My friend Zitto Kabwe

My friend Zitto Kabwe

The used of ngeli Au the use of ngeli, ht secure NI sahihi lakini co appropriate sn ulipoitumia

"amid the used of ngeli" kufuatia ngeli iliyotumika..

"amid the use of ngeli" kufuatia ngeli inayotumika..

i thnk there is a correlation flani.. tofauti ni muda!
 
Character X I concurred with your critic ideology, too philosophical .I always believe '' Those who follows and acknowledge uncertainty principle will excel''
 
Last edited by a moderator:
Come down dude!!
Dnt spit elsewhere meen.. i gatta no cover in here.. Just be calm, if tha barrier is language, then skip tha thread..
U cn jump into udaku and the like, whr english is unwelcome foreigner..
ka! ka! ka! ka! ka! ka!

Wewe kauzu kama unataka kuwafundisha watu lugha si uende jukwaa la lugha?
 
At least for standard of Tanzania to know English is a sign of being educated and that is what Asha Mohamed is asking you guys to comment in the same language. We are waiting your contribution please CHAMVINGA, ZeMacopolo, Chabruma and all Lumumba team

Hata watanzania wanakudharau sana kwa kuhalalisha ujinga kichwani mwako. Waganda wanaongea kiingereza lakini mbona elimu yao ipo chini hata ukilinganisha na ya Tanzania?
 
Kimei mbona hajibu haha mwache asome mbivu zinakuja
Utajichanganya sana tu huo uvumi wa fedha chama kimekanusha na huyo unayemtaja naye anasema yeye hizo taarifa hajazihakiki wala kuzianzisha.Ushahidi gani unauzungumzia,uweke hapa na wengine tuuone pasi na shaka!!!!

Ufahamu wako sio gospel truth,weka facts tujue mbivu na mbichi!!!!

Mipasho na chuki zisizo msingi ipo kwenye thread nyingi tu zimepita humu ngoja watu wadadavue kwa busara bila ushabiki kama wako!!!!!
 
mkuu, niwie radhi ila una tatizo kubwa la unafki - kwako wewe 'BAADHI' ya viongozi wa cdm ni malaika na kwamba daima hawawezi kufanya makosa! yaani hata ungesikia moja kati ya viongozi hao (criteria unazijua mwenyewe) amejisaidia haja kubwa mbele ya kadamnasi usingekuwa tayari kumkosoa, sana sana ungepika kimya tu hapa jf..........rejea ishu ya kamanda lema alivyoropoka hapa jamvini bila kutumia vikao halali ndani ya chama (bila kujali tuhuma ni za kweli au la) ulisifia tu lakini kwa mwigamba ambaye naye hakutumia viako vya ndani ukaona 'kwake' ni kosa!! ukweli ni kwamba watu wa aina yako mnarudisha nyuma harakati za kumtoa mkoloni mweusi madarakani 2015, kwa nn mnakuwa biased?! au sheria zimetungwa kwa 'baadhi' tu ya wanachama? kwa nn tusikosoe viongozi wetu bila kubagua pindi wanapoteleza ili wakati mwngne wajifunze kutokana na makosa hayo? unadhani lema amejifunza chochote kuhusu kuropoka mitandaoni ikiwa mambo yamefichwa chini ya kapeti kupitia sakata la zzk?!! au kosa la lema limefunikwa na makosa ya zzk?!

Speak English please! Answer in English pseee!!!! Write in English LOL!!!!
 
It is true Zitto Zuberi Kabwe deserve the second chance, but also he has to change for his own good, Nation and Party.
 
ze thiredi izi tuu filosofiko!!...neksi taimu tirai tu uzi justi simpo langweji so zati majorite keni andastendi endi patisipeti ifekituvuli!!!
 
Safi sana, naona kwa nondo hii, watu wataacha dharau zao sas!

Hii unayoiita nondo, inamuabisha yeye. Inamuonyesha ni mtu wa aina gani; mbinafsi, mwenye kujipendekeza kwa wanasiasa ili wamteue agombee ubunge, au ateuliwe kwenye nafasi nyingineyo.
Haiwezekani mtu mwenye elimu iliyoainishwa hapo juu kuwa anayo, awe mtetezi wa mafisadi na awe against the common people. Ningetegemea kwenye mabandiko yake, elimu aliyonayo ingejionyesha ktk maswala ya kitaifa na ambayo si ya ki-chama. lakini NO, hafanyi hivyo, badala yake yeye anatetea kila utumbo na ujinga unaofanywa na serikali ya chama chake. Kuchangia kwake na "Simiyu yetu" hakuna tofauti.

Ni aibu kwa msomi wa kiwango chake kujivua uelewa na utu wake kiasi hiki kwa sababu tu ana njaa.... na analilia kuonekana kuwa yupo.... na hivyo wasimsahau!!

Kama anaona anafaa, basi aingie kwa kifua chake.... sio kwa kutaka kubebwa kwa kulambalamba makalio na miguu ya wanasiasa.

CC: ZeMarcopolo, Ng'wamapalala, Manyi
 
Last edited by a moderator:
Swala la Zitto lijadiliwe kwa Kiswahili...

Maswala muhimu ya kitaifa yajadiliwe kwa Kiswahili...


Magamba Bana.. swala la ZZK magamba mmelifanya la kitaifa? ha ha ha haaa ngojeni siku 14 ziishe ili muweze kumpokea kwa shangwe
 
Kwanza kabisa napenda kutoa Pole kwako kwa Usumbufu wowote ulioupata kutokana na mgogoro uliotokea ndani ya Chama chako (Chadema). Pia natoa pole kwa wenzako wote mliokutwa na matatizo ndani ya chama.
1. Mhe. Zitto, unatajwa kwamba wewe ni msaliti ndani ya Chama. Mimi nimekuwa nikikufuatilia katika shughuli zako za kiasiasa hata hivi karibuni ulipokuwa ukifanya mikutano huko Rukwa, Kigoma na kwingineko. Umekuwa ukisisitiza ukombozi kwa Taifa hili. Kumsaidia mwananchi kuondokana na umasikini, Kutumia raslimali za nchi kwa manufaa ya wananchi. Na umekuwa ukisema ukombozi utaletwa na CHADEMA. Mimi nakushauri, Usiwe na wasiwasi, Kuwa mvumilivu, yote yatapita na siku moja utaonekana mkombozi badala ya msaliti. Kama hauna chembe ya usaliti, naamini yale yote unayoyasema yanatoka moyoni mwako na siku moja yatadhihirika.

2. Mhe. Zitto, Unatajwa kuwania uongozi hasa Uenyekiti wa Chama. Naamini hii ni haki yako na ni haki ya mwanachama yeyote wa Chadema mwenye sifa sitahiki. Naamini sifa unazo. Nashauri ufuate utaratibu wa chama katika uwapata viongozi na kila kitu kinawezekana.

3. Mhe. Zitto, Umehusisha na waraka wa siri mabadiliko ulioandaliwa na Wenzako. Bahati nzuri wamekiri kuandaa. Na jambo zuri zaidi wamesema haukuhusika lakini walitegemea kukuhusisha baadae. Mimi naamini kama huo ndo ukweli wenyewe hauna sababu ya kuwa na wasiwasi juu ya huo Waraka wa siri. Dr. Kitila Mkumbo na wenzake wanaweza kujibika juu la hilo.

4. Mhe. Zitto, Wewe ni mwanachama kijana wa Chadema, lakini wewe ni Mwanachama MKONGWE kabisa wa chadema. Si mara ya kwanza nakusikia ukisema umejiunga Chadema ukiwa na miaka 16. Na wakati huo ukiwa Kidato cha Tatu. Sasa una miaka 37 na haujawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote kile hapa Tanzania na isitoshe hata nje ya Tanzania. Kwa mantiki hii wewe ni Mtoto, Baba na Mama wa Chadema. Kikisaliti chacdema ni sawa na mtoto kuwakataa wazazi wake waliomzaa, Kikisaliti chadema ni sawa na Baba na Mama kuwakataa watoto waliowazaa. Kwa mantiki hii naomba uwaeleze Viongozi wenzako Ukweli kuhusu jambo hili. Nadhani Mtaelewana na hatimaye mtasonga mbele.

5. Mhe. Zitto, Siyo kila anayekupatia ushauri na kusikitika kwa mambo yanayoendelea ndani ya Chadema ana uchungu na wewe na Chama chako. Wengine wanakudhihaki na wanapenda kukuona siku moja unakosa muelekeo wa kisiasa. Nakushauri uwe mvumilivu wa kisiasa. Wewe ni kiongozi na utabaki kuwa kiongozi Daima. Jambo la msingi ni kumaliza tofauti zenu kama zipo ili msonge mbele pamoja kwa kuaminiana.

5. Mwisho kabisa naomba msiwarudishe nyuma Watanzania walio nyuma yenu, kwani kutoelewana kwenu viongozi kunawayumbisha sana watanzania wanaopenda mabadiliko. Tunahitaji kuwaona viongozi wote wa Chadema mkiwa pamoja kwa amani, sisi watanzania tupo pamoja nanyi. Hatumbagui kiongozi yeyote. Kila kiongozi ana mchango wake ndani ya Chadema.

6. Mwisho kabisa, naamini wewe Zitto, na viongozi wenzako mtamaliza tofauti zenu na watanzania wataona mkiandika historia mpya katika medani za Kisiasa.

Mungu Ibariki Tanzania.

Mimi ni Mwanachama Wa CHADEMA.
 
Ushauri mzuri.Ila zito anatakiwa kuacha tamaa,hata mbuyu haukuota mara moja.Acha makundi na unafiki,jua hapa duniani tunapita,na unaweza kupata au kukosa,yote ni mipango ya Mungu.Kama ni jambo lolote,malizeni ndani ya chama,sio kutengeza makundi.
 
Back
Top Bottom