johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Kwa namna nilivyoushuhudia mtanange wa Tundu Lisu na Lazaro Nyalandu pale Mlimani City jana nashawishika kusema hata 2015 CHADEMA ingefanya kura za maoni Dkt. Slaa angeibuka kidedea.
Nilichogundua wajumbe wa CHADEMA wanapenda watu wenye sauti ngumu ngumu na kali kali.
Nyalandu alijisahau akadhani anashindana na akina January au Kigwangalla wanaovaa suti za Sheria Ngowi kumbe Ufipa mambo ni tofauti hata mademu wao wana vibesi.
Natafakari tu jinsi Nyalandu alivyofeli.
Maendeleo hayana vyama!
Nilichogundua wajumbe wa CHADEMA wanapenda watu wenye sauti ngumu ngumu na kali kali.
Nyalandu alijisahau akadhani anashindana na akina January au Kigwangalla wanaovaa suti za Sheria Ngowi kumbe Ufipa mambo ni tofauti hata mademu wao wana vibesi.
Natafakari tu jinsi Nyalandu alivyofeli.
Maendeleo hayana vyama!