My artwork diary

Hatari Sana huyu jamaa anafanya art za moto kweli kweli yaani ingekua kazaliwa kule Uropa aisee tungeongea mengine ila huku Afrika vipaji Kama hivyo vinaishia Kwa upepo wa kisulisuli
Ila anaweza fanya kitu Dunia now Kama Kijiji atafika mbali akiweka Nia!
 
Aisee bingwa unayaweza, Bravo....

Ingia kwenye social media platforms za wasanii kama umewahi kuisikia hii hapo chini, wasanii wanauza share ideas na vilevile wanatangaza kazi zao na kuuza kutumia hii App, inaitwa Discord

Na pia jaribu kupitia na kuelewa kitu inaitwa NFTs non-fungible tokens.

Dunia imeshakuwa kijiji, hata kama uko sehemu yoyote, ukijichanganya kwa umakini utafanikiwa mkuu.
 
Aisee bingwa unayaweza, Bravo....

Ingia kwenye social media platforms za wasanii kama umewahi kuisikia hii hapo chini, wasanii wanauza share ideas na vilevile wanatangaza kazi zao na kuuza kutumia hii App, inaitwa Discord

Na pia jaribu kupitia na kuelewa kitu inaitwa NFTs non-fungible tokens.

Dunia imeshakuwa kijiji, hata kama uko sehemu yoyote, ukijichanganya kwa umakini utafanikiwa mkuu.
Ahsante sna mkuu kwa kushare out
 
Muse: Manara
Medium: charcoal & graphite pencil
Size :A3(29.7×42cm)
IMG_20211002_070414_887.jpeg

IMG_20211002_070418_146.jpeg

IMG_20211002_070420_330.jpeg
 
Crafted in 2017 hope unaona difference 66KV
View attachment 1959563
Ndiondio mzee hapa ulikuwa hujaiva kwenye shading ,mchawi ni shading ,
Shade unazotoa saizi mjomba hufai kbsa,uko mbali sanaaa,niko na mizuka Mingi Sana na art na kuna kipindi nilikuwa moto ile mbaya Sema nikawa natoa Kazi mbovumbovu ,hazifurahishi macho yangu ,nikawa nimecease kidogo ngoja nianze upya
 
Nilikuwa na idea ila hii naona itapendwa zaidi na watu wa nje! Napenda Sana mambo ya anga so Kama utaweza kuchora artistic mchoro wenye idea hii itapendeza but najua kwa kuwauzia wabongo itakuwa tabu Sana..

Ipo hivi idea yenyewe ni nadharia unachora mwanaanga yupo mwezini akiwa anashangaa foot prints za miguu ya mwanadamu! Picha hii lazima awe ktk mshangao haswaa!! Coz ni kitu si cha kawaida ila najua ni ngumu kumchora akiwa kavalia lile dubwasha na aonekane akishangaa!!.. at the same point kifaa alichotumia kufika nacho mwezini kionekane kwa nyuma yake halafu na dunia lazima ionekane kwa mbali ikiwa nusu!.. manjonjo mengine unaweza ongezea ila isiwe chumvi sanaaa!
Nikija kupata fedha nitapenda hii idea iwekwe mchoro na niupambe sebuleni kabisa..
nafikir uyatuze mahitaj yako ukipata pesa umfate umwelezee akuchoree inachkua muda kutengenenza tsaweer ya ina hio.andaaa mawe ukiyapata timba kwa mwana akutolee kitu cha apolo mzee baba.
maulaya bwana ndio wanaelewa hiz ishu mchoro kama van gog unalindwa hadi na fbi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nafikir uyatuze mahitaj yako ukipata pesa umfate umwelezee akuchoree inachkua muda kutengenenza tsaweer ya ina hio.andaaa mawe ukiyapata timba kwa mwana akutolee kitu cha apolo mzee baba.
maulaya bwana ndio wanaelewa hiz ishu mchoro kama van gog unalindwa hadi na fbi

Sent using Jamii Forums mobile app
Naamu.
 
Ndiondio mzee hapa ulikuwa hujaiva kwenye shading ,mchawi ni shading ,
Shade unazotoa saizi mjomba hufai kbsa,uko mbali sanaaa,niko na mizuka Mingi Sana na art na kuna kipindi nilikuwa moto ile mbaya Sema nikawa natoa Kazi mbovumbovu ,hazifurahishi macho yangu ,nikawa nimecease kidogo ngoja nianze upya
Sawa sawa
 
Back
Top Bottom