Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,695
- 40,898
Ila kama kweli mtoto wako hajaingia vishawishini kipindi hiki atafika mbali
Tezi dume na STD'swatoto wa kiume wapimwe nn??
Hapo Utakosana na raia no 1😂😋Mkopo wa world Bank tuliopewa moja ya sharti mimba ruksa mashuleni. Cha kuishauri serikali ni ujenzi wa vituo vya kulelea watoto wa watoto mashuleni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wapi hapo yametokeaKuna yule mama mabinti wake wawili wamepewa mimba na kaka yao kabisa wa damu,mambo ya lock down kumbe watoto wanafanya yao.... Ni hatari sana wazazi wasichunge tu mabinti zao na watu wa nje ila hata na ndugu zao wa damu....
hatua gani?Wazazi wenzangu nawasihi sana shule zikifunguliwa jitahidi umpime mimba mwanao unaweza mpeleka hospital.
Watoto wa siku hizi hawaaminiki hata kidogo
Ni vema uchukue tahadhari mapema kabla ya hatari
Ikitokea ana mimba ni rahisi kuchukua hatua kabla haijagundulika shuleni
Sent using Jamii Forums mobile app
She is very youngUnataka ushauri gani zaidi ya kuilea hiyo mimba?
Au unataka tukushauri ukaitoe?
Ukiona hadi kanasa mimba ujue mkubwa huyo tayari na michezo ya kikubwa anaijua