Sasa Hornet, umeifufua hii thread kwa ajili ya malalamiko tu? Achana nao binadamu hutowaweza.Ila kuna watu sijui akili zao zipoje
They’re trying to provoke me kwa sababu mnazozijua nyinyi
Poleni sana.




kwaiyo watu baada ya kuombwa michango wameanza kufukua makaburi ya watu dah kweli jf kuna watu hawanagabkazi za kufanyaSema Nipo kwenye msiba mode.



