Mwizi uswahilini.

Mwizi uswahilini.

uporoto01

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2008
Posts
4,698
Reaction score
1,429
kuna mwizi baada ya kuiba sana jirani na kwao akaona asogee kidogo sehemu ingine,usiku akaenda kwenye nyumba moja yenye ukuta akaona kimya,ukuta haukuwa mrefu sana akaona aruke juu na kushika mara moja tu,Kumbe ukuta ule ulimaliziwa kujengwa jioni ile na wenye nyumba walilala barazani kulinda usalama.Mwizi ile anadandia ukuta ukaangukia ndani pamoja nae na akazingirwa na wenye nyumba katika kuchanganyikiwa kauli yake ya kwanza 'humu ndani kuna chumba cha kupanga' ?
 
..... wakamwonyesha shimo la choo walilochimba siku hiyo kisha wakamwambia, chumba hicho hapo, ingia ulale sisi tutakufunika usipigwe na baridi. Akawa anasita, wakamsukumia ndani na kazi ya kumfunika kwa udongo ikaanza, baada ya hapo hakupigwa tena na baridi wala hakuwahi kunyeshewa na mvua.. Rip..... Lol
 
hata wenye nyumba walicheka sana na kumuachia aende zake.
 
Back
Top Bottom