My Corona relief trip and lessons therefrom

My Corona relief trip and lessons therefrom

Mkuu mambo ni mengi sana.

Nimedhamiria niumalizie huu maana hivi karibuni pengine itanibidi nije na mwengine katika muendelezo wangu wa hizi safari.

Corona tu isije ikaniharibia mambo 😀 😀 😀 😀 😀
Mkuu Watu8 Corona imeharibu mambo. Nlikuwa nitembee jana but ndio hivyo tena!!!
 
Baada ya kufika hapa nkamwambia mke wangu, angalia namna watu walivyoishi na familia zao, na leo wako wapi?? wote wamerudi ndani ya tumbo la ardhi, walikuwa ni wafalme wenye nguvu na mamlaka. Kama walitenda mema sasa hivi wanapokea malipo yao na kama walitenda mabaya sasa hivi wanapokea malipo yao.

Maishani hakuna haja ya kujikwaza, kuwa unavyokuwa lakini mwisho wa siku tunarudi ardhini. Unapata hisia kali sana juu ya Maisha na kwa watu wa dini basi unapofikiria mambo kama haya, kuna kitu una-gain kwenye suala zima la spiritual life.

Safi, master
 
Kwanza nikupongeze kwa ujasiri ulionao na azma uliyojiwekea katika maisha yako.


Wakati unapofanya Reservation mbalimbali jaribu kujua
"Terms and Policies" za hiyo Booking kwa mfano Ulaya na US wanatumia Sana Booking.com au Expedia.Na Online payments nyingi unapofanya booking zitaku prompt kwenye mode of payments ili ku guarantee reservation yako.

Booking.com Kama zilivyo online booking nyingi you havattach Credit card they have to charge you 72 hours after your confirmation au ikisha filter kwenye Hotel Reservation.Hii Ni kutokana na Policies kuwa they charge commission as the Third party ndo Mana wali attempt ku charge Card zako zika decline
The Hotel is Authorized to charge your card kwa sababu wasipotanya hivyo watalipa Commission kwa kwa mgeni ambaye hakuja .Wanachofanya Ni kuongea na Booking.com ku verify Credit card au kuomba Details na hii Ni stage ngumu kwa sababu Ni risk kwa sababu ya Card Fraud Wanachofanya Booking.com Ni kukupigia au kutuma Email ili u provide more details ili au utoe Credit nyingine ku guarantee booking yako.Vinginevyo Wana cancel Reservation na so kwamba Ni mchezo wa Hotels.
Na Hotels
 
Kuna mambo mazuri nimepata kwenye uzi huu.
Nilianza kuzunguka miji ya mikoa ya Tanzania,nitasogea kwenye miji ya bara la Africa then nje ya Bara.
Mungu asaidie mipango iende kama nilivyomomba iende.
 
Tulituma muda mrefu sana ndani ya ile underground city, kunatisha sana kule chini hususan ukiwa alone au mkiwa wawili tu. Cha kushangaza kuna dada mmoja wa kirusi ambae tulikutana nae chini kule kule akizunguka zunguka mwenyewe (solo traveler). She joined our team tukawa watatu. Aisee yule dada nilimvulia kofia, haogopi na iliingia mpaka sehemu ambazo mimi nliona noma kuingia. alikuwa akituita kwenye mapango ambayo mtu utaogopa kuingia. Kwa kweli alituona kwamba sisi si kama yeye hivyo baada ya muda tukaachana nae. Baada ya kama masaa mawili hivi tuliamua kutoka kwa hiyo tour yetu kwa kivutio hichi cha kitalii ikawa imeishia hapo.

Kufika nje unafikizia kwenye maduka ya kununua vijizawadi kidogo. Nkasema ngoja tukaangalie kama kuna vitu vya bei nafuu tunaweza pata maana ki-kawaida zawadi tunanunua 2 days or a day before our flight ya kurudi. Katika pita pita zetu nkakutana na taa flani hivi za kuweka kwenye nyumba. Zile taa ni nzuri na nilidhamiria kuzinunua. Nlitaka 17 pieces ambazo zilitosha nyumbani kwangu na siku zikifungwa ntawaletea picha humu maana ni urembo mzuri sana. Mbeleni huko mtakuja ona kwamba nilifanikiwa kuzinunua.

Kufika kituo cha daladala ili turudi Goreme tukakutana na yule dada wa kirusi anaelekea kaymakli (ile sehemu nyengine yenye underground city). Tulipiga story mbili tatu pale na ndio nkapata lesson kwamba decision ya hayati rais Magufuli ya kusema hakutokuwa na lockdown wala masharti makali kwa watalii wanaotaka kuja Tanzania ilikuwa na faida zake kiuchumi. Huyu dada aliniambia kwamba nchi pekee alizoweza kusafiri ni Turkey au Tanzania. For her Tanzania was expensive, ndio maana akaamua kwenda Turkey. This means kama Tanzania ingekuwa somehow affordable basi angekwenda Tanzania. This was another lesson for me, pengine watunga sera wa Tanzania wanatakiwa waone hili, kwamba okey tunaweza opt kwenda na Quality tourism instead of quantity lakini nchi bado haipo na miundo mbinu ya kufanya Quality tourism. bado the number of tourists tunaowataka waje nchini ina mashiko sana. Baada ya muda kidogo daladala ikatokea hao tukarudi zetu mpaka kwenye junction ya kuelekea Goreme ambapo tuliamua kwenda kununua nguo za watoto. Nguo ki ukweli si ghali sana hapa japo baadae tulikuja gundua kwamba nguo zilikuwa bei rahisi zaidi kwenye mji uliofuata (Antalya). Ile ndio ilikuwa night yetu ya Mwisho Cappadoccia. Tulirudi Goreme around saa moja usiku na cha kwanza kabisa tuliamua kutafuta taxi driver ambae angetupeleka airport ya Kayseri kesho yake. Unajua kwa wenzetu watu si sana kuzungumza lugha za kigeni, unless uwe unajishughulisha na issue ambazo itakubidi ujue lugha hizo. The driver tuliyempata was a good person, alikuwa na appointment haswa maana asubuhi yake he was at our hotel ontime. He was knowledgable na alijua mambo mengi kuhusu Cappadocia ka Kayseri. Kwa kweli alikuwa very proffession na I recommend him kwa mtu yoyote ambae atafika Cappadoccia amtumie yeye. Haya ndio mawasiliano yake, japo kadi imeandikwa English spoken driver 😀 😀 😀

WhatsApp Image 2021-05-23 at 09.10.40.jpeg


Tulispend time kubwa sana kwenye jacuzzi that night maana ndio hotel pekee ambayo tuli-book na ilikuwa na Jacuzzi.

Mapenzi yana-run dunia wazee, hii yote ni power of love. When you love you can go out of your way, mshairi mmoja wa kiarabu anasema "mpenda akipenda hutaka kutomuudhi na kumfurahisha ampendae". My wife deserves so much! Yaani ni ule msemo wa " A woman who does not ask for anything, deserves everything" na hawa viumbe wa hivi wapo wachache sana. Ndio rafiki yangu Karucee once aliwahi niambia nimtunze sana huyu mwanamke and that's what I do and I am going to do for many years to come (as long as I am alive).

Safari ya kuelekea Keysaeri (ambao ni mji wa nne kwa ukubwa / kiuchumi nchini Uturuki) ilianza saa kumi kamili alfajiri iliyofuata. Ni mwendo wa lisaa moja speed 80 kwa saa. Around saa kumi na moja na nusu tukawa tumefika, checking in na procedures mbali zikafanyika na mpaka saa kumi na mbili na nusu tukawa tumetulia tunasubiri boarding. Around saa moja kama na robo hivi tuka-board na saa mbili hivi tukaruka. Tuliingia Antalya around saa nne na huu ndio ulikuwa mji wetu wa mwisho kabla hatujarudi tena Istanbul kuchkua ndege na kurudi Tanzania.

Until then....................................
 
Kuna nchi sasa ukiingia tu, wapigwa karantini...
Kwa kweli aisee. Lakini pia zipo nchi nyingi ambazo you can go and relax baada ya Muda mrefu wa maumivu ya Corona. The following is the list of countries ambazo hazina quarantine na hazihitaji uwe vaccinated (so far). Zinahitaji uwe na Negative PCR test certificate tu.
1. Jordan (Must visit country hii aisee)
2. Nepal
3. Lebanon
4. U.A.E
5. South Africa kwa konda msafi
6. Cape Verde
7. Egypt
8. Ethiopia
9. Djibout
10. Senegal
11. Kenya
12. Uganda
13. Somalia
14. Zambia
15. Mexico
16. Antigua and Barbuda
17. Aruba
18. Colombia
19. Dominica
20. Honduras
21. Niccaragua
22. Panama
23. Turks and Caicos
24. U.S.A
25. Albania
26. Bosnia and Herzrgovina
27. Georgia
28. Turkey

Kwa hiyo mkuu wasitutishe, tutasafiri na hatuchanjwi.
 
Kwa kweli aisee. Lakini pia zipo nchi nyingi ambazo you can go and relax baada ya Muda mrefu wa maumivu ya Corona. The following is the list of countries ambazo hazina quarantine na hazihitaji uwe vaccinated (so far). Zinahitaji uwe na Negative PCR test certificate tu.
1. Jordan (Must visit country hii aisee)
2. Nepal
3. Lebanon
4. U.A.E
5. South Africa kwa konda msafi
6. Cape Verde
7. Egypt
8. Ethiopia
9. Djibout
10. Senegal
11. Kenya
12. Uganda
13. Somalia
14. Zambia
15. Mexico
16. Antigua and Barbuda
17. Aruba
18. Colombia
19. Dominica
20. Honduras
21. Niccaragua
22. Panama
23. Turks and Caicos
24. U.S.A
25. Albania
26. Bosnia and Herzrgovina
27. Georgia
28. Turkey

Kwa hiyo mkuu wasitutishe, tutasafiri na hatuchanjwi.
Nashukuru kwa kunipa nchi mkuu.
 
Kwanza nikupongeze kwa ujasiri ulionao na azma uliyojiwekea katika maisha yako.


Wakati unapofanya Reservation mbalimbali jaribu kujua
"Terms and Policies" za hiyo Booking kwa mfano Ulaya na US wanatumia Sana Booking.com au Expedia.Na Online payments nyingi unapofanya booking zitaku prompt kwenye mode of payments ili ku guarantee reservation yako.

Booking.com Kama zilivyo online booking nyingi you have to attach Credit card they have to charge you 72 hours after your confirmation au ikisha filter kwenye Hotel Reservation.Hii Ni kutokana na Policies kuwa they charge commission as the Third party ndo Mana wali attempt ku charge Card zako zika decline
The Hotel is Authorized to charge your card kwa sababu wasipotanya hivyo watalipa Commission kwa kwa mgeni ambaye hakuja .Wanachofanya Ni kuongea na Booking.com ku verify Credit card au kuomba Details na hii Ni stage ngumu kwa sababu Ni risk kwa sababu ya Card Fraud Wanachofanya Booking.com Ni kukupigia au kutuma Email ili u provide more details ili au utoe Credit nyingine ku guarantee booking yako.Vinginevyo Wana cancel Reservation na so kwamba Ni mchezo wa Hotels.
Na Hotels
Shukran mkuu.

Mkuu mimi ni mtu nipo kwenye hospitality industry, niko njema kwenye sector hii. Believe me hawa jamaa walifanya uhuni tu. Contract ni "payment on arrival". They just do take advantage of some situations. Of course you have my card details, wait mpaka siku iishe and if I don't show up, charge it accordingly. Hawa jamaa walipayta walking-in clients wakaona hebu tulibutue na huyu akija tunampeleka sister hotel hapo hawezi kataa. I don't agree with you kwamba Booking.com will have to charge you 72 hrs after you book, kila hotel zina sera zake mkuu. Na mimi napenda ku-book hotel za payment on arrival maana huwezi jua what can happen in a day.
 
Kuna mambo mazuri nimepata kwenye uzi huu.
Nilianza kuzunguka miji ya mikoa ya Tanzania,nitasogea kwenye miji ya bara la Africa then nje ya Bara.
Mungu asaidie mipango iende kama nilivyomomba iende.
aamyn aamyn mkuu.

Start small and grow big kwenye travelling. Unajifunza mengi sana mkuu kwenye travelling!
 
Back
Top Bottom