My Best 5 Comedians

My Best 5 Comedians

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
34,961
Reaction score
80,192
Comedy Industry hasa stand-up comedy inakua kwa kasi saana duniani.
Hawa ni comedians 5 bora wangu wa muda wote. Hawa jamaa sio sense of humor sio punchlines hakuna wakuwashika.

1. Trevor Noah -huyu Msouth Africa anakipaji kikubwa saana. Binafsi naona sanaa yake imejielekeza saana kwenye siasa na masuala ya kijamii.

2. Steven Trevino- huyu jamaa ni hatari. Utamwelewa zaidi kama wewe ni mtu wa familia. My favorite ni I Speak Wife.

3. Steven Harvey- japo siku hizi hafanyi Stand-up comedy ila kama wewe unafuatilia Family feud utakubali Steve anakipaji cha hali ya juu.

4. George Carlin [Late] alifanya saana comedy ya siasa na dini. Aliweza kuyaeleza madhaifu ya dini katika hali ambayo ilikufanya ujifunze huku unacheka.

5. Mpho Pops - Huyu jamaa ni Msouth Africa....sio mkongwe ila kwa kipaji alichojaliwa hasa punchlines ni hatari saana. South Africa ina comedians wazuri saana.
 
Kuna mtu atakuja kusema SAID SAID
Sanaa ni matakwa ya mtu na ushabiki unaweza kuathiriwa na mambo kadhaa.

Mfano namjua mtu ambaye yupo saana Afrocentric na ukimsikiliza Trevor yupo saana Afrocentric. Hili lilimfanya ampende Trevor. Ila alipokuja kufuatilia aina ya wanawake anaodate nao hakusikiliza kazi zake tena.

Sanaa ni preference za watu.
 
Back
Top Bottom