Mkewe alitajwa na alikuwa kwenye picha; Alikuwa na wake wawili
Wa kwanza alikuwa na Mtoto Mmoja na Wa pili ndiye mke mkuu alizaa nae hao watoto wote 8
Yeye huyo Mwenye watoto 8 kakimbilia Algeria pamoja na mtoto wake wa kike, wavulana 2 na mtoto wa kiume wa mke wa kwanza; mke wa kwanza alikuwa na mtoto mmoja tu nae.