wakubwa hawa
Kwani walimfanyaje?Walimfanyia Mzee wa watu mbaya sana
Kumbe nimepatiaMnafik ni neno la kiarabu, lenye maana ya kauli isio thabiti au mtu anae badilisha kauli au mtu mwenye kutoa ndimi zaidi ya 1
asikupangie ww nan kwenye familia?muache Na maamuzi yake,haupaswi kumuingilia mtu kwenye maamuzi.Cha muhimu ni kuoshwa, kuvikwa sanda,kuswaliwa na kuzikwa, Mengine asitupangie, apumzike kwa amani.
Kuna literally na technically mi nimejibu technically kafiri ni yeyote asiye kuwa muislamKafir ni neno la kiarabu lenye maana ya neno "kukataa"
Mzee kumbe alikuwa mkweli sana.Nimeandikaa aliwatoaa resi serikiliopitaa waliposikiaa anaumwa akaaomba wanaetuwtunze MPAKA mwisho naamin ataheshimika