Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,539
- 4,852
- Thread starter
- #21
Mh mshana jr na we unamachale,umejuaje sa kama mamaafacebook anafaa kuwa waziri wa kilimo ?
Sasa kwa hasira nakuvua uwaziri wa ulinzi na kuanzia leo namtangaza rasmi kuwa bwana mshana jr anakuwa waziri mkuu ,atakaepinga tutamvua ubunge.
FULL STOP.
Sasa kwa hasira nakuvua uwaziri wa ulinzi na kuanzia leo namtangaza rasmi kuwa bwana mshana jr anakuwa waziri mkuu ,atakaepinga tutamvua ubunge.
FULL STOP.
Last edited by a moderator: