My opinion: Je serikali ya CCM iko serious kweli au ni kiini macho tu

Hivi serikali kugarimia usafiri wa Mbowe to AR kwa 50 milion ni sahihi?kisa amri ya hakimu mkaazi wa AR,tuacheni siasa tuzungumzie reality,serikali haina vipaumbele!, vilivyopo ni katika makabrasha tu,zaidi siasa za gilba hivi hao uliowataja mafisadi wakubwa na waliotakiwa kujivua gamba ni kiasi gani cha pesa kimetumika hadi sasa kuwashughulikia?.wao ni kuwashughulikia wapinzani tu,mara Zitto,mara Lipumba,Sakaya,Lissu,Ndesa,Lema e.t.c.wote hawa wana kesi sasa wafungeni wote basi tuone kama mna hizo nguvu.
Wananchi hatupendi tena hatupendi na hii ndiyo inayosababisha upinzani kukua kila kukicha,kama mnashindwa kuwashughulikia mafisadi ndani ya serikali mnawashughulikia wapinzani kuwaziba midomo wasiwaumbue sisi tutawapa hao wapinzani dola ili wawashughulikie kikamilifu.
Inachefua sana tu,mimi siyo mwanasiasa ila serikali inanilazimisha nishabikie siasa,na waelewe kabisa kuwa kizazi hiki kinachokuja ukiwanyanyasa kidogo ni rahisi sana kulipuka kwa njia wanayojua wao.serikali isifikiri kuwa hawa wasomi wanapewa kichele kisichotosha mlo wa siku wakisikia 50 milioni zimetumika kumsafirisha Mbowe wanaelewa kitu,mawazo yao ni kuchezea pesa ya serikali tena inachefua zaidi wanaposikia fisadi mmoja aliyekuwa anajichukulia 143 milioni daily anabembelezwa ajivue gamba na yeye hataki kisa anashushiwa hadhi ya kuwa mgombea urais 2015.
Kwanini asiburuzwe kama Mbowe,au anataka kuongoza dola kwa maslahi ya nani?,hivi akigombea mtu kama huyo CCM itawalazimisha wananchi kumpigia kura kwa nguvu,tena kwa kutumia risasi za moto na mabomu ya machozi?.NGUMU KUMEZA LAKINI TAMEZA.
 


- CCM ina alternatives nyingi sana za wagombea wa Urais, kuliko huko upande wa pili Magufuli, Mwandosya, Membe, Sitta, Mwakyembe, hawana wapinzani!

William @ NYC, USA.


Kwa hiyo CDM haina watu wenye sifa au Phd au maprofesa? Kwani kigezo cha kuwa Raisi lazima vitumike vya CCM? CDM wana alternatives nyingi sana kuliko CCM. Kumbuka hata wazungu hawakuamini kwamba Obama angeweza kuwa raisi. wengi walikuwa na akili za wazee wa miaka ya 60s walioamini ubaguzi. hata wewe nafikiri bado unafikira za wazee wengi wa CCM wasio amini wengine. Kizazi cha sasa wengi hawajaishi chama kimoja. wapiga kura wengi waliozaliwa miaka ya 1975 kwenda juu hawajawahi kuishi maisha ya U-ccm na ndio wanaowasumbua. Ninyi bado mnaishi karne nyeusi. Utakapoona wenye sifa wengi kutoka CDM utashangaa sana. Unajua elimu za kukariri ndizo zinaleta tabu, na shida kubwa ni mitaala yetu. Kumbuka tuliimba mawaziri na tukaaminishwa majina lazima yawe hayo, mgondo huo unawafanya watanzania wazee kuamini majina badala ya uwezo na utendaji. Tunaelimisha kizazi kipya kwa matokeo mapya. Matokeo ya urais 2010 unayo? ulizia tume tuyapate. waulize kizungu zungu ni nini? pamaoja na majina yenu mengi 2015 ni kilio tu.
 
Kwa hiyo CDM haina watu wenye sifa au Phd au maprofesa? Kwani kigezo cha kuwa Raisi lazima vitumike vya CCM? CDM wana alternatives nyingi sana kuliko CCM. Kumbuka hata wazungu hawakuamini kwamba Obama angeweza kuwa raisi. wengi walikuwa na akili za wazee wa miaka ya 60s walioamini ubaguzi. hata wewe nafikiri bado unafikira za wazee wengi wa CCM wasio amini wengine. Kizazi cha sasa wengi hawajaishi chama kimoja. wapiga kura wengi waliozaliwa miaka ya 1975 kwenda juu hawajawahi kuishi maisha ya U-ccm na ndio wanaowasumbua. Ninyi bado mnaishi karne nyeusi. Utakapoona wenye sifa wengi kutoka CDM utashangaa sana. Unajua elimu za kukariri ndizo zinaleta tabu, na shida kubwa ni mitaala yetu. Kumbuka tuliimba mawaziri na tukaaminishwa majina lazima yawe hayo, mgondo huo unawafanya watanzania wazee kuamini majina badala ya uwezo na utendaji. Tunaelimisha kizazi kipya kwa matokeo mapya. Matokeo ya urais 2010 unayo? ulizia tume tuyapate. waulize kizungu zungu ni nini? pamaoja na majina yenu mengi 2015 ni kilio tu.

- Nilitegeema utawataja kwa majina hao wagomeba wenye uwezo wa kuishinda CCM, kutoka huko Chadema, badala yake naona zile zile ngonjera za bila Facts, unasema ni wazungu gani hao ambao hawakuamini kwamba Obama hawezi kua Rais, wakati ni hao hao Wazungu waliomsaidia kua Rais? Unasema Teddy Kennedy alimsaidia Obama huku akiwa haaamini kwamba anaweza kushinda? Tafuta kitabu mkuu kinaitwa Game Change, uelewe jinsi wazungu walivyokuwa wanamsaidia Obama!

- Hoja zingine bwana! Duh! halafu unasema haya yako ndio mawazo ya kisasa! ha! ha! ha!


William @ NYC, USA.
 
@ Facebook: by William Malecela on Tuesday, June 7, 2011 at 8:36pm

@ NEW YORK CITY-US: Hongera sana Serikali ya CCM kwamba kwa mara ya Tatu toka tupate Uhuru, imeonyesha kuwa ikiamua inaweza kusimamia Sheria bila kujali inamgusa mwananchi au kiongozi wa taifa. Ninasema kwa mara ya Tatu kwa sababu mara ya kwanza ilianza na Balozi Mahalu, halafu Mawaziri Wake Yona na Mramba, na safari hii Mwenyekiti wa Chadema. Kama kawaida siku zote the end of hizi National Legal dramas huwa ni open for debate, na hasa iwapo the end justifies the means, lakini angalau hata kidogo kuliko kutokuwepo kabisaa! Ninasema hivi, kusimamia Sheria za Jamhuri ni lazima kuwepo na gharama na sisi wananchi walipa kodi lazima tuwe tayari kulipia gharama za Serikali yetu kusimamia Katiba ya Jamhuri, ambayo Viongozi wetu wa taifa hukubali kwa kiapo cha vitabu vyetu vitakatifu kwamba bora wafe, kuliko kuona Sheria za Jamhuri zinavunjwa!

....

- I mean we are taking Serikali ya CCM at its words kwenye ishu ya Mwenyekiti wa Chadema, kwamba iko serious na kusimamia Sheria za Jamhuri, So! tunasema hivi Charity begins at home sasa ni wakati wa Serikali ya CCM kutuhakikishia wananchi kwamba katika kusimamia Sheria za Jamhuri, hakuna aliye juu yake kwa kuwafikisha kwenye Sheria Viongozi wake wengi wanaotuhumiwa kuvunja Sheria ile ile iliyovunjwa na Mwenyekiti wa Chadema, mpaka kumbeba na Midege ya Jeshi letu ili akaridhie Sheria Arusha, sasa hii Midege iwabebe na wanaohusika na Radar & BAE, Richmonduli, IPTL, Dowans, Kagoda, EPA, Deep Green, Meremeta, Anabem, Kiwira, ATC na wao tuone wakibebwa na midege ya Jeshi kwenda kwenye Sheria za Jamhuri!: Tunasema hivi sisi wananchi wa Tanzania sio mabwege tena!

Well, People Good Night!

William Malecela @ New York City, USA.

Serikali ya CCM ndio imehakikisha Mbowe anakamatwa? Ivi wewe unajua uraia au ni kusifia ccm tu kwenye kila kitu? Ivi mtu mwenye akili anaweza ku-make such a statement? Unajua tofauti ya Polisi na ccm? Au wewe ni wale wanaodhani kuwa polisi na ccm ni kitu kimoja. Nakushauri uache kuandika upuuzi huu mara moja. Unaonyesha jinsi gani usivyojua separation of powers katika nchi. Na huu ujinga wenu ndio unawapa ccm kiburi!
 

- Sheria ninaijua sana mkuu, ndio maana hata umejitokeza kuja kunijibu! ha! ha! ha!, au? Halafu can you imagine ningewaambia waandishi wa habari kwamba ni kweli nii ni forums ya Chadema, ile siku waliponiuliza?


William @ NYC, USA.
mkuu hiyo kauli ni mbofu mbofu ina maana unapiga mkwara kwa wewe unailinda sana hii forum bila wewe kusema sio ya CHADEMA basi inakuwa ya CHADEMA?
Kwani wanaopost hapa ndani ni kina nani?
na lini Jamii forum waliomba wanachama wake kuonyesha kadi ya chadema kama sharti la kujiunda na hii forum?
hacheni maneno mbovu mbovu bana, hizi dharahu ndizo zinazowaponza ccm kila kitu chadema, ina maana sisi wananchi hatuna akili za kufikiria mkuu? kama mtu ana amini ujinga ni juu yake hata kama forum ina milikiwa na chadema mbona kila siku tunasoma hapa pumba zako na wewe sio mwana CHADEMA,
AU chadema ni nchi gani? unaongea kama kikwete bana
 
Serikali ya CCM ndio imehakikisha Mbowe anakamatwa? Ivi wewe unajua uraia au ni kusifia ccm tu kwenye kila kitu? Ivi mtu mwenye akili anaweza ku-make such a statement? Unajua tofauti ya Polisi na ccm? Au wewe ni wale wanaodhani kuwa polisi na ccm ni kitu kimoja. Nakushauri uache kuandika upuuzi huu mara moja. Unaonyesha jinsi gani usivyojua separation of powers katika nchi. Na huu ujinga wenu ndio unawapa ccm kiburi!
Good point mkuu,niko mabox natumia topiced view sababu computer imebaniwa kidogo,kwa hito nimetumia post yako ili niweze kuchangia huu mjadala.Sorry.

Mtanzania yeyote au niseme asilimia tisini ya wafanyakazi wa serikali wenye nyumba na gari ni mafisadi!!...kwa sababu mshahara hautoshi.
Thanx.
 
- Mbowe na Chadema bado hawajafikia kuwa tishio kwa CCM kuwa kwenye power, na it has nothing to do na Mbowe kushindwa kufika mahakamani alikowekewa dhamana, kama kweli CCM inataka kumu-eliminate Mbowe sidhani kama inahitaji kusubiri ashidnwe kwenda kwenye kesi yake Arusha halafu ikamuachia,

- Mbowe hawezi kugombea Urais tena, na Chadema wana tatizo kubwa sana hapo 2015, unless atokee a strong candidate from CCM, Zitto anaweeza kututikisa sana, lakini that is all unless CCM tujimalize wenyewe kama kawaida yetu!

William @ NYC, USA.
Mkuu utabiri wako kuhusu uchaguzi ujao 2015 jibu lako litafute kenye kauli yako"My opinion: Je serikali ya ccm iko serious kweli au ni kiini macho tu? HAIKO SERIOUS NA KIINI MACHO HAINA NAFASI YA KUTUPATIA RAIS MAKINI,NA KAMA KITATUPATIA BASI NI KWA KUCHAKACHUA.Kuhusu ku-eliminate Mbowe wanatamani sana lakini tatizo hawako serious na wasanii wanafikiri kwa MATUMBO NA SI KWA AKILI matkeo yake badala ya kumaliza mbowe na CHADEMA wanawaongezea umashuhuri
 
HOWEVER: Serikali ya CCM ifike mahali sasa isituchukulie sisi wananchi kama ni wendawazimu au walevi walevi flani hivi, ambao tunaweza kudanganyika kirahisi sana na viini macho. I mean huu mwendo wa kasi sana uliotumika katika kusimamia Sheria kwenye ishu ya Mwenyekiti wa Chadema, kwa nini isitumike na kwenye kesi zingine ambazo ushahidi wake wa maovu against sisi wananch


upuuzi mtupu
 
- Well, vipi mkuuu kwema sana huko? Siku nyingi sana tutafutane infact juzi niilikuwa na jamaa kutoka bongo yaani Rungwe, alikuulizia sana, tuwasiliane ndugu yangu!

William @ NYC, USA.
Ndo umeamua ujifariji kwa style hiyo. Una mawazo ya kimagamba kama chama chako cha magamba
 
William,
Kudos for coming in open and expose your face for heavy punching...it is a sign of maturity! On the other hand, CCM bwana mpaka wawe serious, lazima kitu fulani kitokee...nawashukuru sana CCM kwa kuchagua uongozi huu maana weakness zake zimeifanya CCM ijitambue sasa kwa ina gonjwa baya kabisa ambalo ni lazima lipatiwe dawa haraka iwezekanavyo. Angelikuwa ni kiongozi mwingine, angelitumia nguvu na rasilimali nyingi kulinda maovu yaliyotokea na hivyo wananchi kutojua ukubwa wa tatizo la kiungozi ndani ya CCM.
 
William @ New York, kama una mapenzi ya kweli na chama chako basi wasiliana na Nape ili uchukuwe jukumu la kuwafunda vijana wao wanaowatuma kuja kwenye mitandao, badala ya kuja na kujenga hoja na kutetea hoja wao wamekuwa ni mfano mbaya kwa chama chako inaonekana kama ni chama cha misukule.
Wewe binafsi najuwa una uwezo wako binafsi aliokujalia mungu wa kujenga hoja na kuitete na kuleta topic za kichokonozi, ingawa watu wengi wanashindwa kuelewa hasa unasimamia lipi!
Members wengi humu naona huwa wanashindwa pointi of argument na wewe mwishowe ukimbilia kuattack Surname yako. Big up mkuu, kungekuwa na ccm 5 tu humu jamvini wenye uwezo wa midahalo kama wewe jukwaa lingenoga zaidi.
 
Asante kwa mada nzuri. Ila naona kama ina mapungufu kidogo, kwani "opinion" yako haionekani, ila swali ndilo ulilouliza. Ingekuwa "opinion" kama ungeondoa alama ya kuuliza. Yaani inengeweza kuwa "Serikali ya CCM iko serious ....." au "Serikali ya CCM haiko serious ....ni kiini macho tu"
 
@ Facebook: by William Malecela on Tuesday, June 7, 2011 at 8:36pm

@ NEW YORK CITY-US: Hongera sana Serikali ya CCM kwamba kwa mara ya Tatu toka tupate Uhuru, imeonyesha kuwa ikiamua inaweza kusimamia Sheria bila kujali inamgusa mwananchi au kiongozi wa taifa. Ninasema kwa mara ya Tatu kwa sababu mara ya kwanza ilianza na Balozi Mahalu, halafu Mawaziri Wake Yona na Mramba, na safari hii Mwenyekiti wa Chadema. Kama kawaida siku zote the end of hizi National Legal dramas huwa ni open for debate, na hasa iwapo the end justifies the means, lakini angalau hata kidogo kuliko kutokuwepo kabisaa! Ninasema hivi, kusimamia Sheria za Jamhuri ni lazima kuwepo na gharama na sisi wananchi walipa kodi lazima tuwe tayari kulipia gharama za Serikali yetu kusimamia Katiba ya Jamhuri, ambayo Viongozi wetu wa taifa hukubali kwa kiapo cha vitabu vyetu vitakatifu kwamba bora wafe, kuliko kuona Sheria za Jamhuri zinavunjwa!

- HOWEVER: Serikali ya CCM ifike mahali sasa isituchukulie sisi wananchi kama ni wendawazimu au walevi walevi flani hivi, ambao tunaweza kudanganyika kirahisi sana na viini macho. I mean huu mwendo wa kasi sana uliotumika katika kusimamia Sheria kwenye ishu ya Mwenyekiti wa Chadema, kwa nini isitumike na kwenye kesi zingine ambazo ushahidi wake wa maovu against sisi wananchi, na kwa Sheria za Jamhuri yetu upo wazi kabisa! I mean upo ushahidi wa kutosha sana kuhusu Ufisadi wa Radar na BAE, tunajua kwamba upo ushahidi wa kutosha sana kuhusu Richmonduli, tunajua sana kwamba upo ushahidi wa wazi kuhusu Dowans na Kagoda, sasa kwa nini huku upande wa pili unaowahusu Viongozi wa CCM Serikali inasua sua na kuwa na makengeza? Hivi ni kweli Serikali ya CCM inaweza kwa macho makavu sana na uso kwa uso kutuambia wananchi kwamba Farijala na Maranda tu ndio waliochota hela za EPA? Yaani kazi yote ile na gharama za kamati ya Mwakyembe na Richimonduli mpaka leo kwa nini hakuna kiongozi hata mmoja aliyefikishwa kwenye Sheria? Kumbe Serikali ya CCM ikitaka kusimamia Sheria inaweza kutumia hata midege ya Jeshi ambayo tafsiri yake inaweza kuwa Amiri Mkuu Wa Majeshi yetu ndiye Chief Of Our Law Enforcement, kwa hiyo mkono wa kushoto kuusaidia wa kulia sio dhambi, Bravo for that lakini vipi wahalifu sugu huko ndani ya CCM?

- I mean we are taking Serikali ya CCM at its words kwenye ishu ya Mwenyekiti wa Chadema, kwamba iko serious na kusimamia Sheria za Jamhuri, So! tunasema hivi Charity begins at home sasa ni wakati wa Serikali ya CCM kutuhakikishia wananchi kwamba katika kusimamia Sheria za Jamhuri, hakuna aliye juu yake kwa kuwafikisha kwenye Sheria Viongozi wake wengi wanaotuhumiwa kuvunja Sheria ile ile iliyovunjwa na Mwenyekiti wa Chadema, mpaka kumbeba na Midege ya Jeshi letu ili akaridhie Sheria Arusha, sasa hii Midege iwabebe na wanaohusika na Radar & BAE, Richmonduli, IPTL, Dowans, Kagoda, EPA, Deep Green, Meremeta, Anabem, Kiwira, ATC na wao tuone wakibebwa na midege ya Jeshi kwenda kwenye Sheria za Jamhuri!: Tunasema hivi sisi wananchi wa Tanzania sio mabwege tena!

Well, People Good Night!

William Malecela @ New York City, USA.

Hivi SHERIA za nchi hii zinasimamiwa na ccm au Serikali kwa maana ya dola.Unaposema ccm imelishughulikia suala la Mbowe ipasavyo ni sahihi kweli!!?Kweli nimeamini nyoka hawezi kuzaa mjusi mawazo yako sawa sawa Kama ya magamba wenzio wote.
 
Je, mpango wako wakuanzisha tawi la CCM huko Marekani bado lipo? Au ulitaka kunogesha mjadala hapa jamvini?
 
@ facebook: By william malecela on tuesday, june 7, 2011 at 8:36pm

@ new york city-us: Hongera sana serikali ya ccm kwamba kwa mara ya tatu toka tupate uhuru, imeonyesha kuwa ikiamua inaweza kusimamia sheria bila kujali inamgusa mwananchi au kiongozi wa taifa. Ninasema kwa mara ya tatu kwa sababu mara ya kwanza ilianza na balozi mahalu, halafu mawaziri wake yona na mramba, na safari hii mwenyekiti wa chadema. Kama kawaida siku zote the end of hizi national legal dramas huwa ni open for debate, na hasa iwapo the end justifies the means, lakini angalau hata kidogo kuliko kutokuwepo kabisaa! Ninasema hivi, kusimamia sheria za jamhuri ni lazima kuwepo na gharama na sisi wananchi walipa kodi lazima tuwe tayari kulipia gharama za serikali yetu kusimamia katiba ya jamhuri, ambayo viongozi wetu wa taifa hukubali kwa kiapo cha vitabu vyetu vitakatifu kwamba bora wafe, kuliko kuona sheria za jamhuri zinavunjwa!


william malecela @ new york city, usa.


mkuu hapo kwenye red ndo nimechoka kabisa, for 50 years ccm imelinda sheria kwa mara 3 tu????????
 
Serikali ya CCM ndio imehakikisha Mbowe anakamatwa? Ivi wewe unajua uraia au ni kusifia ccm tu kwenye kila kitu? Ivi mtu mwenye akili anaweza ku-make such a statement? Unajua tofauti ya Polisi na ccm? Au wewe ni wale wanaodhani kuwa polisi na ccm ni kitu kimoja. Nakushauri uache kuandika upuuzi huu mara moja. Unaonyesha jinsi gani usivyojua separation of powers katika nchi. Na huu ujinga wenu ndio unawapa ccm kiburi!

- Serikali ya Tanzania kwa sasa inaongozwa na kutengenezwa na CCM, kama vile Serikali ya Democrats kule US ilivyomuuua Osama ndivyo wanavyojinadi kwenye kutafuta kura za uongozi na ndio ukweli wenyewe, unajua JF tuna kaazi sana ya kuelemisha jamii!, I mean hata haya mambo madogo hivi!

William @ NYC, USA.
 
mkuu hiyo kauli ni mbofu mbofu ina maana unapiga mkwara kwa wewe unailinda sana hii forum bila wewe kusema sio ya CHADEMA basi inakuwa ya CHADEMA?
Kwani wanaopost hapa ndani ni kina nani?
na lini Jamii forum waliomba wanachama wake kuonyesha kadi ya chadema kama sharti la kujiunda na hii forum?
hacheni maneno mbovu mbovu bana, hizi dharahu ndizo zinazowaponza ccm kila kitu chadema, ina maana sisi wananchi hatuna akili za kufikiria mkuu? kama mtu ana amini ujinga ni juu yake hata kama forum ina milikiwa na chadema mbona kila siku tunasoma hapa pumba zako na wewe sio mwana CHADEMA,
AU chadema ni nchi gani? unaongea kama kikwete bana

- Well, FACT katika Wanaanchi wa Tanzania wapatao Millioni 45, Tanzania media came to ask me na wengine watatu tu humu kama hii ni forums ni ya Chadema! ha! ha! sasa wewe unasema nini mkuu kwamba it was for nothing? ha! ha! ni kwa sababu my opinion ilikuwa muhimu sana on the ishu! ha! ha!

- Punguza chuki baba maana sasa hata ukweli unashindwa kuuona, na unaweza kusuka au kunyoa lakini deal with the FACT!


william @ NYC, USA.
 
Back
Top Bottom