Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,533
Guys my day has been spoiled by my beloved wife. Jana jioni nili mdrop home then mimi nikageuza kwenda Club kupiga story kidogo japokuwa nimesimama pombe sababu za kiafya. Dont think if this could be an excuse ya mimi kuto hang kabisa na friends. Later alinipigia just to check my position. I told her where I am and she knows the joint. Alikuwa kama haamini vile but I told that I am there and she could just walk in if she feels like. Hakuja ila nami nilikaa mpaka around saa nne usiku then I went back home.
Asubuhi hii eti analeta zangwe kwamba nilikuwa na mwanamke ndio maana nili mdrop haraka haraka na kurudi town. Kweli nijijitahidi sana kumuelezea hakuelewa ilichofuata ilibidi nitoe KIPONDO. Shida ya wanawake wetu wa kiswahili wanaishi kwa kuhisihisi tu. Kweli nimekasirika sana and my whole day is spoiled.
Ingekuwa ni kule kwa wenzetu wala huo mda wa kuja kuandika hii habari yake JF asingeupata, angekuwa tayari yupo jela!.
Analeta wivu wa kubomoa huyo na anataka akupande kichwani,pigaaaaaaa.....
Analeta wivu wa kubomoa huyo na anataka akupande kichwani,pigaaaaaaa.....
We Swts Jumapili hii shetani yuko zake bize makanisani akitafuta waumini alifikaje huko Club...Hivi hamuoni na yeye ana zambi za kumtosha mpaka mumtwishe na za kwenu? Imeandikwa kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe..
Guys my day has been spoiled by my beloved wife. Jana jioni nili mdrop home then mimi nikageuza kwenda Club kupiga story kidogo japokuwa nimesimama pombe sababu za kiafya. Dont think if this could be an excuse ya mimi kuto hang kabisa na friends. Later alinipigia just to check my position. I told her where I am and she knows the joint. Alikuwa kama haamini vile but I told that I am there and she could just walk in if she feels like. Hakuja ila nami nilikaa mpaka around saa nne usiku then I went back home.
Asubuhi hii eti analeta zangwe kwamba nilikuwa na mwanamke ndio maana nili mdrop haraka haraka na kurudi town. Kweli nijijitahidi sana kumuelezea hakuelewa ilichofuata ilibidi nitoe KIPONDO. Shida ya wanawake wetu wa kiswahili wanaishi kwa kuhisihisi tu. Kweli nimekasirika sana and my whole day is spoiled.
Guys my day has been spoiled by my beloved wife. Jana jioni nili mdrop home then mimi nikageuza kwenda Club kupiga story kidogo japokuwa nimesimama pombe sababu za kiafya. Dont think if this could be an excuse ya mimi kuto hang kabisa na friends. Later alinipigia just to check my position. I told her where I am and she knows the joint. Alikuwa kama haamini vile but I told that I am there and she could just walk in if she feels like. Hakuja ila nami nilikaa mpaka around saa nne usiku then I went back home.
Asubuhi hii eti analeta zangwe kwamba nilikuwa na mwanamke ndio maana nili mdrop haraka haraka na kurudi town. Kweli nijijitahidi sana kumuelezea hakuelewa ilichofuata ilibidi nitoe KIPONDO. Shida ya wanawake wetu wa kiswahili wanaishi kwa kuhisihisi tu. Kweli nimekasirika sana and my whole day is spoiled.
Kwa hali hii kuna umuhimu wanawake baada ya kichenpati twende judo.ngumi mkononi hakuchapi mtu.hehehe
Judo mbali! Kwani we huna kastuli chumbani mwenu? Huna mazoea ya kuweka walau glass moja juu ya stuli? Alafu katika zile chupa zinazoisha vinywaji usiwe unaziondoa zote, jitahidi uwe unabakiza hata moja kwa sababu ya kazi!!
Guys my day has been spoiled by my beloved wife. Jana jioni nili mdrop home then mimi nikageuza kwenda Club kupiga story kidogo japokuwa nimesimama pombe sababu za kiafya. Dont think if this could be an excuse ya mimi kuto hang kabisa na friends. Later alinipigia just to check my position. I told her where I am and she knows the joint. Alikuwa kama haamini vile but I told that I am there and she could just walk in if she feels like. Hakuja ila nami nilikaa mpaka around saa nne usiku then I went back home.
Asubuhi hii eti analeta zangwe kwamba nilikuwa na mwanamke ndio maana nili mdrop haraka haraka na kurudi town. Kweli nijijitahidi sana kumuelezea hakuelewa ilichofuata ilibidi nitoe KIPONDO. Shida ya wanawake wetu wa kiswahili wanaishi kwa kuhisihisi tu. Kweli nimekasirika sana and my whole day is spoiled.
Nyie ndio mnaofanya wake zenu wawakumbuke ma-ex wao, this morning kuna ex-wangu kaniita analia sana na story yake ni kama yako sasa cjui ndio mkeo au ni coincidence.
Nilifanikiwa kumliwaza akatulia na alimalizia maongezi namna hii "natamani mpenzi wangu ungelikuwa karibu leo ningekuletea uitumie vile unavyotaka mpaka uchoke mwenyewe"
Mate yalinitoka ila nikamwaidi nikiwa mjini nitamjulisha, kazi kwako baba.