mama chanja
Member
- Jan 1, 2016
- 67
- 67
- Thread starter
- #41
I can feel you my dear. Guilt inaweza kukuua kwa mawazo. Yuda na Petro wote walimkosea Yesu, but Petro alichagua toba akaishi ila Yuda kwa ajili ya guilt alijiua. Unakosa amani Kabisa na Kila wakati unapopitia magumu utaanza kujihukumu "ni kwa sababu nilifanya kosa fulani. Ni kwa sababu nilitembea na waume za watu. Unahitaji toba kwa Mungu ma pia Jisamehe wewe mwenyewe ili usije ukajihukumu huko mbeleni. Hata ikitokea unapata shida kuolewa au umepata mume anayekusumbua, amini ni mapito tu kama mapito mengine, na sio kwa sababu ulitembea na waume za mtu. Shetani ni muongo, everytime unataka kupiga hatua mbele, atakuwa anakukumbusha uliyoyafanya nyuma ili tu uvunjike moyo, wewe usimpe nafasi.. Mungu wetu ni wa neema na rehema, anafuta mashtaka yako yote (hati ya mashtaka ilifutwa pale msalabani) na atafanya mabadiliko ndani yako kwa kuzigeuza file zako
Mtafute kiongozi wa dini unayemuamini, ungama then please please "JISAMEHE na omba Mungu asamehe na kizazi chako. Baada ya hapo Mpende Mungu zaidi ( when the guilt is gone, love the Lord more). Mungu atakupitisha katika hili. Sio kitu chepesi kuondoa guilt, ila utayaweza yote katika Mungu. Tutakuponda mawe sana but usitusikilize, Kila mtu hapa ana lake moyoni anahangaika nalo. Uzuri wewe umeshagundua nini unachotaka, basi Ziba masikio, concentrate na Mungu wako, ya kale yamepita. . Yote yamekuwa mapya
Nimelia...
Mtafute kiongozi wa dini unayemuamini, ungama then please please "JISAMEHE na omba Mungu asamehe na kizazi chako. Baada ya hapo Mpende Mungu zaidi ( when the guilt is gone, love the Lord more). Mungu atakupitisha katika hili. Sio kitu chepesi kuondoa guilt, ila utayaweza yote katika Mungu. Tutakuponda mawe sana but usitusikilize, Kila mtu hapa ana lake moyoni anahangaika nalo. Uzuri wewe umeshagundua nini unachotaka, basi Ziba masikio, concentrate na Mungu wako, ya kale yamepita. . Yote yamekuwa mapya
Nimelia...
