Mzazi aliejikuta mzungu kumpa simu mtoto wa shule ya msingi yamtokea puani, Mtoto kaanza kucheki X na kujichua akiwa na miaka 8 tu

Niliwahi kumshauri huyu mzazi kwamba uwezo wake kiuchumi wa kuweza kufunga wifi nyumbani na kuweza kumnunulia mtoto simu, sio kigezo cha kumwachia mtoto uhuru kwenye ulimwengu wa kidijitali.

Watoto wana uwezo mkubwa sana kujifunza vitu tusiwabeze, Fast forward mtoto alianza kuchimba chimba huko mitandaoni mpaka kujua kutumia vpn

Wazazi wake wanamkuta mtoto akijichua huku anaangalia hizo x kwenye simu, kufatilia zaidi mwalimu wake ni simu na internet.

Wazazi tuwe makini sana na hizi teknolojia.

1. Mpe mtoto simu ukiwa umezima data
2. Mnunulie mtoto simu yake unayoweza kukagua kila anachofanya kwenye history
3. Kama umefunga wifi nyumbani hakikisha watoto wanapata access ukiwepo wewe na kujua wanachofanya
Nilipanga kumchukulia TABLET YA MASOMO MWANANGU WA STANDARD 4
Kwaio unanishaur niache si ndio??!
 
Niliwahi kumshauri huyu mzazi kwamba uwezo wake kiuchumi wa kuweza kufunga wifi nyumbani na kuweza kumnunulia mtoto simu, sio kigezo cha kumwachia mtoto uhuru kwenye ulimwengu wa kidijitali.

Watoto wana uwezo mkubwa sana kujifunza vitu tusiwabeze, Fast forward mtoto alianza kuchimba chimba huko mitandaoni mpaka kujua kutumia vpn

Wazazi wake wanamkuta mtoto akijichua huku anaangalia hizo x kwenye simu, kufatilia zaidi mwalimu wake ni simu na internet.

Wazazi tuwe makini sana na hizi teknolojia.

1. Mpe mtoto simu ukiwa umezima data
2. Mnunulie mtoto simu yake unayoweza kukagua kila anachofanya kwenye history
3. Kama umefunga wifi nyumbani hakikisha watoto wanapata access ukiwepo wewe na kujua wanachofanya
Kumpa mtoto simu siyo jambo baya ila kama mzazi umeamua hivyo hiyo simu ifanyie monitoring kwa kuweka parental control asiweze kufika baadhi ya sites za wakubwa.

Sent from my SM-G970U using JamiiForums mobile app
 
Hiyo " kujidai mzungu haijakaa vizuri mkuu"

Mi nililazimika kumpa simu tena simu janja binti ysngu akiwa miaka 14. Kibasila sec mpaka tabata foleni alikuwa anafila saa 2 usiku usiku au zaidi. Wako wawili ila mdogo ndio nilimpa simu watumie wote. Wote wslisoma hapo.
Kwa kifupi niliacha kuwa na stress ikifika jioni mawasiliano yalikuwepo.
Sasa kamaliza mzumbe na ameajiriwa ma mwenzake kamaliza Makerere university wameajiriwa na wanajitegemea.
Tusiwaone wazungu kama
Wao ndio kila kitu.
Achana na hao wahafidhina hawajui dunia inakokwenda. Ulaya kila mtoto mdogo ana simu na unakuta wanaenda nazo shule. La kuzingatia ni kumfundisha kipi ni kizuri na kipi ni kibaya na pia kuwa karibu naye. Tena huyo anayeanza kutumia simu akiwa mdogo ndiyo vizuri kwa sababu anajua kuji-control mapema na hawezi kudangang'anyika akiwa mkubwa.
 
Achana na hao wahafidhina hawajui dunia inakokwenda. Ulaya kila mtoto mdogo ana simu na unakuta wanaenda nazo shule. La kuzingatia ni kumfundisha kipi ni kizuri na kipi ni kibaya na pia kuwa karibu naye. Tena huyo anayeanza kutumia simu akiwa mdogo ndiyo vizuri kwa sababu anajua kuji-control mapema na hawezi kudangang'anyika akiwa mkubwa.
Mwongo mkubwa wewe, ulaya ya wapi hiyo? Na ni level gani ya shule?
 
Kuna vitendo wanawake hasa singo mazaz wanawafanyia watoto utadhani wanawakomoa kesho yao!
Mtoto anaingizwa hadi kwenye dryer!
Anasukwa mpaka anashinda analia mama yake anadhan kafanya la maana!
Mtoto wa kiume ananyolewa kihuni hadi breach unaona kabsa analazmishwa kuwa panya road na hasara ya jamii mbelen!
Kuna wazazi wanawavalisha kimalaya malaya binti zao mpaka unaona kabsa wanaandaa vidangaji!
,,,,nahisi mama wa sasa wengi ni zao la uharibifu wanaharib pia uzao wao.
 
Ndio mkuu. Kwasababu ya photosynthesis na molecule structures kwenye cells membrane na haemoglobin resulting hydrochloric acid protozoa pathogens in lower abdomen.
Fanya kama unakua boss,
Umri unaenda Mgerasi still una masikhara na mikwara roba mbili!
😁😁
 
Mtoto wangu wa miaka 9 hiko kimboo Cha kujichua sikioni Kwa mtoto wa miaka 8, kwangu huu Uzi una ukakasi
Sio watoto wote wana maumbo sawa na huyo wa kwako.

Mimi nimebarehe nikiwa bado mdogo kabisa, kwenye miaka 10 tayari nywele sehem za siri na dalili nyingine zilianza kujitokeza.

Wenzangu wanaanza barehe wakiwa 14 hadi 16, mimi tayari nishanyoa mara kibao.

Tunatofautiana mkuu, ni vile mimi sikuuajua hayo mapema kutokana na cycle yangu ila huenda na mm wazungu ningetoa.
 
Usasa mwingi.

Kwanza kabisa unamnunulia mtoto simu ya nini??
Sometimes umuhimu hakuna kabisa ila basi tu kwakua baba na mama hawataki mtoto ashike simu zao basi nae hununuliwa.

Ajabu ni kua anaitumia atakavyo na mzazi hagusi simu ya mtoto.
 
Nilipanga kumchukulia TABLET YA MASOMO MWANANGU WA STANDARD 4
Kwaio unanishaur niache si ndio??!
Usiache mkuu mnunulie kuna tablet za watoto kutokana na umri wao kuanzia 1 yr na kuendelea. Zina parental control wewe mzazi ndio utamanage kila kitu na hataweza fungua au download kitu bila ruhusa yako mzazi na baadhi ya vitu ( nje na umri na maudhui ya watoto) hata ukiruhusu mzazi havifunguki.
Binti yangu standard one anayo yake nimemjazia mambo ya shule, games na katuni za mafunzo/ masomo mtoto anajifunza huku anaenjoy. Unamjazia vitu ambavyo havihitaji internet access anaweza jifunza hata akiwa offline play store apps zimejaa.
 
Back
Top Bottom