Wlly,
Mkuu nadhani huifahamu vizuri CCM ya sasa hivi na jinsi watu walivyobadilika. Ondoa kabisa mawazo ya kwamba kina Lowassa, Chenge na Rostam wataondolewa hata kamam utakuwa na mawasiliano moja kwa moja na JK. Hili haliwezekani na CC hawawezi kukiweka chama ktk vita ya ndani. Kumbuka tu kwamba EL alijiuzuru Uwaziri mkuu kukinusuru chama na hakika wahusika wote ni pamoja na Rostam, Chenge na JK mwenyewe.
Sisi wote tulifurahia sana pindi JK alipoingia madarakani kutokana na ahadi zake, lakini kumbuka pia ni wewe mwenyewe uliyetutahadhalisha na mtandao jinsi walivyotumia nguvu ya fedha kuingia madarakani. Binafsi sikuamini na ilinichukua muda sana kuamini maelezo ya mkuu wangu wa ukweli ikiwa ni pamoja na yule Mzee Es...
Hakuna kilichobadilika na hakuna matumaini tena ndani ya CCM na ndio maana nilijiunga Upinzani sii kwa sababu nyingine zaidi ya kuelewa kwamba Utawala wowote unaoingia kwa nguvu ya fedha hasa za wafadhili iwe wa ndani au nje matokeo yake ni kuwafanya wananchi ambao ndio serikali kuwa watumwa wa wafadhili hao..Hii ndio CCM ambayo unatafuta kiongozi bora atokee wakati ushindi haupatikanai isipokuwa kwa kutumia fedha.
NNauye mshikaji, bwana mdogo ambaye kapachikwa wadhifa huu makusudi baada ya kupigwa vita kule vijana wa CCM na ni ktk kujaribu kukijenga chama upya kutokana na migogoro ndani kwa ulipatanisho wa Mzee Ruksa na Kinana. Hivyo chama bado kabisa hakijaweza kupona donda la uhasama ndani kinahitaji recovery period. Kusimika kisu ktk donda la Ufisadi ati kwa kujivua magamba ni hadithi za Abunuasi..
Upatanisho wa kamati ya Mzee Mwinyi haukuwa na mshindi, hivyo kuwaondoa Mapacha ni kuwapa ushindi kundi pinzani jambo ambalo haliwezekana kabisa kutokana na kuwa JK mwenyewe ni kundi la mtandao. Na kama Lowassa alivyosema Urafiki wao haukuanza jana, Sasa wewe nambie boyza to Men walianza lini ilihali Mwalimu alimwita Lowassa fisadi na JK hajakomaa kisiasa...
Ifike wakati tukubali matokeo mkuu wangu, huwezi kuibadilisha CCM kwa siasa za kiitikadi ikiwa watu wamepania kutajirika. Utajiri hauna mfumo wala Elimu bali ni tamaa ambayo haiwezi pukutika isipokuwa kwa sheria kuwabana na bahati mbaya sheria wameikalia wenyewe.
Mkuu nadhani huifahamu vizuri CCM ya sasa hivi na jinsi watu walivyobadilika. Ondoa kabisa mawazo ya kwamba kina Lowassa, Chenge na Rostam wataondolewa hata kamam utakuwa na mawasiliano moja kwa moja na JK. Hili haliwezekani na CC hawawezi kukiweka chama ktk vita ya ndani. Kumbuka tu kwamba EL alijiuzuru Uwaziri mkuu kukinusuru chama na hakika wahusika wote ni pamoja na Rostam, Chenge na JK mwenyewe.
Sisi wote tulifurahia sana pindi JK alipoingia madarakani kutokana na ahadi zake, lakini kumbuka pia ni wewe mwenyewe uliyetutahadhalisha na mtandao jinsi walivyotumia nguvu ya fedha kuingia madarakani. Binafsi sikuamini na ilinichukua muda sana kuamini maelezo ya mkuu wangu wa ukweli ikiwa ni pamoja na yule Mzee Es...
Hakuna kilichobadilika na hakuna matumaini tena ndani ya CCM na ndio maana nilijiunga Upinzani sii kwa sababu nyingine zaidi ya kuelewa kwamba Utawala wowote unaoingia kwa nguvu ya fedha hasa za wafadhili iwe wa ndani au nje matokeo yake ni kuwafanya wananchi ambao ndio serikali kuwa watumwa wa wafadhili hao..Hii ndio CCM ambayo unatafuta kiongozi bora atokee wakati ushindi haupatikanai isipokuwa kwa kutumia fedha.
NNauye mshikaji, bwana mdogo ambaye kapachikwa wadhifa huu makusudi baada ya kupigwa vita kule vijana wa CCM na ni ktk kujaribu kukijenga chama upya kutokana na migogoro ndani kwa ulipatanisho wa Mzee Ruksa na Kinana. Hivyo chama bado kabisa hakijaweza kupona donda la uhasama ndani kinahitaji recovery period. Kusimika kisu ktk donda la Ufisadi ati kwa kujivua magamba ni hadithi za Abunuasi..
Upatanisho wa kamati ya Mzee Mwinyi haukuwa na mshindi, hivyo kuwaondoa Mapacha ni kuwapa ushindi kundi pinzani jambo ambalo haliwezekana kabisa kutokana na kuwa JK mwenyewe ni kundi la mtandao. Na kama Lowassa alivyosema Urafiki wao haukuanza jana, Sasa wewe nambie boyza to Men walianza lini ilihali Mwalimu alimwita Lowassa fisadi na JK hajakomaa kisiasa...
Ifike wakati tukubali matokeo mkuu wangu, huwezi kuibadilisha CCM kwa siasa za kiitikadi ikiwa watu wamepania kutajirika. Utajiri hauna mfumo wala Elimu bali ni tamaa ambayo haiwezi pukutika isipokuwa kwa sheria kuwabana na bahati mbaya sheria wameikalia wenyewe.