Mzee Jumbe ausia asizikwe Kiserikali

Mzee Jumbe ausia asizikwe Kiserikali

Wosia uheshimiwe kama kweli aliuandika yeye mwenyewe
Itikadi zote ziwekwe pembeni.
 
CCM NI MASHETANI NA MAUAJI HAYO,,, IPO SIKU TUTAFANYA MAPINDUZI TU NGOJA AMUWEKE MKUU WA MAJESHI MSUKUMA MUONE
Kauli kama hii ni hatari kwako binafsi. Wakati mwingine ni bora ukae kimya kuliko kutoa kauli hatarishi kama hii. Mwombee marehemu basi yatosha.
 
Niliyoyasikia kuhusu aliyofanyiwa enzi za uhai wake...uum (sijui kama ni kweli au ni uzushi).
kweli wala sio uzushi ndo maana kawapa kubwa wanafki wote
Kwenye wasia huo kuna ujumbe mzito sana. Soma vizuri katikati ya mistari. Dunia tunapita tu. Mtendee wema mwenziyo kama wewe ambavyo ungependa utendewe.
sana tu nimesoma hapa natafakari haswaa!
 
Kwenye wasia huo kuna ujumbe mzito sana. Soma vizuri katikati ya mistari. Dunia tunapita tu. Mtendee wema mwenziyo kama wewe ambavyo ungependa utendewe.

Mkuu kwa jinis like jaamaa harina akiri,litaweka wasukuma kila sehemu.
Wasukuma watu powa sana lakni napingana upendeleo wa kabila rorote ndani ya nchi hii.

Mwache aingie kingi.
 
Ndio sehemu za ccm kujipatiaga umatufu usio na tija
Toa ukafir wako hapa, nani anatakaga umaarufu msibani kama sio machadema,kwa mzee Kisena mlivaa manguo meusi na mamiwani myeusi na kudai mwende msafara ha ha ha na nywele nyeupe na mwenyekiti wa maisha alikuwepo! Umesahau!
 
Toa ukafir wako hapa, nani anatakaga umaarufu msibani kama sio machadema,kwa mzee Kisena mlivaa manguo meusi na mamiwani myeusi na kudai mwende msafara ha ha ha na nywele nyeupe na mwenyekiti wa maisha alikuwepo! Umesahau!
Nayani haoni kundule je unakumbuka Lowassa alizuiliwa asifiki kwenye mazishi kule usangi upareni Mwanga unajua nikwanini lakini
 
Back
Top Bottom