IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Wazazi wenzangu nawasihi sana shule zikifunguliwa jitahidi umpime mimba mwanao unaweza mpeleka hospital.
Watoto wa siku hizi hawaaminiki hata kidogo, ni vema uchukue tahadhari mapema kabla ya hatari
Ikitokea ana mimba ni rahisi kuchukua hatua kabla haijagundulika shuleni\
======
UPDATE
======
Jana nilitoa uzi hapa juu ya wazazi kuwapima watoto ujauzito. Nimepata DM kutoka kwa member mwenzetu kaenda kuwacheck watoto wake. Imetokea mwanae wa kidato cha 2 anaujauzito wa wiki 6.
Sasa kaniuliza afanyaje au achukue hatua gani? Mpaka sasa binti ajaambiwa pia mtoto anasoma shule ya gharama kubwa sana.
Naomba ushauri kwa niaba yake, mimi nimeamua kulileta hapa ili apate mawazo ya watu wengi.
Watoto wa siku hizi hawaaminiki hata kidogo, ni vema uchukue tahadhari mapema kabla ya hatari
Ikitokea ana mimba ni rahisi kuchukua hatua kabla haijagundulika shuleni\
======
UPDATE
======
Jana nilitoa uzi hapa juu ya wazazi kuwapima watoto ujauzito. Nimepata DM kutoka kwa member mwenzetu kaenda kuwacheck watoto wake. Imetokea mwanae wa kidato cha 2 anaujauzito wa wiki 6.
Sasa kaniuliza afanyaje au achukue hatua gani? Mpaka sasa binti ajaambiwa pia mtoto anasoma shule ya gharama kubwa sana.
Naomba ushauri kwa niaba yake, mimi nimeamua kulileta hapa ili apate mawazo ya watu wengi.