MNFUMAKOLE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2014
- 1,400
- 1,706
Dkt. Slaa nakusalimu kwa jina la Bwana wetu Yesu kristo. Naami uko mzima na unaendelea vizuri na uwakilishi wa nchi yetu huko uliko,
Bila shaka unajua na unafatilia jinsi kampeni zinavyoendelea huku!!
Natamani Sana kusikia au kusoma maoni yako kuhusu kampeni zinavyoenda huku! Ujengaji wako wa hoja ndio ulionishawishi hadi nikawa mpenzi wa siasa!
Natamani Sana kusikia maoni yako, kuhusu kijana wako Tundu Lisu!
Unasemaje kuhusu familia ya Mwl kumkaribisha Tundu Lisu nyumbani kwao?? unalisemeaje hili?
Tafadhali mzee wangu, sema japo kidogo! tusahau ya mwaka 2015! Hata mimi sikufurahi jinsi ilivyotokea!
Kwani wewe tayari ulishakuwa funguo za kufungulia kufuli.
Bila shaka unajua na unafatilia jinsi kampeni zinavyoendelea huku!!
Natamani Sana kusikia au kusoma maoni yako kuhusu kampeni zinavyoenda huku! Ujengaji wako wa hoja ndio ulionishawishi hadi nikawa mpenzi wa siasa!
Natamani Sana kusikia maoni yako, kuhusu kijana wako Tundu Lisu!
Unasemaje kuhusu familia ya Mwl kumkaribisha Tundu Lisu nyumbani kwao?? unalisemeaje hili?
Tafadhali mzee wangu, sema japo kidogo! tusahau ya mwaka 2015! Hata mimi sikufurahi jinsi ilivyotokea!
Kwani wewe tayari ulishakuwa funguo za kufungulia kufuli.