Blessingmore
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 371
- 379
You've said it well.Hello guys,
Nlivokuwa shule ya msingi na sekondari i was obsessed likizo ifike ili nikaishi kwa ndugu kwa miezi kadhaa, ila nlivofika 18 yrs and above nkaanza kuona dunia halisi jinsi ilivyo, so nlichukua maamuzi yafuatayo:
Nina miaka kama 2 na nusu hivi nimekuwa nikiishi kwa kutumia hizi principles:
1) Silali kwa mtu yoyote including kwa ndugu. Hata ikitokea wakaniomba nilale kwao, huwa nafikiri kuwa watu wengi ni wanafiki, watakuomba ulale kwao coz wanajua you are beneficial (unajiweza kiuchumi) or you will be beneficial for them in the future, na sio out of love. So uwe tajiri au maskini hata ikinitokea emergency kwako silali bure, ntakulipa kodi.
2) Nikimtembelea mtu simpi huyo mtu nafasi ya kunikaribisha kinywaji wala kunikaribisha msosi, nafika kwako nakusalimia baada ya dk 2 naondoka kwa kisingizio kuwa niko busy, kumbe walaa siko busy kwa muda huo. Nitakula kwako siku ukiandaa sherehe coz najua ntakutana na watu wengine for connection.
I do this coz nafikiri watu wengi hawapendi wageni ila basi tu inawabidi, binadamu wengi tumekuwa hatupendani, tunawaziana mabaya, na tumekuwa wabinafsi zaidi, so nimeona niishi hili life nipunguze kero kwa watu.
Those days ambazo nlikuwa natumia miezi 2 kukaa kwa ndugu ulikuwa ni utoto, those days are gone.
Wew hata wakuseme kula tu watajua wao n kwanin ukaribishwe n wew ukatae kula? Ivyo ivyo unatengeneza mazingira ht kwako wasile kumbuka n vitoto vyako vitarithi izi tabia na kusumbua dunia kuwa watoto wamechukua uchoyo wa baba ake.... Kusemwa umeanz weee bobu.?Haha eti sifa za kinafki, uchoyo wangu huko wapi sasa interegenciadick
Siku ulkipatwa majanga mbona utaoga hadi kwa watuHello guys,
Nlivokuwa shule ya msingi na sekondari i was obsessed likizo ifike ili nikaishi kwa ndugu kwa miezi kadhaa, ila nlivofika 18 yrs and above nkaanza kuona dunia halisi jinsi ilivyo, so nlichukua maamuzi yafuatayo:
Nina miaka kama 2 na nusu hivi nimekuwa nikiishi kwa kutumia hizi principles:
1) Silali kwa mtu yoyote including kwa ndugu. Hata ikitokea wakaniomba nilale kwao, huwa nafikiri kuwa watu wengi ni wanafiki, watakuomba ulale kwao coz wanajua you are beneficial (unajiweza kiuchumi) or you will be beneficial for them in the future, na sio out of love. So uwe tajiri au maskini hata ikinitokea emergency kwako silali bure, ntakulipa kodi.
2) Nikimtembelea mtu simpi huyo mtu nafasi ya kunikaribisha kinywaji wala kunikaribisha msosi, nafika kwako nakusalimia baada ya dk 2 naondoka kwa kisingizio kuwa niko busy, kumbe walaa siko busy kwa muda huo. Nitakula kwako siku ukiandaa sherehe coz najua ntakutana na watu wengine for connection.
I do this coz nafikiri watu wengi hawapendi wageni ila basi tu inawabidi, binadamu wengi tumekuwa hatupendani, tunawaziana mabaya, na tumekuwa wabinafsi zaidi, so nimeona niishi hili life nipunguze kero kwa watu.
Those days ambazo nlikuwa natumia miezi 2 kukaa kwa ndugu ulikuwa ni utoto, those days are gone.
Watu hufikia maamuzi haya baada ya kugundua kua hata Wanapofikwa na majanga hakuna ndugu anayejitoa kukusaidia.Siku ulkipatwa majanga mbona utaoga hadi kwa watu
He is a family memberLakini ulisema huwa unalala kwa bro, ndio maana uli-mind bro na wifiyo kulala hotel.
Ipo siku watatengua maamuzi yaoWatu hufikia maamuzi haya baada ya kugundua kua hata Wanapofikwa na majanga hakuna ndugu anayejitoa kukusaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Of course.Ipo siku watatengua maamuzi yao
Mi napenda kulala kwa watu, hasa wa jinsia nyingine.na nikikaribishwa Kula sikatai.Hii ya kulala kwa watu hata mimi siifanyi last time shost alikwenda Christmas party ya kazini kwao ilibidi niende ku- baby sit. Ile amerudi tu nikaondoka nilimiss kitanda changu vibaya mno
Siku hizi family members ni mke/mume na watoto. Siblings are considered distant family members.He is a family member
Hahaha baada ya kusoma hiipost nikatabasamu, lkn nilipo angalia jina na picha hahahaha u made my day zombiMi napenda kulala kwa watu, hasa wa jinsia nyingine.na nikikaribishwa Kula sikatai.
Sent using Jamii Forums mobile app