My Husband Is Acting Funny ..msaada pls

Dada Nyamayao,

Sina hakika kama watu wanajua kuwa dawa kuu ya stress ni kuongea. Inasaidia kupunguza maumifu yanayosababishwa na maswali mengi ambayo mtu huendeleaa kujiuliza pale anapoamua kumeza mambo rohoni. Siwezi kumshauri mtu kutumia njia ya kukaa kimya. Tit for tat...mnamalizana na kuendelea na mambo mengine. Unaweka rohoni kwani pesa unataka ukaweke bank kesho yake??

umenimaliza kaka....mie ctapata ucngizi kabisa, kwanza ntaumwa....kwanini niikae nacho na nipo nae hapo kitandani?
 
Pole sana kwa matatizo yaliyokupata (yaliyompata rafiki yako). Nashindwa nianzaje lakini naamini suluhisho la matatizo mengi yaliyonje ya uwezo wa mwanadamu siku zote ni Mungu. Inawezekana wewe si muani wa huyo tunayemuita Mungu lakini nakusihi chukua hatua mjaribu leo. Piga magoti, umlilie yeye aliyekupa mume ambadilishe. Kuvunja ndoa siyo mwisho wa tatizo. Hakuna aliyeiona kesho isipokuwa Mungu peke yake. Hujui nini kitatokea next baada ya kuvunja hiyo ndoa iwapo utaamua kufanya hivyo. Nakushauri, ikiwezekana wala usiseme naye juu ya hilo kama mwenye anavyosema wewe Sema na Mungu. Mwambie Mungu yeye ni jibu la matatizo yote. Atambadilisha kuanzia jinsi anavyofikiri mpaka matendo yake. Atampa hekima na upendo. Unapoamua kumtegemea Mungu, jitoe mzima mzima, usichanganye mambo. Usilie, usihuzunike jibu lako lipo kwa Mungu. Mungu anakupenda, anakuwazia mema siku zote. Mungu akusaidie.
Mkuu naomba mwongozo kidogo hapo

afanye nini sasa hapo, akae asali, afunge na asihoji wala nini au vipi?? sasa kujitoa mzimamzima ndio vipi kusali kutwa, kushinda kanisani au vipi??? is it that simple?
 
@FL1

ndugu yangu naomba niseme ukweli... the guy must be gay!!!

tulivyoumbwa na muumbam, huwezi kuwa kichwa cha nyumba halafu ukawa unahanjahanja bila kujua kiwiliwili kiko wapi... kama sio gay basi ni hawa spoilt boys na wako wengi sana, hawataki kuwa rsponsible na acts zao... they still think they are "mammy's boy"

to cut the story short, huyo bidada

  • aweke mguu chini achape mbuga siku tatu tu, uone huyo jamaa atakavyovhenji
  • then wakae chini, tena kiutemi kuweka protocols za ndoa yao
  • tatu jamaa aseme huwa anaenda wapi

i have seen a case, kajamaa kanaenda kwao for a week halafu mdada analia, that is not just spoiling the boy, and by doing so, be sure that you are going to spoil the kids

haya ni maswaiba kwa kweli huyu dada anasoma comment zenu zote hapa ...naimani atafainyia kazi ushauri wa kila mmoja anaupata
 
Hi firstlady,
tell that swithat she is not alone. it happened to me too. atleast yy hana mtoto wala ujauzito. mimi ilinitokea nikiwa chuo,just imagine. unampigia cm hapokei meseji hajibu. i was about to be crazy kama c kuacha chuo. but you know what i did? i gave him time and thougt maybe he would change but haikuwa hivyo. then i decided to LET HIM GO FOR GOOD. sasa yupo speed anadai eti nimsamehe alipitiwa na shetani. mi nikamwambia SILI MATAPISHI. Am now very with my BABY BOY.
Najua utaumia sana but i swear your wound will heal. endelea na maisha dada wala ucjichoshe na mawazo. huyo hana mapenzi ya dhati na ww.
 
Dada Nyamayao,

Sina hakika kama watu wanajua kuwa dawa kuu ya stress ni kuongea. Inasaidia kupunguza maumifu yanayosababishwa na maswali mengi ambayo mtu huendeleaa kujiuliza pale anapoamua kumeza mambo rohoni. Siwezi kumshauri mtu kutumia njia ya kukaa kimya. Tit for tat...mnamalizana na kuendelea na mambo mengine. Unaweka rohoni kwani pesa unataka ukaweke bank kesho yake??

Hio mbaya sana mwingine anaweza akawa anafikiria hata kuutoa uhai wako
 
haya ni maswaiba kwa kweli huyu dada anasoma comment zenu zote hapa ...naimani atafainyia kazi ushauri wa kila mmoja anaupata
Thanks...

Unajua ndoa si kama chupa ya bia aisee... one has to fight for something he loves, otherwise they need to part before HIV comes knocking on their their doors
 
:evil: Dont feel sad my dada be happy and just trust in Jesus Christ, pls dont try to get away but love ur husband and be polite the only solution is to pray for him iam sure he will get back again.
pole sana Mungu akutie nguvu.

Pole sana kwa matatizo yaliyokupata (yaliyompata rafiki yako). Nashindwa nianzaje lakini naamini suluhisho la matatizo mengi yaliyonje ya uwezo wa mwanadamu siku zote ni Mungu. Inawezekana wewe si muani wa huyo tunayemuita Mungu lakini nakusihi chukua hatua mjaribu leo. Piga magoti, umlilie yeye aliyekupa mume ambadilishe. Kuvunja ndoa siyo mwisho wa tatizo. Hakuna aliyeiona kesho isipokuwa Mungu peke yake. Hujui nini kitatokea next baada ya kuvunja hiyo ndoa iwapo utaamua kufanya hivyo. Nakushauri, ikiwezekana wala usiseme naye juu ya hilo kama mwenye anavyosema wewe Sema na Mungu. Mwambie Mungu yeye ni jibu la matatizo yote. Atambadilisha kuanzia jinsi anavyofikiri mpaka matendo yake. Atampa hekima na upendo. Unapoamua kumtegemea Mungu, jitoe mzima mzima, usichanganye mambo. Usilie, usihuzunike jibu lako lipo kwa Mungu. Mungu anakupenda, anakuwazia mema siku zote. Mungu akusaidie.

Haya mambo ni magumu sana. Hapo alipofikia sina hakika kama muda wa kuomba na kulia lia kama bado anao. Kuna dada mmoja aliamua kuokoka na kuomba. Alizunguka makanisa ya kilokole kibao wakati huo mumewe anachapa larger kwa sana kuchakachua kuanzia beki 3, ndugu wa karibu na viruka njia wa mitaani. Mwishowe aliamua kubwaga manyanga na sasa hivi anaishi vizuri na watoto wake. Nadhani siyo kila wakati 2+2=4.
 
yeah.. but lincoln kasema ajitoe mzima-mzima ndio nasubiri unajitoaje mzima mzima?

Kama atajitoa mzima kwa zile solution tatu ulizoziainisha its well and good na ndicho anapaswa kufanya otherwise nachokiona hapa ni self destruction
 
hata kama angekuwa na tatizo ndani ya ndoa yake, as a gentleman angekuwa wa kwanza kuinusuru ndoa yake kwa namna moja au nyingine kama kweli mapenzi/upendo upo, atackia kipi cha mkewe akakifanyia kazi bila kumshirikisha mkewe ambae ndio mhucka wa kitendo? atakuwa chizi bac.

Yaani Nyamayao natamani nikaongee na hilo jamaa ila nahci linaweza kunipalkama linavyomfanya wife wake ..nikaondoka na manundu
Ndoa zingine jamani zisikieni tu
 
Haya mambo ni magumu sana. Hapo alipofikia sina hakika kama muda wa kuomba na kulia lia kama bado anao. Kuna dada mmoja aliamua kuokoka na kuomba. Alizunguka makanisa ya kilokole kibao wakati huo mumewe anachapa larger kwa sana kuchakachua kuanzia beki 3, ndugu wa karibu na viruka njia wa mitaani. Mwishowe aliamua kubwaga manyanga na sasa hivi anaishi vizuri na watoto wake. Nadhani siyo kila wakati 2+2=4.

There you go DC at the end of the day the decision which you take ndio hiyo itayokuokoa kwenye tatizo ulilomo
 
yeah.. but lincoln kasema ajitoe mzima-mzima ndio nasubiri unajitoaje mzima mzima?

ndio mwanzo wa mtu kuokoka, kushinda kanisani ukiomba, mara unahubiri masokoni, kisa cha kujitia uchizi ni nn? jisaidie nae atakusaidia.
 
Kama atajitoa mzima kwa zile solution tatu ulizoziainisha its well and good na ndicho anapaswa kufanya otherwise nachokiona hapa ni self destruction
Agreed cousin... solution bora ni ile inayoaddress the whole context... and content hii ya kuchagua one solution ni mbaya sana

it takes two to tangle
 
umenimaliza kaka....mie ctapata ucngizi kabisa, kwanza ntaumwa....kwanini niikae nacho na nipo nae hapo kitandani?

Halafu wakati wewe unakosa usingizi yeye anakoroma na kuwaota hao wanyange wake wa nje...Unaweza kushangaa wakati unajigeuza geuza mwenzio anapiga bao la ndoni...

Akili ni kompyuta ya ajabu..Tulio wengi tunashughulika na vitu vichache at time. Kwa hiyo hakuna sababu ya ku-pile up mambo. Mimi huwa namalizana na hayo mambo haraka sana...Vinginevyo kesho hata kazini nisiende. Sitaki kujitesa for nothing.
 
Haya mambo ni magumu sana. Hapo alipofikia sina hakika kama muda wa kuomba na kulia lia kama bado anao. Kuna dada mmoja aliamua kuokoka na kuomba. Alizunguka makanisa ya kilokole kibao wakati huo mumewe anachapa larger kwa sana kuchakachua kuanzia beki 3, ndugu wa karibu na viruka njia wa mitaani. Mwishowe aliamua kubwaga manyanga na sasa hivi anaishi vizuri na watoto wake. Nadhani siyo kila wakati 2+2=4.

kile kipindi changu cha matatizo, nilikuwa namuombea pia, akija home yupo vema, ana pilsner zake za kumtosha, nilisema kila mmoja ajiombee nafc yake kwa kweli.....
 
Yaani Nyamayao natamani nikaongee na hilo jamaa ila nahci linaweza kunipalkama linavyomfanya wife wake ..nikaondoka na manundu
Ndoa zingine jamani zisikieni tu

Ukienda tu kuongea naye...Omba Mungu urudi salama..Atakwambia anakuondoa kihere here.. Inauma sana ila mwambie huyo dada kwamba ataumia kwa muda lakini atakuwa mzima na mwenye furaha maisha yake yooote yaliyobaki..

Vinginevyo tujiandae kuimba pambio..:nono::nono::nono:
 
wajameni vipi wajameni mbona siwaelewi elewi?:doh::doh:

mnajadili gani?
 
ndio mwanzo wa mtu kuokoka, kushinda kanisani ukiomba, mara unahubiri masokoni, kisa cha kujitia uchizi ni nn? jisaidie nae atakusaidia.
sasa hayo ya kushina makanisani full time sijui kama huwa yanajenga familia bora au bora familia... anyway tuko sensitive sana na dini, i better end up here

Tuliambiwa tujisaidie atusaidie, sio we whin and cry
 
Back
Top Bottom