The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
sioni kwanini mdada aendelee kuwa na huyo mtu jamani, kweli watu tunatofautiana sana, mie binadamu mwenzangu hanipotezei malengo yangu ya maisha kabisa.
Hapo ndio nimechoka kabisa hata ushauri ukija kichwani ghafla unapotea hii kitu ngumu aiseewe dnt have a kid yet. & we ar not a yr old in marriage yet!!!