khaligraph
JF-Expert Member
- Nov 19, 2016
- 1,083
- 961
Ukifanya hivi utaonekana huna heshima na kuanzia mchumba hadi kwa wakwe...... Na vp kama tukio linfanyikia dodoma jijinikakodi gari kali uende nalo ukweni utanikumbuka heshima itakuwa juu baba mkwe hawezi kukuliza maswali ya kijinga jinga wala kukudharau nashauri kodi ata range au hammer oiga na suti yako kali ukiingia nayo ukweni wote watakuheshimu jifanye upo kwenye system serikalini na usikae nao sana kaa lisaa limoja tu mpange mshikaji akupigie ujifanye unahitajika dodoma kikazi aga sema unaelekea dodoma makao makuu una shughuli za kiserikali unawahi. ukifanya nilichokwambia wakwe hawatajishauri kukupa mke ata kesho ukaoe