Sasa wewe unafikiri ukoloni nini?..hiyo tuzo inasema uongozi wa Mzee Mwinyi uliikomboa nchi yetu toka ktk ukoloni na ujamaa.
Sasa wewe unafikiri ukoloni nini?
Tulivyobanwa mbavu na mkoloni wakati wa Nyerere uliwepo? Ilifikia mpa chakula kwa foleni. Usilolijua ni usiku wa kiza.
Hakuna cha kurekebisha, wanaelewa fika walichokiandika. Kuna ukoloni mbaya uliotuumiza zaidi ya wakati wa Nyerere?..warekebishe hayo maelezo kwasababu sio sahihi.
Hakuna cha kurekebisha, wanaelewa fika walichokiandika. Kuna ukoloni mbaya uliotuumiza zaidi ya wakati wa Nyerere?
Tuwe wa kweli, ulikuwepo wakati wa foleni za chakula Tanzania hii? Nani alikuja kuziondosha kabisa mpaka leo hii hazijajirudia tena?
Acha kueditWewe hata unachokiandika hukielewi. Allah sio hayo mabandiko ya herufi mengine ulioweka mbele yake, ujinga huo.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Naongezea Wakati wa Nyerere na Magufuli.Hakuna cha kurekebisha, wanaelewa fika walichokiandika. Kuna ukoloni mbaya uliotuumiza zaidi ya wakati wa Nyerere?
Tuwe wa kweli, ulikuwepo wakati wa foleni za chakula Tanzania hii? Nani alikuja kuziondosha kabisa mpaka leo hii hazijajirudia tena?
Wewe yale yaliletwa na uongozi mbovu, na Nyerere alimkanyaga nyoka mkia kichwa kikamkomesha...Nilikuwepo wakati Tz inakabiliwa na uhaba wa bidhaa muhimu wakati wa miaka ya mwisho wa utawala wa Mwalimu Nyerere. Ukweli ni kwamba matatizo yale ya kiuchumi hayaitwi ukoloni mahali popote.
MoU..hiyo tuzo inasema uongozi wa Mzee Mwinyi uliikomboa nchi yetu toka ktk ukoloni na ujamaa.
Mzee anaipenda dini yake tatizo siasa ilimtia upofu, mara awe sijui nini wa makondomu, Mwenyezi Mungu kamsaidia katoka kule kabla umauti kumkuta
Wewe yale yaliletwa na uongozi mbovu, na Nyerere alimkanyaga nyoka mkia kichwa kikamkomesha.
Njaa, ya uchumi kwani Nyerere aliikuta hii nchi ina uchumi mbovu?
Sasa hiyo njaa ya uchumi aliimaliza nani? Mbona unapata kigugumizi?
Magufulia lijidai kubana, alivyominywa vindege vyake Canada na South Africa, mwenyewe akaachia. Uchumi ukawa unatetereka kwa spidi kali, Mama kaingia mambo swaaafi,mifuko sasa inatuna kama enzi za Mwinyi na Kikwete.Naongezea Wakati wa Nyerere na Magufuli.
Ebu ilink na dini basiHakuna cha kurekebisha, wanaelewa fika walichokiandika. Kuna ukoloni mbaya uliotuumiza zaidi ya wakati wa Nyerere?
Tuwe wa kweli, ulikuwepo wakati wa foleni za chakula Tanzania hii? Nani alikuja kuziondosha kabisa mpaka leo hii hazijajirudia tena?
Mtoa mada kaamua tu kuandika yake..warekebishe hayo maelezo kwasababu sio sahihi.