Uchaguzi 2020 Mzee Dkt. Slaa popote ulipo

Dkt. Slaa nakusalimu kwa jina la Bwana wetu Yesu kristo. Naami uko mzima na unaendelea vizuri na uwakilishi wa nchi yetu huko uliko,

Bila shaka unajua na unafatilia jinsi kampeni zinavyoendelea huku!!

Natamani Sana kusikia au kusoma maoni yako kuhusu kampeni zinavyoenda huku! Ujengaji wako wa hoja ndio ulionishawishi hadi nikawa mpenzi wa siasa!

Natamani Sana kusikia maoni yako, kuhusu kijana wako Tundu Lisu!

Unasemaje kuhusu familia ya Mwl kumkaribisha Tundu Lisu nyumbani kwao?? unalisemeaje hili?

Tafadhali mzee wangu, sema japo kidogo! tusahau ya mwaka 2015! Hata mimi sikufurahi jinsi ilivyotokea!

Kwani wewe tayari ulishakuwa funguo za kufungulia kufuli.
Aseme nini wakati ansjivunia kuona kijana wake akizitumia vyema silaha alizomkabidhi?
 
Kwani wabunge na madiwani kupita bila kupingwa, tatizo ni la Cdm ?!. Hivi watu wengine mmepigwa upofu siyo ?! . Misungwi madiwani wote na mbunge wamepita bila kupingwa . Tatizo ni la Cdm kweli ?!. Ukweli mnauona lawama mnarusha kwingine. Shame
Mbona unapayuka.halafu hatuna mtanzania anayeitwa odhiambo mind your own business
 
Mbona unapayuka.halafu hatuna mtanzania anayeitwa odhiambo mind your own business
Mtu ambaye hawezi kufanya mkutano wa hadhara na kushinda kutwa anasumbua wananchi kwenye miji na vijiwe vyao anaambiwa anafanya campaign ya kisayansi.. UVCCM mnajua kupeana moyo
 
Dkt. Slaa nakusalimu kwa jina la Bwana wetu Yesu kristo. Naami uko mzima na unaendelea vizuri na uwakilishi wa nchi yetu huko uliko,

Bila shaka unajua na unafatilia jinsi kampeni zinavyoendelea huku!!

Natamani Sana kusikia au kusoma maoni yako kuhusu kampeni zinavyoenda huku! Ujengaji wako wa hoja ndio ulionishawishi hadi nikawa mpenzi wa siasa!

Natamani Sana kusikia maoni yako, kuhusu kijana wako Tundu Lisu!

Unasemaje kuhusu familia ya Mwl kumkaribisha Tundu Lisu nyumbani kwao?? unalisemeaje hili?

Tafadhali mzee wangu, sema japo kidogo! tusahau ya mwaka 2015! Hata mimi sikufurahi jinsi ilivyotokea!

Kwani wewe tayari ulishakuwa funguo za kufungulia kufuli.
Anatamani angekuwa yeye ndiye Lissu. Ineshapita hiyo ikienda hairudi aendelee na maisha yake amalize uzee wake salama.

Tunashukuru alitupa ujasiri wa kukilinda chama hadi leo tumenawili tena.
 
Dr. Slaa inaonekana anamkubali sana Lissu. na kama kweli yeye husimamia ukweli na kwa kuwa Lowasa hayupo tena CDM.. basi mzee atangaze kumuunga mkono Lissu
Thubutuu... kwa tonge alilonalo mdomoni hathubutu kufungua kinywa!!
 
Anatamani mno ku-comment sababu ni member hapa ila hawezi kufanya hivyo sababu asije akakiwekea mchanga kitumbua chake!! nafikri atakuwa anapitia wakati mgumu sidhani kama ana furaha na amani ya roho.
 
Dkt. Slaa nakusalimu kwa jina la Bwana wetu Yesu kristo. Naami uko mzima na unaendelea vizuri na uwakilishi wa nchi yetu huko uliko,

Bila shaka unajua na unafatilia jinsi kampeni zinavyoendelea huku!!

Natamani Sana kusikia au kusoma maoni yako kuhusu kampeni zinavyoenda huku! Ujengaji wako wa hoja ndio ulionishawishi hadi nikawa mpenzi wa siasa!

Natamani Sana kusikia maoni yako, kuhusu kijana wako Tundu Lisu!

Unasemaje kuhusu familia ya Mwl kumkaribisha Tundu Lisu nyumbani kwao?? unalisemeaje hili?

Tafadhali mzee wangu, sema japo kidogo! tusahau ya mwaka 2015! Hata mimi sikufurahi jinsi ilivyotokea!

Kwani wewe tayari ulishakuwa funguo za kufungulia kufuli.
Huyu mzee mzinzi sana
 
Tundu Lissu 'amekaribishwa' na Mmoja wa Watoto wa Hayati Mwalimu Nyerere aitwae Madaraka na hakukaribishwa na Familia yake. Msipotoshe!!!
Tena hajakaribishwa nyumbani. Pale ni hotel/lodge. Tundu alibook pale Kama wageni wengine wanavyobook. Wakamkuta yule mtoto wa mwalimu pale kwenye biashara yake, wakaomba picha, jaman watu waache upotoshaji

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Dr. Slaa anasuburi tarehe 28 kwa hofu kubwa manake hajui itakuwaje CDM ikishinda, mboga yake ama ugali vyote vyaweza kumwagika siku hiyo.
Sio sahihi kumsema mzee wa watu ila ukweli ni kwamba CHADEMA ilifanya kosa la kiufundi kumchukua "mamvi ".Kwenye siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu, nashauri Dkt. Slaa akiamua kurudi akaribishwe.
 
Tundu Lissu 'amekaribishwa' na Mmoja wa Watoto wa Hayati Mwalimu Nyerere aitwae Madaraka na hakukaribishwa na Familia yake. Msipotoshe!!!
Je wajua kwamba msemaji wa familia ya Nyerere ni Madaraka? Pia hakuna ubaya wa mtu yoyote kukaribishwa familia ya Nyerere. Nenda hata wewe, utapokelewa
 
Je wajua kwamba msemaji wa familia ya Nyerere ni Madaraka? Pia hakuna ubaya wa mtu yoyote kukaribishwa familia ya Nyerere. Nenda hata wewe, utapokelewa

Swine huna unachokijua kuhusu Familia hiyo na acha Kunipotezea muda wangu tafadhali sawa? Halafu mnajiita 'Wasomi' wakati ni Mapopoma tu!!!
 
Back
Top Bottom