moj6
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 3,354
- 5,006
Tomaso maana yake ni nini?Endelea kuwa Tomaso
Tomaso maana yake ni nini?Endelea kuwa Tomaso
Mwenyekiti wa wazee wa kula tunda kimasihara na pia mwenyekiti wa mabaharia Tanzania bara mkuu



kazi mpya zimengua ngumu sana kuzipata...Boss kwemaBe strong
Ndiyo Mr kukuKwema
ulivyouliza sasa.. wanifaham nje ya JF nn
eeh, ni from LTF auNdiyo Mr kuku
Hahaha ltf bado ipo?eeh, ni from LTF au
😂😂😂😂😂Ndiyo
Thomaso alikuwa mfuasi was yesu. Hakuamini kama yesu amefufuka hadi pale alipoona alama za misumari kwenye viganja vya mikono ya yesuTomaso maana yake ni nini?
Edu??Hahaha ltf bado ipo?
Ok sawa,Basi na mim nasubir nione hizo alamaThomaso alikuwa mfuasi was yesu. Hakuamini kama yesu amefufuka hadi pale alipoona alama za misumari kwenye viganja vya mikono ya yesu
Lile grupu lenu la man utd bado lipo na yule jike dume bado analiongoza? Maana kabla hujawekwa humo kuna grupu wanakuweka unakaangwa na maswali ukiweza kuyajibu umepita....Edu??
nilishatoka muda sana, mwaka unakaribia
Mambo ya ajali kazini naona wadau wanakuaga nataka mimi ndiye nikaimu mikoba yakokazi mpya zimengua ngumu sana kuzipata...