pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,259
- 3,743
Tatizo hujajua kuwa tatizo ni wewe mwenyewe hayo unayoyachukia kwa hao unaoita rika lako ni kwa sababu hawajapata mtu wakuwatengeneza....hao waume wa watu wanakuvutia kwa sababu kuna mtu anaumia huko na ww ndio unamuona kapendeza ana hekima na hana wivu....wewe tafuta kijana mwenzako ukae nae umjenge utakavyo