PreGE2025 Mwl. Steven Jacob aliyedaiwa kutekwa na watu wasiyojulikana apatikana Kilimanjaro akiwa amepigwa

PreGE2025 Mwl. Steven Jacob aliyedaiwa kutekwa na watu wasiyojulikana apatikana Kilimanjaro akiwa amepigwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
2,786
Reaction score
7,567
Wakuu,

Sasa hivi ni mwendo wa kutekana tu, hali inazidi kutisha, ni muda wa wananchi kuungana kuliko wakati wowote ule kupinga udhalimu huu.

===

Screenshot_20250517_013924_Instagram.jpg

Mtumishi wa Mungu anayejulikana kama Mwl. Steven Jacob aliripotiwa kutekwa asubuhi ya jana Mei 16, 2025 nyumbani wake na watu wasiyojulikana ambao walifika nyumbani kwake na cruiser nyeupe na kutokomea naye pasipojulikana.

Usiku huu imeripotiwa na wananchi kuwa amepatikana sehemu inatwa Forest mkoa wa Kilimanjaro baada ya kutupwa huko akiwa amepigwa sana, ambapo wasamaria hao wamempeleka kituo cha afya kupatiwa huduma ya kwanza na matibabu zaidi mpaka ndugu zake watakapofika.

Pia soma Pre GE2025 - Mchungaji Mwl Steven Jacob atekwa na watu wasiojulikana

Mtumishi huyu amekuwa akipost video kuikosoa serikali ambazo ndio zinasema kama chanzo cha utekaji huu kufanyika.

Kuna video alipost akisema Samia hafai kuwa Rais na akilazimisha atasababisha damu kumwagika sana nchini, na nyingine alipost akiwaambia polisi na serikali wajitafakari baada ya kuuliwa na radi kwani huo ni ujumbe wa Mungu kama kuwaonya.
 
Wakuu,

Sasa hivi ni mwendo wa kutekana tu, hali inazidi kutisha, ni muda wa wananchi kuungana kuliko wakati wowote ule kupinga udhalimu huu.

===

Mtumishi wa Mungu anayejulikana kama Mwl. Steven Jacob aliripotiwa kutekwa asubuhi ya jana Mei 16, 2025 nyumbani wake na watu wasiyojulikana ambao walifika nyumbani kwake na cruiser nyeupe na kutokomea naye pasipojulikana.

Usiku huu imeripotiwa na wananchi kuwa amepatikana sehemu inatwa Forest mkoa wa Kilimanjaro baada ya kutupwa huko akiwa amepigwa sana, ambapo wasamaria hao wamempeleka kituo cha afya kupatiwa huduma ya kwanza na matibabu zaidi mpaka ndugu zake watakapofika.

Pia soma Pre GE2025 - Mchungaji Mwl Steven Jacob atekwa na watu wasiojulikana

Mtumishi huyu amekuwa akipost video kuikosoa serikali ambazo ndio zinasema kama chanzo cha utekaji huu kufanyika.

Kuna video alipost akisema Samia hafai kuwa Rais na akilazimisha atasababisha damu kumwagika sana nchini, na nyingine alipost akiwaambia polisi na serikali wajitafakari baada ya kuuliwa na radi kwani huo ni ujumbe wa Mungu kama kuwaonya.
huenda ni waamini wake tu wameamua kumrekebisha tabia kwa style hiyo ili ijulikane moja ikiwa mtumishi huyo anafanya siasa au anahubiri neno la Mungu kwenye jengo ambalo waamini walijenga kwaajili ya kuhubiri neno la Mungu 🐒
 
huenda ni waamini wake tu wameamua kumrekebisha tabia kwa style hiyo ili ijulikane moja ikiwa mtumishi huyo anafanya siasa au anahubiri neno la Mungu kwenye jengo ambalo waamini walijenga kwaajili ya kuhubiri neno la Mungu 🐒
Na wewe ni mmoja wa muhumini wake nini? Mbona umerudi kinyumenyume pasipo kuangalia nyuma yako kama kuna gogo litakalopeleekea ujichomeke pasipo kujikwaa.
 
Mikopo hio ya kausha damu, wengine ni mafia....
Sasa tumefikiwa na sisi
, haya yalishatokea sana kwa hao tunaofata hizi taratibu zao

 
CHADEMA,
mkusanye ushahidi kwa haya maovu yanayofanyika
polisi wajiande kisaikolojib chadema ikiwa chama tawala

Ni uonevu na dhambi kumteka mtu kwaajiri ya madaraka na kumpiga au kumuua

Mungu ni mwema kama wamemuachia akiwa hai
 
Hongera kwa jamii wapenda haki na Jeshi la polisi
Bangi zimekuzidi kimo sana siku hizi
Mambo yanapowawia magumu mnajisahau sana; badala ya kutumia msokoto mmoja kwa masaa sita, siku hizi imekuwa misokoto miwili kila baada ya masaa manne.
Na bado, itakapofika July sijui hali zenu zitakuwaje?

Wakati huo mambo yatazidi kujipambanua vizuri zaidi kuelekea ukombozi wa nchi yetu.
 
huenda ni waamini wake tu wameamua kumrekebisha tabia kwa style hiyo ili ijulikane moja ikiwa mtumishi huyo anafanya siasa au anahubiri neno la Mungu kwenye jengo ambalo waamini walijenga kwaajili ya kuhubiri neno la Mungu 🐒
🛐⚰️
 
Hongera kwa jamii wapenda haki na Jeshi la polisi
huenda ni waamini wake tu wameamua kumrekebisha tabia kwa style hiyo ili ijulikane moja ikiwa mtumishi huyo anafanya siasa au anahubiri neno la Mungu kwenye jengo ambalo waamini walijenga kwaajili ya kuhubiri neno la Mungu 🐒
Nyinyi dawa yenu siku hizi ni radi tu.
 
Wakuu,

Sasa hivi ni mwendo wa kutekana tu, hali inazidi kutisha, ni muda wa wananchi kuungana kuliko wakati wowote ule kupinga udhalimu huu.

===


Mtumishi wa Mungu anayejulikana kama Mwl. Steven Jacob aliripotiwa kutekwa asubuhi ya jana Mei 16, 2025 nyumbani wake na watu wasiyojulikana ambao walifika nyumbani kwake na cruiser nyeupe na kutokomea naye pasipojulikana.

Usiku huu imeripotiwa na wananchi kuwa amepatikana sehemu inatwa Forest mkoa wa Kilimanjaro baada ya kutupwa huko akiwa amepigwa sana, ambapo wasamaria hao wamempeleka kituo cha afya kupatiwa huduma ya kwanza na matibabu zaidi mpaka ndugu zake watakapofika.

Pia soma Pre GE2025 - Mchungaji Mwl Steven Jacob atekwa na watu wasiojulikana

Mtumishi huyu amekuwa akipost video kuikosoa serikali ambazo ndio zinasema kama chanzo cha utekaji huu kufanyika.

Kuna video alipost akisema Samia hafai kuwa Rais na akilazimisha atasababisha damu kumwagika sana nchini, na nyingine alipost akiwaambia polisi na serikali wajitafakari baada ya kuuliwa na radi kwani huo ni ujumbe wa Mungu kama kuwaonya.
Amepata anachostahili, mwambie agombee mamake. Huyo mpumbavu ni mwl. Wa nini wa wapi.
 
CHADEMA,
mkusanye ushahidi kwa haya maovu yanayofanyika
polisi wajiande kisaikolojib chadema ikiwa chama tawala

Ni uonevu na dhambi kumteka mtu kwaajiri ya madaraka na kumpiga au kumuua

Mungu ni mwema kama wamemuachia akiwa hai
Itakuwa chama tawala kaburini pamoja na wewe.
 
Wakuu,

Sasa hivi ni mwendo wa kutekana tu, hali inazidi kutisha, ni muda wa wananchi kuungana kuliko wakati wowote ule kupinga udhalimu huu.

===


Mtumishi wa Mungu anayejulikana kama Mwl. Steven Jacob aliripotiwa kutekwa asubuhi ya jana Mei 16, 2025 nyumbani wake na watu wasiyojulikana ambao walifika nyumbani kwake na cruiser nyeupe na kutokomea naye pasipojulikana.

Usiku huu imeripotiwa na wananchi kuwa amepatikana sehemu inatwa Forest mkoa wa Kilimanjaro baada ya kutupwa huko akiwa amepigwa sana, ambapo wasamaria hao wamempeleka kituo cha afya kupatiwa huduma ya kwanza na matibabu zaidi mpaka ndugu zake watakapofika.

Pia soma Pre GE2025 - Mchungaji Mwl Steven Jacob atekwa na watu wasiojulikana

Mtumishi huyu amekuwa akipost video kuikosoa serikali ambazo ndio zinasema kama chanzo cha utekaji huu kufanyika.

Kuna video alipost akisema Samia hafai kuwa Rais na akilazimisha atasababisha damu kumwagika sana nchini, na nyingine alipost akiwaambia polisi na serikali wajitafakari baada ya kuuliwa na radi kwani huo ni ujumbe wa Mungu kama kuwaonya.
Kama aliisema sirikali vibaya tayari wahuni wamefanya yao
 
Back
Top Bottom