Mie najua wote hawajamfikia huyu Christina wangu jamani,nampenda bure na ni mke mwema haswaaaaaa! !love you Christina wa mieMmmh sio wote ni wabaya jamani kwenye mazuri tusifie
ningekuwa nimeshakukimbia teh nikabaki historiaAtleast umekuwa mkweli.
hakuna tatizo mkuu ...Nice couple,hakuna aliye na tatizo na heading?Me wangu ni bora kuliko huyo.
kabisa ema ukifanya kosa la kumtenda watakao fuata baada ya wewe watajuta kumtambuaKumbe nimshukuru mungu kwa zawadi hii niliyonayo
Wewe ndugu yangu wewe, hawa viumbe sio wa kuwaamin kiivyo kaka! Tena ni bora umnadi huku kwa kuwa wote hatuwajui, usije jigamba hivi mtaani kwenu, mwisho wa siku ukashindwa hata kutoka ndani zikitimia! Nyi ndo mnajinyongaga mwisho wa sikuNilete mada gani nisaidiwe, kwenye suala la mapenzi huwa sihitaji ushauri wowote cz nshajiwekea misingi yangu toka mwanzo, nilikuwa kwenye mahusiano mengi sana huko nyuma na hata mke wangu mtarajiwa anajua hili, jambo lililonifanya nilete mada hii hapa ni jinsi watu kila siku wanavolalamika kuumizwa na kuamini kuwa kwa sasa hakuna mapenzi ya dhati...mapenzi ya dhati yapo sana tu.
basi shikamanaSipendi afate mtu yoyote pale.