GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,130
Hili jamaaa bhana hovyoo kwelii kwahiyo ni nani kwa ukoo wa Nyerere?? Au ndio Mama Maria ??
Yet another Fool!
Hili jamaaa bhana hovyoo kwelii kwahiyo ni nani kwa ukoo wa Nyerere?? Au ndio Mama Maria ??
Aseme nini wakati ansjivunia kuona kijana wake akizitumia vyema silaha alizomkabidhi?Dkt. Slaa nakusalimu kwa jina la Bwana wetu Yesu kristo. Naami uko mzima na unaendelea vizuri na uwakilishi wa nchi yetu huko uliko,
Bila shaka unajua na unafatilia jinsi kampeni zinavyoendelea huku!!
Natamani Sana kusikia au kusoma maoni yako kuhusu kampeni zinavyoenda huku! Ujengaji wako wa hoja ndio ulionishawishi hadi nikawa mpenzi wa siasa!
Natamani Sana kusikia maoni yako, kuhusu kijana wako Tundu Lisu!
Unasemaje kuhusu familia ya Mwl kumkaribisha Tundu Lisu nyumbani kwao?? unalisemeaje hili?
Tafadhali mzee wangu, sema japo kidogo! tusahau ya mwaka 2015! Hata mimi sikufurahi jinsi ilivyotokea!
Kwani wewe tayari ulishakuwa funguo za kufungulia kufuli.
Mbona unapayuka.halafu hatuna mtanzania anayeitwa odhiambo mind your own businessKwani wabunge na madiwani kupita bila kupingwa, tatizo ni la Cdm ?!. Hivi watu wengine mmepigwa upofu siyo ?! . Misungwi madiwani wote na mbunge wamepita bila kupingwa . Tatizo ni la Cdm kweli ?!. Ukweli mnauona lawama mnarusha kwingine. Shame
Mtu ambaye hawezi kufanya mkutano wa hadhara na kushinda kutwa anasumbua wananchi kwenye miji na vijiwe vyao anaambiwa anafanya campaign ya kisayansi.. UVCCM mnajua kupeana moyoMbona unapayuka.halafu hatuna mtanzania anayeitwa odhiambo mind your own business
Anatamani angekuwa yeye ndiye Lissu. Ineshapita hiyo ikienda hairudi aendelee na maisha yake amalize uzee wake salama.Dkt. Slaa nakusalimu kwa jina la Bwana wetu Yesu kristo. Naami uko mzima na unaendelea vizuri na uwakilishi wa nchi yetu huko uliko,
Bila shaka unajua na unafatilia jinsi kampeni zinavyoendelea huku!!
Natamani Sana kusikia au kusoma maoni yako kuhusu kampeni zinavyoenda huku! Ujengaji wako wa hoja ndio ulionishawishi hadi nikawa mpenzi wa siasa!
Natamani Sana kusikia maoni yako, kuhusu kijana wako Tundu Lisu!
Unasemaje kuhusu familia ya Mwl kumkaribisha Tundu Lisu nyumbani kwao?? unalisemeaje hili?
Tafadhali mzee wangu, sema japo kidogo! tusahau ya mwaka 2015! Hata mimi sikufurahi jinsi ilivyotokea!
Kwani wewe tayari ulishakuwa funguo za kufungulia kufuli.
Usilazimishe kujua kama hujui!!!Unachokijua Wewe ni kipi labda? Hopeless mkubwa!
Thubutuu... kwa tonge alilonalo mdomoni hathubutu kufungua kinywa!!Dr. Slaa inaonekana anamkubali sana Lissu. na kama kweli yeye husimamia ukweli na kwa kuwa Lowasa hayupo tena CDM.. basi mzee atangaze kumuunga mkono Lissu
Huyu mzee mzinzi sanaDkt. Slaa nakusalimu kwa jina la Bwana wetu Yesu kristo. Naami uko mzima na unaendelea vizuri na uwakilishi wa nchi yetu huko uliko,
Bila shaka unajua na unafatilia jinsi kampeni zinavyoendelea huku!!
Natamani Sana kusikia au kusoma maoni yako kuhusu kampeni zinavyoenda huku! Ujengaji wako wa hoja ndio ulionishawishi hadi nikawa mpenzi wa siasa!
Natamani Sana kusikia maoni yako, kuhusu kijana wako Tundu Lisu!
Unasemaje kuhusu familia ya Mwl kumkaribisha Tundu Lisu nyumbani kwao?? unalisemeaje hili?
Tafadhali mzee wangu, sema japo kidogo! tusahau ya mwaka 2015! Hata mimi sikufurahi jinsi ilivyotokea!
Kwani wewe tayari ulishakuwa funguo za kufungulia kufuli.
Tena hajakaribishwa nyumbani. Pale ni hotel/lodge. Tundu alibook pale Kama wageni wengine wanavyobook. Wakamkuta yule mtoto wa mwalimu pale kwenye biashara yake, wakaomba picha, jaman watu waache upotoshajiTundu Lissu 'amekaribishwa' na Mmoja wa Watoto wa Hayati Mwalimu Nyerere aitwae Madaraka na hakukaribishwa na Familia yake. Msipotoshe!!!
Sio sahihi kumsema mzee wa watu ila ukweli ni kwamba CHADEMA ilifanya kosa la kiufundi kumchukua "mamvi ".Kwenye siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu, nashauri Dkt. Slaa akiamua kurudi akaribishwe.Dr. Slaa anasuburi tarehe 28 kwa hofu kubwa manake hajui itakuwaje CDM ikishinda, mboga yake ama ugali vyote vyaweza kumwagika siku hiyo.
Ushauri mzuri!! Chadema tulichemka!! Mzee akiamua kurudi, tumpokee kwa heshima!!Sio sahihi kumsema mzee wa watu ila ukweli ni kwamba CHADEMA ilifanya kosa la kiufundi kumchukua "mamvi ".Kwenye siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu, nashauri Dkt. Slaa akiamua kurudi akaribishwe.
Mzee baba leo kachemka kweli, yeye alitaka awasikie wote kwa pamoja wakisema "Karibu kwetu mbeba maono Mh Lissu" , Hapo ndipo angeelewa kuwa Mh Lissu kakaribishwa na familia ya Mwl NyerereKwani Madaraka sio mwanafamilia?
Usilazimishe kujua kama hujui!!!
Kujidai unajua wakati hujui..... It means "Foolishness"
Udhihiriko wa "Foolishness"Swine.
Kwamba you know nothingUnachokijua Wewe ni kipi labda? Hopeless mkubwa!
Je wajua kwamba msemaji wa familia ya Nyerere ni Madaraka? Pia hakuna ubaya wa mtu yoyote kukaribishwa familia ya Nyerere. Nenda hata wewe, utapokelewaTundu Lissu 'amekaribishwa' na Mmoja wa Watoto wa Hayati Mwalimu Nyerere aitwae Madaraka na hakukaribishwa na Familia yake. Msipotoshe!!!
Je wajua kwamba msemaji wa familia ya Nyerere ni Madaraka? Pia hakuna ubaya wa mtu yoyote kukaribishwa familia ya Nyerere. Nenda hata wewe, utapokelewa