Mzazi asiyejielewa ndiye atampeleka mtoto wake Pre-form one

Hiyo pre sasa, vijukuu vya kike vipo juu juu vimevaa vitop, si mama umeshajihimu huko kutafuta,

Sasa hapo ndo shetani anaanza kujiinua, shetani mwenyewe ni hao hao bodaboda oo saa mbili umfuate binti yangu umpeleke pre kwa mwalimu fulani.

Shetani mwingine wanakutana naye huko kwenye mabus,

Shetani mwingine hao hao asiowapenda yule mwana jf.

Hapo sasa ndo shida inapoanzia
Kama hukumlea vizuri hata akikaa nyumbani atafanya tu ushenzi.
 
Na nadhan pia mtoto anakua hatarini. Wanawaacha wanavaa visurual kuna siku nilibak kushangaa vitoto vya pre form one vimevaa utafikir huko alipotoka kaachwaje. Uje beach sasa darasa ndio linahamia huko. Na imekua ni biashara tu watu wameona fursa.
Wazazi wanakwepa majukumu yao ya msingi, mzazi hataki kabisa hata kukaa na mtoto wake siku nzima hata weekend tu
 
Inaweza kuonekana kuwa ni mzaha lakini kiukweli safari ya elimu imegeuka kuwa mateso na kero kwa vijana wetu.......

Safari ya elimu imewapokonya haki na mazingira ya utoto vijana wetu kiasi kwamba......mtoto anakuwa bize na masomo mpaka anaona ni gereza........

Lakini kwa uchunguzi wangu nimegundua mateso hayo yapo kwa sisi wa hali ya chini lakini kwa wenzetu kidogo wanasoma kwa kurelax
Kabisa Kule Internationality hawan aina hii ujinga, huu upambavu uko huko kwa kajamba nani, ni kweli kabisa. Kwa washua hakuna huu ujinga,
 
Kuna wazazi ni wabishi sana haya mambo wanayaamink sana hawawezi kuacha kuwapeleka watoto wao labda ti serikali ikataze.

,Kuna rafiki yangu mmoja shule zikifungwa tu baadq yq siku 3 anapeleka watoto tuition, nikamwambia sio sawa unafanya watoto watakuja kuchukia shule na kusoma tuition hakuongezi ufaulu, labda asome lile somo ambalo unaona linamsumbua, wape watoto hata wiki mbili za kupumzika.
Akasema haiwezekani hawa watoto wakae tu nyumbani ni lazima wakasome😀
Huyo mzazi yuko sahihi. Wewe ndo unamletea ujuaji.
 
Fanya unavyoona ni sawa, na wao wafanye wanavyoona ni sawa, miezi mi 3 ya mtoto teen kukaa nyumbani bila shughuli, bora pre form one.
Kuna vitu vingi anaweza fanya wewe mjinga, kwa hio unazania huko pre form one real anasoma?

Mtoto anaweza enda kusalimia Bibi zake na Babu zake huko vijijini ajifunze hata asili yako.

Mtoto yes anaweza shinda nyumbani shida ni mulivyo walea watoto wenu kuanzia mwanzo, kwamba akikaa nyumbani ataharibika aharibike nini? Hakuna sehemu watoto wanaharibika basu kama huko mashuleni, tena kwenye hivyo vituo vya preform one ndio balaa, hujui tu.
 
Maisha yamebadilika ,kwenye elimu ushindani Ni mkubwa..You have to give your children any competitive edge.
Kama Ni kuwahi pre-form one ili aingie shule akiwa anavielewa vitu vingi kabla ya wenzake au Kama Ni tuition likizo well and good..atakushukuru baadae
Ndio unavyo jidanganya? AIseee
 
Nafikiri lengo la wazazi wengi ni kuwafanya watoto wawe busy na masomo. Ukiwaacha tu nyumbani bila uwangalizi wowote kuna uwezekano wakajiingiza ktk mambo yasiofaa maana wengi wao wanakuwa katika foolish age
Huko Prefirm ine nani anawaangalia? Hahaa huko ndio balaaa kama ulikuwa hujui, by the way mtoto anatakiwa apumzike akili ubongo upunzike, sio kunshindilia ujinga.

Hizi pre form one ni ujinga, ni uhuni hakuna kitu hapo, unazani kuna kitu atagain hizo miezi 3 zaidi ya ile kampani yake ya Darasa la Saba kukutana wote hapo kwenye kituo cha preform one?
 
Hiyo pre sasa, vijukuu vya kike vipo juu juu vimevaa vitop, si mama umeshajihimu huko kutafuta,

Sasa hapo ndo shetani anaanza kujiinua, shetani mwenyewe ni hao hao bodaboda oo saa mbili umfuate binti yangu umpeleke pre kwa mwalimu fulani.

Shetani mwingine wanakutana naye huko kwenye mabus,

Shetani mwingine hao hao asiowapenda yule mwana jf.

Hapo sasa ndo shida inapoanzia
Wazazi si tunakwepa majukumu? Ngoja Duniani iwasaidie majukumu, tutakuja kushituka ikiwa too laite
 
Kwa hiyo madaktari wa kihindi huko kwao nao wanaingia vyumba vya upasuaji na watoto wao?

BTW: Mwalimu wangu alikuwa anatuambia mtapumzika siku mkifa.
Nazungumzia wafanya biashara wacha kujiyoa ufahamu, na yes kuna baadhi ya Stafu na makampuni unaruhusiwa kwenda na watoto wako wakashangae shangae pale,
 
siku hizi kuna wa mama wa mwendokasi, wana kazi ya kushindana na wanaume, kufanya majukumu ambayo sio yao
Kwakweli,,,, namshukuru mama kwetu kusoma na kuandika tunajua hata kabla ya kuanza shule.
 
Elimu kwa mtoto ni ufunguo wa maisha.
Watoto wanatofautiana uelewa, na kila mmoja wetu humu ana uelewa wa namna yake. Sio wote wakaa darasani watamwelewa mwalimu afundishapo kila kitu, kuna wengine akielekezwa tu hata kabla mwalimu hajamaliza kuandika mwanafunzi huyo ashatoa jibu la swali husika, kuna wenginee hadi swali lirudiwe mara kadha ndo atatoa jibu.

Na ikawe kheri kwa kila mzazi/mlezi kuwekeza kwa namna yake kwa mwanaeee
SIo hio elimu ya Preform one, elimu sio jela, na kwa akili zako unazania elimu ni mtoto asome masaa 24, siku 7 wiki 4 miezi 12.
 
Kuna wazazi ni wabishi sana haya mambo wanayaamink sana hawawezi kuacha kuwapeleka watoto wao labda ti serikali ikataze.

,Kuna rafiki yangu mmoja shule zikifungwa tu baadq yq siku 3 anapeleka watoto tuition, nikamwambia sio sawa unafanya watoto watakuja kuchukia shule na kusoma tuition hakuongezi ufaulu, labda asome lile somo ambalo unaona linamsumbua, wape watoto hata wiki mbili za kupumzika.
Akasema haiwezekani hawa watoto wakae tu nyumbani ni lazima wakasome
Dada kuna Wazazi ni wapumhavu sana,
 
Kwa mzazi ambaye kichwa kina chaji hawezi ruhusu huu uhuni, hii inawezekana kwa wazazi wapumbavu pekee, ambao kiwango cha kuwaza ni zero.

Mtoto kasoma miaka 7 sasa kamaliza shule, huyu hapumziki, anaunganishwa aanze kitu kinaitwa Pre-form one, atapigishwa Pre-form one hadi December then January aanze shule.

Na wazazi wengi tulivyo wapumbavu tunaona ndio njia sasa ya kumfanya mtoto aje kuwa kama Elon Musk wa Tesla au Mark Zuckerberg wa Facebook na Whatsapp. Yaani njia ya kumfanya mtoto aweze hata kuvumbua chombo cha kwanza cha Tanzania kwenda Mwezini ni kumpelekea Pre- form one.

Watoto hawana muda wa kupumzisha akili, na hii njia za Pre-form one ni njia za Wazazi kukwepa majukumu, Wazazi wa Kiafrika hawataki kukaa na watoto wao hata kuwafundisha elimu ya Duniani, kumfundisha maisha.

Wahindi sio wajinga kwenda na Watoto wao wa miaka 6 Dukani au Offisini kwao.

Ila sisi Wabongo tunaofanya Biashara eti hatutaki kwenda na Watoto wetu kwenye maeneo ya Biashara angalau waangalie kile tunachofanya, tunadanganywa na wahuni kwamba watoto wanapaswa kwenda Pre-form one kujifunza.

Ni vitu gani wanajifunza huko Pre-form one ambavyo hawatajifunza Sekondari?
Kabla hujatukana watu jiulize chazo cha pre form one ni nini? Kwasbb miaka ya 80s 90s 2000s hiyo preform one haikuepo imeshamiri sanaa kuanzia miaka ya 2010 na kuendelea, mfumo wa maisha unabadilika zamani nyie mlisomea vijijini watoto walikua wa kijiji sio wa mtu moja. mlikua na kazi za kufanya baada ya shule , zamani watu hakusomea mitihani wa lisoma kupata maalifa, zamani siasa hakkua haijainguzwa kwenye elimu, ushindani wa kupata shule nzuri umekua changamoto pia, nyumbani watoto wana jifunza mambo mabaya sio kila mtu ana good neighbourhood..........acha watu wa ishi maisha yao usiwatukane.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom