Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,625
- 3,727
Madaraka ndio mkubwa kwa hiyo kama kamkaribisha yeye hayo ni maamuzi ya familia yote na nawaza kusema mama maria ndio ametoa baraka zote hizo kama ujio wa lisu usingekuwa na baraka za familia wasingekubali ujio wakeTundu Lissu 'amekaribishwa' na Mmoja wa Watoto wa Hayati Mwalimu Nyerere aitwae Madaraka na hakukaribishwa na Familia yake. Msipotoshe!!!