Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Kwa wale ambao wameshapitia hii hatua tayari na wana uzoefu hebu tupeane experience ni changamoto gani unaweza kukutana nayo siku utakapokwenda ukweni kutambulishwa.
Na jinsi gani unaweza kuiepuka hii changamoto ili usije ukaonekana kituko?
Pia soma:
Na jinsi gani unaweza kuiepuka hii changamoto ili usije ukaonekana kituko?
Pia soma:
Ulipata changamoto gani katika kumtambulisha mwenza katika familia yako?
Wakuu tupo pamoja. Mimi hapa nina mwanamke mmoja bwana ana mtoto mmoja ila sio wangu nataka kumuoa, nimeridhia kabisa na nimempenda mwanamke licha ya kuwa na mtoto, ila kipengele kinakuja kwenye familia sidhani kama watanielewa! na hata kama watanielewa sidhani kama watatoa ushirikiano...
www.jamiiforums.com