Mzazi asiyejielewa ndiye atampeleka mtoto wake Pre-form one

Humu naona manyumbu na mazuzu wamekutana kukubaliana ujinga. Mfano mimi niliondoka Std 7 nikiwa sijui English kabisa. Nikaenda mjini kupiga pre form one ya English ambayo ilinisaidia sana. Kule shule ya kata nikatisha naelewa vitu wakati wenzangu waliishia kukariri tu.

Hata kwangu nimekuwa nakusanya madogo bright wa ndugu zangu wa kijijini kuja kupiga pre form one huku nikiwatafutia uhamisho wataopangiwa shule za kata. Imekuwa msaada mkubwa sana. Kama Elimu ya bongo ni kufaulu pepa,mzazi ana kosa gani kutengeneza njia ya kufaulu.

Acheni kutiana upumbavu, mzazi ataangalia mahitaji ya mwanae sio ujinga wako. Usikute nyinyi ni failure na mitihani na maisha
 
Kijana wangu nawaza nimpeleke Sido akajifunze kutengeneza sabuni za kuogea na za kuoshea vyombo, vyoo kwa ajili ya hapa nyumbani.... Kwa kipindi hicho mbadala wa pre form one.... Kuongeza kitu kipya maishani mwake....
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Mkuu hizi private school ukitaka kuendelea nazo lazima ucomply na terms and conditions ..
Hutaki achana nazo. Huko public schools wala haya mambo hamna. We subiri tu mwanao mwakani january aanze form ones.

Ni kweli inakera na kuudhi..sasa tufanyeje. Wiki ijayo shule nyingi za private zinaanza interviews na nyingi watoto hawataondoka watabaki huko kuanza Englishi course/Pre form One, Na ni pesa ndefu wanatupiga. Lakini hakuna namna.

Its your choice ukae nae home akose nafasi au umwache aende. Wala usiwalaumu wazazi.

Huko mtaani mi sijui kama kuna vi pre form ones.
 
Humu naona manyumbu na mazuzu wamekutana kukubaliana ujinga. Mfano mimi niliondoka Std 7 nikiwa sijui English kabisa. Nikaenda mjini kupiga pre form one ya English ambayo ilinisaidia sana. Kule shule ya kata nikatisha naelewa vitu wakati wenzangu waliishia kukariri tu.

Hata kwangu nimekuwa nakusanya madogo bright wa ndugu zangu wa kijijini kuja kupiga pre form one huku nikiwatafutia uhamisho wataopangiwa shule za kata. Imekuwa msaada mkubwa sana. Kama Elimu ya bongo ni kufaulu pepa,mzazi ana kosa gani kutengeneza njia ya kufaulu.

Acheni kutiana upumbavu, mzazi ataangalia mahitaji ya mwanae sio ujinga wako. Usikute nyinyi ni failure na mitihani na maisha
Kuna wale ambao wametoka Kayumba.. kusoma English course ni sahihi.
Lakini kuna hawa ambao wametoka English Medium., Mazazi anapenda aendelee na private schools, hapo sasa ndo mzazi unalazimika mtoto aende kukaa huko mpaka december.
Hii si sawa kabisa lakini usipofanya hivyo hupati nafasi.
 
Hiyo pre sasa, vijukuu vya kike vipo juu juu vimevaa vitop, si mama umeshajihimu huko kutafuta,

Sasa hapo ndo shetani anaanza kujiinua, shetani mwenyewe ni hao hao bodaboda oo saa mbili umfuate binti yangu umpeleke pre kwa mwalimu fulani.

Shetani mwingine wanakutana naye huko kwenye mabus,

Shetani mwingine hao hao asiowapenda yule mwana jf.

Hapo sasa ndo shida inapoanzia
Wewe sasa unafanya uhuni... Wewe kaa nao nyumbani tu. Huko mtaani mnaibiwa.
Peleka kwenye shule rasmi.
 
Shule zingine wakichukua pre form one ndo intake ya form one hiyo hiyo hawapokei wanafunzi wapya...masomo yanaanza, wakirudi next year wanaendelea. Hii inawasaidia kumaliza syllabus mapema wanaanza za form two zile nyepesi
Yap..!!
Hii ndo hoja yangu.
 
Kwa upande mwingine,

Kuna wazazi wanajikuta na Option 2 tu.
1. Akae nyumbani na beki tatu.
2. Aende shule.

Watu wameajiriwa mikoani huko wanatafuta pesa saa ngapi watakaa nao nyumbani ambapo hakuna hata shamba kwamba mtoto atakuwa busy.
Nyumba za mjini hizi za sqm 400, mtoto atacheza games na kushikana shikana na mfanyakazi na kutazama tamthilia, mzazi anaona bora aende shule tu.
 
Mweka mada kanuna..😅
Kwani mkuu hata asipoenda ndo atakuwa huyo Elon musk..?
Kama hamna ni hamna tu!
Eti halafu anasema eti mtoto.anatakiwa apumzishe akili,huyo.mtoto.hiyo akili yake hadi kafanya nini cha maana hadi kusema ipumuzishe kagundua chochote kikubwa kama huyo Elon Musk hadi apumzike?

Wanapumzika waliofanya mambo makubwa

Hata mleta mada akisema apumzike mimi.sikubali apumzike kwa kipi cha akili ilichofanya kikubwa nin? Kwa kuandika huu ujinga alioleta kwenye mada?

Nashauri na yeye aende pre form one akasome.No kupumzika
 
Mim nilkubal ktk baadhi
Nilimalza chuo skupumzika nikaanza CPA T nikijua kichwa changu kikipoa kukamata network ni ishuu....

Kweny pre fom nikasema kwa wazaz wanaojiskia kupeleka watto wawapeleke tuu.... Usimsklze mtu bhn
Hongera ndivyo inatakiwa mtu.kupumzika anatakiwa awe tayari ka achieve kitu.kikubwa kwenye maisha
 
Kwa mzazi ambaye kichwa kina chaji hawezi ruhusu huu uhuni, hii inawezekana kwa wazazi wapumbavu pekee, ambao kiwango cha kuwaza ni zero.

Mtoto kasoma miaka 7 sasa kamaliza shule, huyu hapumziki, anaunganishwa aanze kitu kinaitwa Pre-form one, atapigishwa Pre-form one hadi December then January aanze shule.

Na wazazi wengi tulivyo wapumbavu tunaona ndio njia sasa ya kumfanya mtoto aje kuwa kama Elon Musk wa Tesla au Mark Zuckerberg wa Facebook na Whatsapp. Yaani njia ya kumfanya mtoto aweze hata kuvumbua chombo cha kwanza cha Tanzania kwenda Mwezini ni kumpelekea Pre- form one.

Watoto hawana muda wa kupumzisha akili, na hii njia za Pre-form one ni njia za Wazazi kukwepa majukumu, Wazazi wa Kiafrika hawataki kukaa na watoto wao hata kuwafundisha elimu ya Duniani, kumfundisha maisha.

Wahindi sio wajinga kwenda na Watoto wao wa miaka 6 Dukani au Offisini kwao.

Ila sisi Wabongo tunaofanya Biashara eti hatutaki kwenda na Watoto wetu kwenye maeneo ya Biashara angalau waangalie kile tunachofanya, tunadanganywa na wahuni kwamba watoto wanapaswa kwenda Pre-form one kujifunza.

Ni vitu gani wanajifunza huko Pre-form one ambavyo hawatajifunza Sekondari?
Lengo la pre form one kuwajengea msingi mzuri wa lugha haswa kwa wale waliotoka shule za serikali.
 
Mtoa mada unayo hoja ila wenye tuition centres na wamiliki wa shule watakurukia kama mwewe.
Siku za nyuma na mi nilikua na uelewa mbaya kama hawa kuwa ili mtoto afanye vizuri lazima asome pre form 1 au tuition lakini baada ya kujua kwa sasa huwezi kuniambia huo upuuzi mtoto anakuwa bize hana mda wa kupumzika, kurefresh maind wala kujifunza maisha ya mtaani au kazi za nyumbani jmn tukubali tukatae wazazi kumuweka mtoto mbali na wewe kwa kisingizio eti tuition au pre form 1 ni kumharibu mtoto kaa nae muelekeza maisha na kazi ya nyumbani ili kesho ukiwa haupo aweze kusavaive na life... Akili nayo inachoka kusoma kila wakati inataka kupmzishwa.
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Unataka msaada upi ili uone hizo tuition ni muhimu au sio muhimu?
Sihitaji msaada mkuu.

Kama wewe unaziamini wapeleke watoto wako.

Binafsi nilisoma tuition mara moja tu baada ya kufeli hesabu nikatakiwa kurudia mtihani.

Mwanangu hajawahi kwenda tuition yoyote na amekuwa best student kwa levels zote za elimu alizopita na sasa yupo chuo kikuu anaendelea vizuri.

Sijawahi kuona umuhimu lakini kama zinawasaidia wengine basi waendelee. Kupanga ni kuchagua!
 
Sihitaji msaada mkuu.

Kama wewe unaziamini wapeleke watoto wako.

Binafsi nilisoma tuition mara moja tu baada ya kufeli hesabu nikatakiwa kurudia mtihani.

Mwanangu hajawahi kwenda tuition yoyote na amekuwa best student kwa levels zote za elimu alizopita na sasa yupo chuo kikuu anaendelea vizuri.

Sijawahi kuona umuhimu lakini kama zinawasaidia wengine basi waendelee. Kupanga ni kuchagua!
Wewe ulipofeli Hisabati ukaona uende tuition ,je ilikusaidia au haikukusaidia?
 
Unataka msaada upi ili uone hizo tuition ni muhimu au sio muhimu?
Sihitaji msaada mkuu.

Kama wewe unaziamini wapeleke watoto wako.

Binafsi nilisoma tuition mara moja tu baada ya kufeli hesabu nikatakiwa kurudia mtihani.

Mwanangu hajawahi kwenda tuition yoyote na amekuwa best student kwa levels zote za elimu alizopita na sasa yupo chuo kikuu anaendelea vizuri.

Sijawahi kuona umuhimu lakini kama zinawasaidia wengine basi waendelee
Wewe ulipofeli Hisabati ukaona uende tuition ,je ilikusaidia au haikukusaidia?
Ilinisaidia. Ndio maana hapo juu nimesema mpeleke mtoto tuition kama kuna uhitaji. Mfano kuna somo linamsumbua na sio mazoea tu unampeleka tuition kuanzia darasa la kwanza hata kama yupo vuzuri unampeleka likizo yote hapumziki, kwa upande wangu sio sahihi.

Na baadhi ya shule zinazojitambua hasa za masister wanakwambia kabisa hatushauri umpeleke mtoto tuition wakati wa likizo.

Nilienda tuition kwasababu nilihitaji kufanya hivyo na nilikuwa nimeshamaliza shule nilihitaji kurudia somo la hisabati ambalo nilifeli.
 
Sihitaji msaada mkuu.

Kama wewe unaziamini wapeleke watoto wako.

Binafsi nilisoma tuition mara moja tu baada ya kufeli hesabu nikatakiwa kurudia mtihani.

Mwanangu hajawahi kwenda tuition yoyote na amekuwa best student kwa levels zote za elimu alizopita na sasa yupo chuo kikuu anaendelea vizuri.

Sijawahi kuona umuhimu lakini kama zinawasaidia wengine basi waendelee

Ilinisaidia. Ndio maana hapo juu nimesema mpeleke mtoto tuition kama kuna uhitaji. Mfano kuna somo linamsumbua na sio mazoea tu unampeleka tuition kuanzia darasa la kwanza hata kama yupo vuzuri unampeleka likizo yote hapumziki, kwa upande wangu sio sahihi.

Na baadhi ya shule zinazojitambua hasa za masister wanakwambia kabisa hatushauri umpeleke mtoto tuition wakati wa likizo.

Nilienda tuition kwasababu nilihitaji kufanya hivyo na nilikuwa nimeshamaliza shule nilihitaji kurudia somo la hisabati ambalo nilifeli.
Anhaaa umeona sasa umekiri kwa kinywa chako kwamba zinasaidia.

Lengo kuu la pre form one haswa walengwa kwa asilimia zaidi ya 70 ni wale waliotoka shule za Kayumba ambao kwa kiasi kikubwa lugha kwao ni tatizo hivyo Wana wa brush angalau wakianza kidato Cha kwanza waweze kuelewa masomo wanayofundishwa maana lugha ni tofauti.

Ndio maana baadhi ya tuition wanafundisha masomo mawili tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom