Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,539
- 4,854
Yaani ghafla bin vuuup ndo nipate Uraisi kimiujiza miujiza vile,basi hili ndo lingekuwa baraza la mawaziri:
miss chagga =Waziri wa uchumi na biashara bila kusahau kitengo cha wajasiria mali.
mshana jr =Waziri wa ulinzi,usalama,jeshi la polisi na kile kitengo kipya cha ulinzi.
mamaafacebook =Waziri wa habari,utamaduni na kitengo kipya cha mila.
MziziMkavu =Waziri wa kilimo,chakula,na ufugaji.
MO11 =Waziri wa siasa,ushirikiano wa kimataifa na mambo ya nje.
cute b =Waziri mkuu msaidizi na naibu wa sheria na kanuni ndogo ndogo.
NDEO =Waziri wa wazara mpya ya kuzuia na kupambana na starehe pamoja na kitendo maalumu cha kuzuia wala ujana na waponda raha.
Mawaziri wengine nitawatangaza baadae,sasa hivi umeme umekatika.
Kama wewe ungekuwa Raisi kimiujiza miujiza ungemteuwa nani kuwa Waziri.
Tehe tehe tehe tehe tehe tehe tehe tehe tehe tehe.
miss chagga =Waziri wa uchumi na biashara bila kusahau kitengo cha wajasiria mali.
mshana jr =Waziri wa ulinzi,usalama,jeshi la polisi na kile kitengo kipya cha ulinzi.
mamaafacebook =Waziri wa habari,utamaduni na kitengo kipya cha mila.
MziziMkavu =Waziri wa kilimo,chakula,na ufugaji.
MO11 =Waziri wa siasa,ushirikiano wa kimataifa na mambo ya nje.
cute b =Waziri mkuu msaidizi na naibu wa sheria na kanuni ndogo ndogo.
NDEO =Waziri wa wazara mpya ya kuzuia na kupambana na starehe pamoja na kitendo maalumu cha kuzuia wala ujana na waponda raha.
Mawaziri wengine nitawatangaza baadae,sasa hivi umeme umekatika.
Kama wewe ungekuwa Raisi kimiujiza miujiza ungemteuwa nani kuwa Waziri.
Tehe tehe tehe tehe tehe tehe tehe tehe tehe tehe.