Uchaguzi 2020 Mzee Dkt. Slaa popote ulipo

Lakini ni inshara gani kwa ccm?? au wewe unamoni gani kwa Lisu kukaribishwa kwa mwasisi wa ccm?

Maswali ya 'Kipumbavu' kama haya huwa si ya 'Hadhi' yangu tafadhali. Tundu Lissu 'kakaribishwa' na Madaraka na si Familia ya Hayati Mwalimu?
 
Magufuli hajajiandaa kisaikolojia matokeo yakiwa mabaya kwake. Huu urais anajiona kama alizaliwa nao na maamuzi yake tu ndiyo ya sikilizwe.
Alidanganywa na sifa za kutoka kwa watu kama akina Bashite. Hata mtu unaposifiwa, inabidi uangalie mtu anayekusifia. Ukisifiwa na kichaa halafu na wewe ukaamini umefanya maajabu kwa sababu umesifiwa na kichaa, kuna siku utajutia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeona ulivyo na kichwa kikubwa akili tone!!
Serikali na familia wapi na wapi??
Yan unafikiri familia ya Nyerere haifany chochote bila serikali???
Hakika wew ni zaidi ya KILAZA

Hujui hata 1% tu ya hiyo Familia ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere hivyo naendelea 'Kukusihi' kuwa tulia tu na acha 'Kujichoresha' Kwetu.
 
Huyu jamaa analeta unoko sana, hawa ndio wale walikuwa wanajifanya much know sekondari. Anajikuta yeye ndio yeye, GENTAMYCINE acha usekondari.

Ukiona Mtu 'Hoja' yake Kuu ni kumuona Mwenzake kujifanya 'anajua' kila Kitu jua Kwanza ana Uswahili kisha Wivu mwingi na amerithi Upumbavu.
 
Maswali ya 'Kipumbavu' kama haya huwa si ya 'Hadhi' yangu tafadhali. Tundu Lissu 'kakaribishwa' na Madaraka na si Familia ya Hayati Mwalimu?
Kwani kuuliza mtazamo wako, ni upumbavu kweli! kwahio mtazamo wako ni upumbavu?
 
Hujui hata 1% tu ya hiyo Familia ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere hivyo naendelea 'Kukusihi' kuwa tulia tu na acha 'Kujichoresha' Kwetu.
Familia ya Mwl. Nyerere yamkaribisha Lissu kwake. Hii ndio habari yenyewe.
Wewe kama imekuuma bas ujue Dawa Imepenya na soon utapona.
Asante Madaraka
 
Tundu Lissu 'amekaribishwa' na Mmoja wa Watoto wa Hayati Mwalimu Nyerere aitwae Madaraka na hakukaribishwa na Familia yake. Msipotoshe!!!
Kwako wewe familia ya Mwalimu Nyerere ni nani na nani?

Mimi binafsi nimewahi kuishi Butiama Mwitongo kwenye nyumba ya Joseph Nyerete. Ninafahamu jinsi familia ya Baba wa Taifa inavyoishi.

Madaraka ndiye amepewa jukumu la kuishi na Mama Maria Nyerere. Ndiyo maana wakati wote Madaraka amekuwa na Mama yake kwenye makazi ya Mwalimu Nyerere. Ukikaribishwa nyumbani na Madaraka maana yake umekaribishwa kwenye nyumba ya Baba wa Taifa, na kwenye nyumba ya Mama Maria Nyerere.

Sielewi hata hoja yako ni nini? Kwa akili yako, unaamini familia ya Mwalimu Nyerere haiwezi kumkaribisha Lisu? Hivi mnaijua ile familia? Mwalimu Nyerere ni mtu aliyechukia ubaguzi kwa dhati toka moyoni mwake, siyo kama maigizo yanayofanywa na huyu Rais wetu. Mara maendeleo hayana vyama, mara mkichagua wapinzani sitawapelekea maendeleo!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe 'Juha' hebu acha 'Kunipotezea' muda wangu tafadhali sawa?
Punguza mihemuko! utakufa na mi sheli bure!! ukweli ni kwamba Lisu ameshamzidi Baba jesca kimbinu!! umeona leo Baba jesca amefuta vitambulisho vya wamachinga!

Sasa kama sio kuzidiwa ninini??
 
Familia ya Mwl. Nyerere yamkaribisha Lissu kwake. Hii ndio habari yenyewe.
Wewe kama imekuuma bas ujue Dawa Imepenya na soon utapona.
Asante Madaraka

Nimetoa 'Maoni' yangu kama vile ambavyo wengine nao wametoa yao na wanaendelea kutoa hivyo sijajua 'Kinachokuwashawasha' hasa ni nini pia.
 
Sijakutukana, nimejibu KIPUUZI kama ulivyoniita wew!!
Napenda tu unavyojikuta unajua kila kitu, wakati kuna mengi tu hujui.
Madaraka ndio kiongozi wa familia ile, lolote likisemwa au kufanywa na familia ile ujue lina mkono wa Madaraka.
Ujuaji mwingi mbele huwa giza!
Acha kujiaibisha
Hichi ki gentamycine kinajifanya kijuaji kama slut polepole
 
Back
Top Bottom