Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,837
aliyetoa idadi ya risasi ni daktari yakupasa uende huko Nairobi kawaulize pia nenda kahesabu matundu ya risasi kwenye gari ya Lisu.
Walisema idadi ya risasi kabla hata Tundu Lisu hajafika Nairobi, Mbowe alitaja idadi!