My upcoming trip to Jordan

Karibu sana Mkuu
Kwa bara la Africa ni Cairo, Nairobi, DAR, Mogadishu, Addis na Kampala na Zanzibar
Nchi za Middle East ni Jeddah, Riyadh, Makka na Madina,Kuwait, Bahrain, Abu Dhabi, Muscat na Salala, Doha, Iraq miji saba na Amman pamoja na Damascus na Beirut
Aisee mpaka zingine inabidi nikumbuke uzee huu shida
Europe ni chache UK yote, Frankfurt, Paris, Lille, Marseille, Lyon na Dunkirk
Belgium nimepita na gari nikielekea Charles de Gaulle Paris
Far East nilienda Burma na Vietnam pamoja na Bangkok hii ilikuwa safari yangu ndefu ya ndani ya ndege ilikuwa masaa 11
Havana nilikaa siku nne tu na India pia
Bado sehemu nyingi sana mkuu kama Rio de Janeiro na Kingston
Mungu anipe uzima

Ila safari ukitaka ule maisha tafuta cruises kuzunguka dunia ila sina maana dunia yote bali inategemea na mfuko wako
Yeah hapo kwenye cruises napo ndipo hata matajiri wengi wanapopeta kuanzia wafanya biashara wana muziki hadi wacheza mpira maarufu duniani they spend lots of dinero on cruises, na ndiyo maana huwa wanamiliki private yachts au huwa wanakodi kwa bei kubwa tu mfano kama kina Bill Gates huwa wanakodi yachts karibu kila wiki kwa ajili ya kuenjoy na famili zao tu.
 
Wowww wooww woow
You have made me read the whole thread. Nothing captivates me like reading and travelling maana zote zafungua my sense of imagination and see things beyond my present world.

Kwangu priority ni kusafiri na kuishi a simple and comfortable life. I like to hussle ila sio kukamia maisha 365 days a year bila kubreath. Kama wengine wanavyosave kununua prado and all that my soul gets better na kusafiri ( of course baada ya mahitaji muhimu kuwa met)

I have on my bucket list ( muda ukiruhusu ipp siku nitashare my two most amazing experience za Greece na Egypt maana zimeacha alama moyoni

1 Switzerland...Done
2. Egypt ....done
3. Indonesia ...bado
4. Rome ....bado
5. Greece....Done twice and still wish to repeat
6. Ethiopia....done
7. Australia...bado
8. Belize...bado
9. Israel....bado
10. Lebanon...bado
11. Moroco...bado

Tz
LUSHOTO...Done
Ngorongoro..bado
Mbeya hills ..bado


The feeling mtu unapata ukifanikiwa kutembelea sehemu mpya is so refreshing , mind opening.
Sure mkuu, Mbeya ungependa kutembelea milima gani?
 
Yeah hapo kwenye cruises napo ndipo hata matajiri wengi wanapopeta kuanzia wafanya biashara wana muziki hadi wacheza mpira maarufu duniani they spend lots of dinero on cruises, na ndiyo maana huwa wanamiliki private yachts au huwa wanakodi kwa bei kubwa tu mfano kama kina Bill Gates huwa wanakodi yachts karibu kila wiki kwa ajili ya kuenjoy na famili zao tu.

Haswaaa
Lakini mkuu kumbuka hizo cruise zingine zinabeba mpaka watu elfu 6
Na lina deck 16
Sasa na wewe unajichanganya na hao
Kama unazikusanya unaweza kupanda na ukazunguka hata kwa wiki 2
Bei sio kubwa hivyo
Ila usijichanganye na hao wazee maana wao ni tofauti kabisa
 
Mkuu hizo safari ni miaka mingi sio kuwa lazima kila mwaka niende kutembea zingine namalizia home
Ila kwa likizo ya mwezi mbona nyingi tu maana huwezi kukaa nchi ya ugeni kwa zaidi ya wiki 2
Hapo wiki mbili zinatosha sana kwa kutalii
Na mbili zingine unaenda home kwa ndugu na wazazi
Kila la kheri
Usemayo yote ni kweli mkuu, hususan kama wewe umeanza kusafiri 70s.

Sisi tulioanza 2000s bado we have a long way to go.
 
Paula Paul,
Barikiwa nawe pia mkuu.

Kwa mbuga za wanyama Tanzania nimefika mikumi na saadani tu, aibu hii kwa kweli ila tatizo I was disappointed nlipofika mbuga zote hizo mbili kiasi kwamba sitamani kwenda kwengine.

Tatizo langu jengine ni muda, you know vile I have only 1 month leave basi hiyo hiyo uende holiday abroad na hiyohiyo upate kwenda kwa wazazi basi muda unabana.

I have been to Norway and Singapore, hutojuta mkuu kwenda huko. All the best na usinisahau zawadi please
 
Tofauti kati yetu na Wazungu sisi hatutalii wao wanatalii. Mzungu akija Afrika anakuja kwenye vivutio vya utalii. Sisi tukienda kwao twaishia hotelini kupiga picha za kuringishia watu.
Kingine ni kuwa sisi huko Ulaya au nje ya tanzania hatuendi kutalii bali kutembea tu
Tunatalii mkuu, labda kwa wasiojielewa.

Last year I was in Cambodia, one of a difficult tour to do there ni Angkor wat na niliifanya. I did Khmer rouge, nlienda national museum na mote humo ni pesa tu mzee.

Sikaagi ndani mkuu
 
Mfano wa Cruises itenary

Inaanzia Dubai mwisho Singapole.
Ukifika Singapole inabidi upande Ndege kurudi Tanzania. Trip nzima andaa 5mil siku 21

Hapo nauli kutoka Tz hadi Dubai na nauli kutoka Singapole hadi Tz.

Safari ya meli hizo siku 17 majini ni dollar 600 kwa safari ya November 30 hadi December 15


Majini siku 18
2019-10-25%2021.42.38.jpeg
2019-10-25%2021.41.43.jpeg
 
Back
Top Bottom