MOI JOHN
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 1,736
- 1,078
Unaenda kusalimia mara unasikia dogo anachapwa na mama mtu huku akisema "Hii tabia ya kuchafua choo imeanza lini?". Hiyo kauli inakuwa ni Message Sent kwako kuptia kwa mtoto maana hapo awali uchafuzi wa choo ulikuwa haupo.Aise shukrani mkuu, bora ya wewe umenielewa, wengine wanadhani nafanya hivyo coz mm ni mchoyo Truths
NDUGU LAWAMA