AshaDii ndo maana mimi nasema ni kazi ya kila mmoja kuifanya ndoa iwe mpya kila siku. Yaani ukiwa mbali na nyumbani utamani kila siku kurudi na kukutana familia yako. Yaani utamani kila siku kumuona mkeo au mumeo
Sio mnakaa ndani mnanuniana na kila mmoja asitamani kukaa au kurudi nyumbani kwa kuwa hakuna jipya
Yaani nyumba inakuwa sio hai na ndoa imekufa japo wanandoa wanaishi
<br /><br /><br />
<br /><br />
Thanks for your thoughts and analysis. The major difference between home and house is basically grounded in the nature of their occurrence. Home is an internally built trait which is not limited by space,while house must be something physical outside you that keeps your body. The basic foundation of a home is love, home is where your heart rests. If I were myself a pastor; I would conclude by saying that a hom e is founded the simple, immutable, indivisible being ( God ),while a house is just a product of your own creation.
<br />Umenikumbusha Useful Thread ya Mbu... "kujipendelea Muhimu (<a href="https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/143617-kujipendelea-muhimu.html" target="_blank">LINK</a>)... Naamini wanandoa woote wanapooana ndio moja ya mipango yao... kuona wataweza maintain their love na kujituma mara kwa mara kufanya anything possible... hata annual holidays if possible... But as time goes on responsibilities zinaongezeka... Kids happen... ya muhimu yanakua ni meeengi mno mpaka both mwaweza sahau kua kua kurudisha vibe nayo ni muhimu pia... Mpaka mwaweza jikuta katika hali ambayo MTM (<a href="https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/163812-life-after-a-very-sweet-love-relationship.html" target="_blank">LINK</a>) aliizungumzia Juzi kati... kwa kweli nguvu ya ziada inatakiwa... na kama ulivosema woote wawe committed...
<br />AshaDii ila hata kama kuna kuongezeka kwa majukumu msilale kuifanya ndoa yenu iwe mpya kila mara<br />
Napenda kama ulikuwa na tabia ya outing iendelee hata baada ya kuoana na kuwa na familia
<br /><br /><br />
<br /><br />
Yaani hapo unatamani umtwange maana hajajua thamani ya uwepo wake nyumbani na nini anapaswa kufanya kwa wakati huo. y
Most marriages are not successful ones kwa sababu, wengi tunaingia kwenye ndoa bila kujiuliza kabla kwanini uoe/uolewe! Ni mkumbo, fashion, fulfilling dreams, kuonyesha kitaa (marafiki hususani wanawake - they value pete za ndoa kuliko NDOA yenyewe). Researches reveal that walio ktk ndoa ni viwembe kuliko wasio ktk ndoa...... Tht answers my qn kwamba wengi tunaingia ktk ndoa bila kujiuliza je nina sababu ya kuoa / kuolewa sasa hv, kwanini nimuoe / olewa huyu na si yule etc......
<br /><br /><br />
<br /><br />
Tumezoea outing tunapokuwa kwenye mahusiano ya GF na BF watu wakiingia kwenye ndoa wanakuwa wanaona hakuna umuhimu wengine wanaanza kuchokana sababu mnaonana kuwa ni watu wa kawaida na hakuna haja ya kuboresha ndoa yenu hapa ndio mifarakano mingine inapoanza
Huwa ni ngumu ku maintain yale mliyokuwa mnafanya enzi hizo sababu majukumu yanaongezeka, watoto, ndugu wanaotuzunguka<br />
<br />
Na hapo ndo mnapoharibu
Outing zinapaswa ziendelee kama kawaida kila mara na hata kama ni maua kwa mke wako yaendelee
Yaani inatakiwa mfanye jambo ambalo linaifanya ndoa yenu iendelee kuwa mpya kila siku na umuone mkeo au mumeo kama bado ndo mnaanza mahusiano na sio mchokane
<br />Huwa ni ngumu ku maintain yale mliyokuwa mnafanya enzi hizo sababu majukumu yanaongezeka, watoto, ndugu wanaotuzunguka<br />
yaani lazima kuna mambo yatafutika tu na kuonekana kama si ya muhimu
Ni kweli kabisa na wengi hili linawakwaza sana including me, tunajaribu sana sana kupata muda wa kuwa pamoja ila wakati mwingine tunashindwa kufanya yaleeee ya zamani<br />
<br />
Lakini Shantel tusichukulie hii kama sababu kwamba familia na ndugu ndio wanatufanya tukose muda wa ku-revive our intimacy hapo kidogo sikubaliani na wewe
<br />Ni kweli kabisa na wengi hili linawakwaza sana including me, tunajaribu sana sana kupata muda wa kuwa pamoja ila wakati mwingine tunashindwa kufanya yaleeee ya zamani
<br />Shantel na Tf sitaki kupingana na mawazo yenu<br />
Kuna kuongezeka kwa majukumu na ndugu unajikuta hata ile privacy ya ndani inaondoka <br />
Ila ninaloamini na ninalopenda kusisitiza ni kwamba pamoja na majukumu yote aliyo nayo wife may be usiache kumtoa out. Wenzetu wanachoka sana na wanakuwa na muda mfupi sana wa kupumzika so usijisahau wala usije ukasema kuwa majukumu yameongezeka na familia ndo mwisho wa wewe na mkeo kutotoka out.
<br />TF hilo ni tatizo la wanandoa wengi. Hawana muda wa kukaa wenyewe kama wao. Wakishapata watoto inakuwa muda wote wanawaza watoto tuu. Wakiongezeka tena na ndugu inakuwa ni balaa kunakuwa nyumbani hakuna tena ule usiri wala muda wa wanandoa kuutumia kuongelea mambo yao kama wao. <br />
Sasa outing ndo zinasaidia kurudisha ule uhalisia na uzuri wa ndoa. Kuurudisha upya wa ndoa.
AshaDii ila hata kama kuna kuongezeka kwa majukumu msilale kuifanya ndoa yenu iwe mpya kila mara
Napenda kama ulikuwa na tabia ya outing iendelee hata baada ya kuoana na kuwa na familia