jogoo wa maajabu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 678
- 1,226
- Thread starter
- #21
Leo nimepata silaha ntawapa mrejeshoo kamiliWezi wa mazao huvuna usiku, unataka wamchinje wampike na ndizi zake!
Leo nimepata silaha ntawapa mrejeshoo kamiliWezi wa mazao huvuna usiku, unataka wamchinje wampike na ndizi zake!
Kuna jamaa miaka ya nyuma huko ilikuwa ukienda kuiba mbao zake badala ya kupeleka ulikokusudia, unapeleka nyumbani kwake.
Ukifika unamkuta anakusubiria, anakuelekeza sehemu ya kuweka then ndio akili zinakujia unaondoka kwa aibu.
Yaani yeye ukienda kuiba tu, anapata alert anaanza kukusubiri nyumbani kwake na kuandaa vizuri sehemu ya kuweka.
Mkuu uko mkoa gani ndizi zinastawi?maana mi ninaeneo langu hapa dar maji yapo inakaribia miaka miwili eneo linakaa tu naona nimeshawishika na hiyo kilimo chako sasa ndo sijui kustawi kwakeNimeanza ulinzi mzito nikiwa silaha...
Habari zenu wanandugu natumaini mtakuwa salama sana....
Miezi 10 nyuma nilifanikiwa kununua eneo nikiwa bado najichanga changa nione nitalifanyia nini hili eneo liweze kunipa matunda muda huo ikanibidi nianze kulipanda ndizi nikaanza kuchimba mashimo ya migomba kwa mikono yangu na nilipoona panapohitaji nguvu kazi kubwa niliweka vibarua wakunisaidia mpaka nkakamilisha mashimo 580 na mbegu za migomba nilichukua kwa majirani zingine nilinunua kwa pesa mpaka nkafanikiwa kupanda shamba zima likiwa na migomba (ndizi) za kupika 350, kuvundika ndizi 100 na ndizi za kuchoma 25 mpaka sasa sijapanda mashimo mengine...
MAFANIKIO.
Ndugu zangu ni kwa muda mchache sana kama miezi 8 naanza kuona mafanikio baadhi ya NDIZI zimebeba sana na kuna shule ipo jirani ya mtu binafsi kila ijumaa nmepewa oda niwe napeleka mikungu 20 ya ndizi na kila mkungu wa ndizi nauza mpaka Tsh. 12000 na naweza vuna mikungu ya ndizi zaidi ya 30 kwa mara moja , ndizi zinatoka kubwa na zenye afya kwa sababu kila shimo la mgomba niliweka mbolea ndoo mbili ya samadi.. Na maji yapo karibu kwa hiyo hainipi shida kumwagilia
CHANGAMOTO..
Hapa ndo penye umuhimu mkubwa sana na ndo hasa lengo kuu la kuuanzisha Uzi huu kuna wezi wameisha anza kuniibia ndizi shambani nmepata wamekata migomba kama 6 na wameondoka na NDIZI inaniuma sana wadau naombeni msaada najua humu JF kuna watu walishawahi kupitia changamoto kama yangu ama zaidi ila walitatua kwa namna yoyote ile nipo tayari...
"tusameheane kwa mwandiko wangu wakubwa"
Ndizi zinastawi sehem yenye maji kiasi na udongo mzury wenye rutuba ndizi ,ule udongo wa kukuza muhindi unatosha kuotesha mgomba na ukawa vema nipo tarime -Mara(musoma)Mkuu uko mkoa gani ndizi zinastawi?maana mi ninaeneo langu hapa dar maji yapo inakaribia miaka miwili eneo linakaa tu naona nimeshawishika na hiyo kilimo chako sasa ndo sijui kustawi kwake
Kuna ndizi nimeziacha mpaka ziivie shamba ntakuwa nazilinda nmepata vijana watatu mpaka niwakamate maana najua anategea ndizi zikikomaa anakataWeka walinzi at least wawili.
Wewe jamaa mzima kweli?We kazini kwako huibi,acha roho ya korosho
Kwanini mchawi hawezi kuiba pesa benki ?Weka zindiko mkuu, yaani mtu akiingia shambani anaziona ndizi vizuri, akikata na kubeba kimbembe kianzie hapo, hataiona njia na hataweza kushusha ndizi aliyobeba mpaka unamkuta.
Mkuu shughuli za utalii kwa sasa zinaendaje ?Mkuu uko mkoa gani ndizi zinastawi?maana mi ninaeneo langu hapa dar maji yapo inakaribia miaka miwili eneo linakaa tu naona nimeshawishika na hiyo kilimo chako sasa ndo sijui kustawi kwake
Njoo privateMkuu shughuli za utalii kwa sasa zinaendaje ?
Sawa chiefNjoo private
Hahaa hizo ndizi za kupika na utumbo ndio atakuwa anapatia hapo hapo mkuu?Bravooo
Weka mlinzi, Zungusha wavu, kisha otesha bougainvillea, na mbwaa (wanasaidia usiku na mchana manake mlinzi aweza sinzia/ama akaenda kutafuta utumbo wa kuja kupikia ndizi)
Ongee vizur na majirani -- huenda mwizi ni alokuuzia shamba
Au apate na samaki sato mchemshoHahaa hizo ndizi za kupika na utumbo ndio atakuwa anapatia hapo hapo mkuu?
Mkuu uko mkoa gani ndizi zinastawi?maana mi ninaeneo langu hapa dar maji yapo inakaribia miaka miwili eneo linakaa tu naona nimeshawishika na hiyo kilimo chako sasa ndo sijui kustawi kwake
Hii nzuri😂😂 ila mimi akili zikinirudia nazibeba tena hizo mbao hapo kwake aaii ,yaani nimbebee bure bure tu😂Kuna jamaa miaka ya nyuma huko ilikuwa ukienda kuiba mbao zake badala ya kupeleka ulikokusudia, unapeleka nyumbani kwake.
Ukifika unamkuta anakusubiria, anakuelekeza sehemu ya kuweka then ndio akili zinakujia unaondoka kwa aibu.
Yaani yeye ukienda kuiba tu, anapata alert anaanza kukusubiri nyumbani kwake na kuandaa vizuri sehemu ya kuweka.
eee kama humlipi mlinzi ujira wake kwa wakati, anajimegea mazao ukija anakwambia wezi wamepita usiku,,,,,,kumbe jana yake alichukua mkungu mmoja akapeleka mnadaniiiHahaa hizo ndizi za kupika na utumbo ndio atakuwa anapatia hapo hapo mkuu?
Nmeisha imalisha ulinzi na mm nikiwemoPole sana... Weka mlinzi...
Raha ya ndizi nipale ninapokata kwa ajili ya chakula cha familia yangu nasikia raha sanaMkuu uko mkoa gani ndizi zinastawi?maana mi ninaeneo langu hapa dar maji yapo inakaribia miaka miwili eneo linakaa tu naona nimeshawishika na hiyo kilimo chako sasa ndo sijui kustawi kwake
Hatari na nusu,halafu ushushie na kitochiZizi mnyenyele ama mchare laini ukipikwa na utumbo+taulo+ wa ng'ombeee na pili pili kwa mbalii hahaaa unaongeza mashimo kutoka 580 hadi kufikia 850