Ukiristo ulipamba moto sana ulaya enzi hizo. Watu walikuwa tayari kufa kwa ajili ya Yesu. King Richard 1 the lion heart na akina king George lilipokuja swala la Ukiristo hawakuwa na mchezo nayo.Hivi Saladin alikuwa mzaliwa wa Syria au Iraq? Mambo mengine ukiyatafakari yanashangaza kidogo, mfano: najiuliza huyu King George alikuwa anasafiri kutoka Uingereza kuja mashariki ya kati/Jerusaleem na majeshi akitumia usafiri gani, nasikia alikuwa wakati mwingine anapigana kwa miaka bila ya kurudi kwao Uingereza!!! Hawa watu walikuwa na moyo/ujasiri wa kiwango gani cha kupigania DINI??
Sasa Mbona wameshindwa kuifuta Israel na wameizunguka. Si mataifa yote hayo Waislamu wanataka Israel isiwepo? Kinachowashinda nini wakati wenyewe ni waabudu Mungu mmoja wa kweli?wanawadhibiti kila kona ila hamas bado wana silaha na israel pia alijua hamas ana rocket za kuhamisha ndo apige kumbe jamaa sahv wanazo automatic wanaishia kupga majumba yasiyo na silaha
Sasa umetetea kwa lipiBora kuwa MTUMWA ukimtetea myahudi kuliko kutokuwa MTUMWA ukitetea jamii nyingine uchwara
Nyoko wewe.Inakuwaje wanajamvi!
Jeshi takatifu la Israel IDF Jana liliwadanganya Hamas litaingia Gaza kwa kikosi chake cha ardhini. HAMAS wakaingia kwenye maandaki yao kuwasubiri kuwaambush.
Ndipo hapo jeshi teule likawashushia vitu vizito kadhaa vyenye ncha butu vikigusa ardhi tu vinalipuka paah kwa Kishindo kikubwa. Wanamgambo wengi wameshafukiwa.
Taifa teule limeenda mbali nakusisitiza Hamas lazima walipe mabomu walioshambuliwa nayo kwa kuwapelekea bills.
God bless and protect Israel
View attachment 1784687
IDF TRICKED Hamas and then obliterated their tunnel network
There was confusion when the IDF said shortly after midnight that ground forces were 'attacking in Gaza', but it was a trick to get Hamas fighters into the tunnels before bombing the network.www.dailymail.co.uk
yaaani wanachezea kichapo na wanalipia????Inakuwaje wanajamvi!
Jeshi takatifu la Israel IDF Jana liliwadanganya Hamas litaingia Gaza kwa kikosi chake cha ardhini. HAMAS wakaingia kwenye maandaki yao kuwasubiri kuwaambush.
Ndipo hapo jeshi teule likawashushia vitu vizito kadhaa vyenye ncha butu vikigusa ardhi tu vinalipuka paah kwa Kishindo kikubwa. Wanamgambo wengi wameshafukiwa.
Taifa teule limeenda mbali nakusisitiza Hamas lazima walipe mabomu walioshambuliwa nayo kwa kuwapelekea bills.
God bless and protect Israel
View attachment 1784687
IDF TRICKED Hamas and then obliterated their tunnel network
There was confusion when the IDF said shortly after midnight that ground forces were 'attacking in Gaza', but it was a trick to get Hamas fighters into the tunnels before bombing the network.www.dailymail.co.uk
Hamas wanasababisha haya yote, wasingekua wanajificha kwa RAIA. Wanarusha makombora wakiwa wamejificha kwa RAIA.maskini watoto na raia wanauliwa huko kila kukicha hawana hata hatia nyie mnashangalia kwa mihemko ya kidini, mara sijui taifa teule yani ni bullshits tu...!!
I'm sure siku waizrael wakija kuvurumisha makombora hapa Tanzania maybe tuseme tumekinzana na intetest zao, nina uhakika watu kama nyie mliokuwa blinded na dini zenu mtaitetea tu Izrael na mtaishinikiza serikal yetu kukubaliana na matakwa yao.
Jews wanatumia advantage kubwa kupitia misimamo ya dini zenu ili kujitengenezea sapoti kubwa around the globe na kiukweli wamefanikiwa kwa hili.
Tamaa ya mwanandamu kutaka kumiliki kila kitu haijawahi kuwa na majibu chanya hata siku moja , angalia tamaa za Hitler kutaka kutawal dunia zilivyosababisha umwagikaji damu dunia nzima ambao haujawahi kutokea .Nawaonea huruma sana watu wanaoteseka huko sijui ni lini watapumzika na kushushiwa missiles
Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
Sasa alieliteuwa hilo taifa la Israel na hiyo bendera ulioshika ndio kawatengenezea yeye?Inakuwaje wanajamvi!
Jeshi takatifu la Israel IDF Jana liliwadanganya Hamas litaingia Gaza kwa kikosi chake cha ardhini. HAMAS wakaingia kwenye maandaki yao kuwasubiri kuwaambush.
Ndipo hapo jeshi teule likawashushia vitu vizito kadhaa vyenye ncha butu vikigusa ardhi tu vinalipuka paah kwa Kishindo kikubwa. Wanamgambo wengi wameshafukiwa.
Taifa teule limeenda mbali nakusisitiza Hamas lazima walipe mabomu walioshambuliwa nayo kwa kuwapelekea bills.
God bless and protect Israel
View attachment 1784687
IDF TRICKED Hamas and then obliterated their tunnel network
There was confusion when the IDF said shortly after midnight that ground forces were 'attacking in Gaza', but it was a trick to get Hamas fighters into the tunnels before bombing the network.www.dailymail.co.uk
Hizo haki sawa unazosemea ndio wakapore ardhi za wenzao?Hamas wanasababisha haya yote, wasingekua wanajificha kwa RAIA. Wanarusha makombora wakiwa wamejificha kwa RAIA.
Afu tuache kuilaumu Israel maana hata hao Hamas wanaporusha makombora hawaangalii kama kuna watoto, au hata RAIA. Raia wa Israel wana haki sawa na wa Palestina
Ndio mkuu wangu. Wee Tulia tu acha porojo jamvini huku sisi tunachanja mbuga kwenye mibarakaSasa alieliteuwa hilo taifa la Israel na hiyo bendera ulioshika ndio kawatengenezea yeye?
Lazima dozi wapokee iyo ni ardhi ya wayahudi zawadi kutoka kwa Mungu pekee wa kweli wa Israel.Hizo haki sawa unazosemea ndio wakapore ardhi za wenzao?
Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
Waliteuliwa na Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo.wameteuliwa na nani?
Adui wa adui yako, mkumbatie!Hivi Hawa mayahudi mnayoyashbikia sindio walio msulubisha mungu wenu Leo mmekua upande wao.
Watoto hawana hatia lakin wakiwa wakubwa wanakuwa kama baba zao kwahy Israel wameona wamalize mzizi wa fitnamaskini watoto na raia wanauliwa huko kila kukicha hawana hata hatia nyie mnashangalia kwa mihemko ya kidini, mara sijui taifa teule yani ni bullshits tu...!!
I'm sure siku waizrael wakija kuvurumisha makombora hapa Tanzania maybe tuseme tumekinzana na intetest zao, nina uhakika watu kama nyie mliokuwa blinded na dini zenu mtaitetea tu Izrael na mtaishinikiza serikal yetu kukubaliana na matakwa yao.
Jews wanatumia advantage kubwa kupitia misimamo ya dini zenu ili kujitengenezea sapoti kubwa around the globe na kiukweli wamefanikiwa kwa hili.
Tamaa ya mwanandamu kutaka kumiliki kila kitu haijawahi kuwa na majibu chanya hata siku moja , angalia tamaa za Hitler kutaka kutawal dunia zilivyosababisha umwagikaji damu dunia nzima ambao haujawahi kutokea .Nawaonea huruma sana watu wanaoteseka huko sijui ni lini watapumzika na kushushiwa missiles
Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
hao walikuwa machiziUkiristo ulipamba moto sana ulaya enzi hizo. Watu walikuwa tayari kufa kwa ajili ya Yesu. King Richard 1 the lion heart na akina king George lilipokuja swala la Ukiristo hawakuwa na mchezo nayo.
Walisafiri na farasi na kwa miguu mwendo mrefu. Waliikwepa sana Antioch Turkey kwasababu ya Byzantium empire. Wakazunguka Juu Bohemia ambayo ni modern Czech Slovakia na Ukraine Bulgaria kuizunguka black hadi Georgia.
King George alipapenda sana Georgia alipozaliwa Joseph Stalin ndo maana hilo taifa linaitwa Georgia baada yake na bendera ya Georgia inashabiana na ya England ambayo ni nyeupe na red cross (st George cross).
Pitia Iran na kushuka had Jerusalem.
Pia kuna Charles the Great wa Ufaransa (charlanagne) naye alipambana sana na Saladin yeye aliwabadilisha sana watu kwa nguvu kuwa wakristo na kuwabatiza kwa lazima
😀 😀 😀 Safi Sana.Inakuwaje wanajamvi!
Jeshi takatifu la Israel IDF Jana liliwadanganya Hamas litaingia Gaza kwa kikosi chake cha ardhini. HAMAS wakaingia kwenye maandaki yao kuwasubiri kuwaambush.
Ndipo hapo jeshi teule likawashushia vitu vizito kadhaa vyenye ncha butu vikigusa ardhi tu vinalipuka paah kwa Kishindo kikubwa. Wanamgambo wengi wameshafukiwa.
Taifa teule limeenda mbali nakusisitiza Hamas lazima walipe mabomu walioshambuliwa nayo kwa kuwapelekea bills.
God bless and protect Israel
View attachment 1784687
IDF TRICKED Hamas and then obliterated their tunnel network
There was confusion when the IDF said shortly after midnight that ground forces were 'attacking in Gaza', but it was a trick to get Hamas fighters into the tunnels before bombing the network.www.dailymail.co.uk
Inakuwaje wanajamvi!
Jeshi takatifu la Israel IDF Jana liliwadanganya Hamas litaingia Gaza kwa kikosi chake cha ardhini. HAMAS wakaingia kwenye maandaki yao kuwasubiri kuwaambush.
Ndipo hapo jeshi teule likawashushia vitu vizito kadhaa vyenye ncha butu vikigusa ardhi tu vinalipuka paah kwa Kishindo kikubwa. Wanamgambo wengi wameshafukiwa.
Taifa teule limeenda mbali nakusisitiza Hamas lazima walipe mabomu walioshambuliwa nayo kwa kuwapelekea bills.
God bless and protect Israel
View attachment 1784687
IDF TRICKED Hamas and then obliterated their tunnel network
There was confusion when the IDF said shortly after midnight that ground forces were 'attacking in Gaza', but it was a trick to get Hamas fighters into the tunnels before bombing the network.www.dailymail.co.uk