Mwita Waitara unajidhalilisha

Mwita Waitara unajidhalilisha

Mkuu, Tol, kwanza naunga mkono hoja, niliwahi kuzungumza humu kuwa kiukweli kabisa, sisi Tanzania, tunao baadhi ya viongozi ambao ni vichaa kabisa ila hatuwatambui kutokana na ukimya wao au utulivu wao kwa sababu kuwa kichaa sio mpaka mtu aokote makopo!. Lakini wanapoanza kupayuka kwa kauli za ajabu ajabu na matendo yao ndipo utabaini kuwa fulani sii mzima!.

Kuwa Kichaa Sio Mpaka Kuokota Makopo!. Jee Tanzania Tuna Vichaa Wengi Kuliko Tunavyojidhania?!.

Ila natofautiana na wewe, mtu wa aina hii hahitaji kulaaniwa bali anahitaji kuombewa apone, hili nililishauri hapa
Insane Anahitaji Huruma, Kusaidiwa. Sio Kulaumiwa, Kulaaniwa na Kususwa! He Needs Help, Tumsaidieje?
P.
Pasco wewe ni GT wa aina yake, nakushauri maandiko yako yote humu uyaweke kwenye kitabu kisha runnier.
 
Hili shambulizi walilipanga wenyewe ni inside job chadema na Tundu alikuwa sehemu ya mpango mzima na alijua lkn likaenda ndivyo sivyo yaani Mungu akawaumbua, lkn walitaka wafanye assasination attempt ili waishitumu Serikali yetu!

What a stupid reasoning! This can be one of the most rubish reasoning I have ever read from a member of great thinkers forum!!
 
Kama Waitara anajiona amefika kwa Mungu ya shetani anayatakia nini,kwanini asiwaachie wenye shetani na shetani wao?.
nadhani waitara mwita atakuwa kachanganyikiwa anahitaji kutibiwa Milembe
 
Wakati wa kampeni za uchaguzi wa marudio wa ubunge wa Arumeru Mashariki, 2013, rais mstaafu Benjamin Mkapa aliponzwa na kauli yake alipodai Vincent Nyerere siyo mtoto wa ukoo wa Nyerere. Nakumbuka kati ya majibu yaliyotolewa na Vincent mwenyewe ni pamoja na kumtaka Mkapa aweke wazi kilichomuua baba wa Taifa aliyeondoka Butiama akiwa Mzima aliyekwenda tu kupima Afya na kurudi Mfu.

Kifupi tukio hilo lilimfanya Mkapa atafute wazee wa kifamilia kumaliza kadhia hiyo kwa vile nayeye alidai ni mwanafamilia wa ukoo wa Nyerere.

Baada ya aliyekuwa Mbunge wa Ukonga kuhoji (mimi naita kuropoka) kuhusu utata wa jaribio la mauaji ya Tundu Lissu, amejibiwa na mhanga mwenyewe pamoja na kutolewa tuhuma nzito zikiinyoshea kidole serikali ya Mh. Magufuli na rais mwenyewe kuhusika.

Hizi tuhuma siyo ndogo ni kubwa hasa ukizingatia zinamhusisha kiongozi mkuu wa nchi kwa kutajwa kwa jina na sio cheo chake, zimezua mjadala mkubwa unaoendelea hivi sasa. Nionavyo mimi mjadala huu hautaisha leo utadumu, hata kama utafifia kwa muda fulani hata miaka kadhaa lkn utakuja kuibuka kama ulivyoibuka mjadala wa kifo cha baba wa taifa na jamii kutaka kupata majibu.

Nimetoa mifano hiyo ili kuwa tahadharisha wanasiasa kuwa waangalifu wanapotumia midomo yao kwa makusudi au kutojua kupotosha jamii kama mtaji wa kisiasa. Kwa upande mwingine wanaweza kuharibu, kuponza au kuchimbua yaliyojificha.

Quinine wa JF.
 
Mkuu, Tol, kwanza naunga mkono hoja, niliwahi kuzungumza humu kuwa kiukweli kabisa, sisi Tanzania, tunao baadhi ya viongozi ambao ni vichaa kabisa ila hatuwatambui kutokana na ukimya wao au utulivu wao kwa sababu kuwa kichaa sio mpaka mtu aokote makopo!. Lakini wanapoanza kupayuka kwa kauli za ajabu ajabu na matendo yao ndipo utabaini kuwa fulani sii mzima!.

Kuwa Kichaa Sio Mpaka Kuokota Makopo!. Jee Tanzania Tuna Vichaa Wengi Kuliko Tunavyojidhania?!.

Ila natofautiana na wewe, mtu wa aina hii hahitaji kulaaniwa bali anahitaji kuombewa apone, hili nililishauri hapa
Insane Anahitaji Huruma, Kusaidiwa. Sio Kulaumiwa, Kulaaniwa na Kususwa! He Needs Help, Tumsaidieje?
P.


Unaamini kabisa Tundu Lisu alipigwa risasi zaidi ya 30? Hizo risasi zilipiga sehemu gani ya mwili? I mean huo mguu ndo uliochukuwa risasi 30??

Huu ulikuwa mpango wa kuichafua Serikali yetu ambao ulifanywa na chadema wenyewe pmj na Tundu Lisu sasa kuna mahali walikosea stepu mambo ya karma labda, na waliochoma moto ofisi za immma ndo hao hao na walikuwa na lengo hilo hilo!

Hata waliomficha Ben Saanane ndo hao hao chadema kwani kama ni kweli amepotea iweje wawe kimya kiasi hicho? Hata tu Wazazi wake Saanane kimya hakuna chochote, mtu anaweza tu kupotea asionekane halafu wakae kimya?
 
Mungu wuepushe Waitara na Kigwangala na jicho la husuda kutoka upinzani.
 
Huyu Mwita Waitara alijuaje kuwa risasi zilitokea kushoto?

Ana sura ya ulevi ulevi flani
mwita waitara inaelekea anawadharau watanzania kwa kiasi cha kutisha kwani kitendo cha kujaribu kutengeneza Uzushi wa kishamba na kijinga kisha akataka watanzania wauamini ni dharau kubwa, njaa zake abaki nazo peke yake aacha watanzania wahangaike na shida zingine.
 
Swali liko palepale target ni moja kwanini mtu abebe risasi 62?!!za nini?!
Hawakutumia bastola,,,ni bunduki kubwa ,,SMG ama AKA 47.. Ambazo magazine capacity ni 30 bullets. Logic ndogo tu,,,huwez beba Risas 3 kisa unaenda kuua MTU mmoja,,,kuna kummiss target,, au kupata Ukinzani ,,ukashambuliwa kabla hujashambuliwa
 
Unaamini kabisa Tundu Lisu alipigwa risasi zaidi ya 30? Hizo risasi zilipiga sehemu gani ya mwili? I mean huo mguu ndo uliochukuwa risasi 30??

Huu ulikuwa mpango wa kuichafua Serikali yetu ambao ulifanywa na chadema wenyewe pmj na Tundu Lisu sasa kuna mahali walikosea stepu mambo ya karma labda, na waliochoma moto ofisi za immma ndo hao hao na walikuwa na lengo hilo hilo!

Hata waliomficha Ben Saanane ndo hao hao chadema kwani kama ni kweli amepotea iweje wawe kimya kiasi hicho? Hata tu Wazazi wake Saanane kimya hakuna chochote, mtu anaweza tu kupotea asionekane halafu wakae kimya?
haya maneno ni fala pekee tena yule mjinga wa kijijini ndani ndani anaweza kukaa akayaamini, lakini binadamu mwenye Akili Timamu hata aliyekutuma Uyaandike mwenyewe hayaamini hayo maneno yenu.
 
xIMG-20170907-WA0062-750x375.jpg.pagespeed.ic.kgLQpF3g8i.jpg

Hayo matundu yaliyopo hapo na maelezo ya "kulaza kiti"mbona matundu yanaonesha yako maeneo ya kifuani?!..kuna jambo haliko sawa.
 
haya maneno ni fala pekee tena yule mjinga wa kijijini ndani ndani anaweza kukaa akayaamini, lakini binadamu mwenye Akili Timamu hata aliyekutuma Uyaandike mwenyewe hayaamini hayo maneno yenu.


Na yoyote anayeamini Tundu Lisu kapigwa risasi 30 ni mgonjwa wa akili!
 
Hilo tukio Zima Ni bongo movie Ni suala la muda ukweli haujawahi kufichika milele,30+ bullets kwenye short range halafu uishie kupigwa miguu!! Tena unaambiwa eti limepangwa na serikali,WTF! Of all hit men waliopo kwenye vikosi vya nchi hii watumwe vilaza WA kiwango hicho? It doesn't make sense!! Mngeshazika huyo jamaa yenu hata kama Mungu angekuwa upande wake siku hiyo! Labda siyo SMG ninayoijua Mimi.
Ndugu mimi hiyo bunduki nimeisoma vyema jeshini, umbali ule ingeshaharibu kila kitu. Kwanza risasi kukutwa mwilini ni kitendawili
 
Back
Top Bottom