Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,649
- 3,162
Me nlivosoma kuwa wameita askari wa akiba nikasema hii sasa mtiti kumbe chengaWee acha tu Singh yani mabomu matakatifu yamepenyezwa kwenye maandaki yao walipojificha kama panya na wanamgambo wa Hamas kupata room temperature challenges.
Wayahudi ni nouma