Cjakuelewa unamaanisha lisu alipanga hilo tukio ye mwenyewe?Hilo tukio Zima Ni bongo movie Ni suala la muda ukweli haujawahi kufichika milele,30+ bullets kwenye short range halafu uishie kupigwa miguu!! Tena unaambiwa eti limepangwa na serikali,WTF! Of all hit men waliopo kwenye vikosi vya nchi hii watumwe vilaza WA kiwango hicho? It doesn't make sense!! Mngeshazika huyo jamaa yenu hata kama Mungu angekuwa upande wake siku hiyo! Labda siyo SMG ninayoijua Mimi.
Nadhani uchunguzi ungeanzia kwenye zile cctv ambazo haijulikani nani aliziondoa pamoja na wale askari wanaokuwa lindo
So far kwa mtiririko wa tukio zima lilivyofanyka inaonesha kabisa kulikuwa na mkono wa serikali kwenye hili tukio
Na kuhusu mission kutokamilika hii inatokea hta kwa majasusi wa kiwango cha dunia
Kumbuka hta carlos the jackal kuna mission alishindwa kufanikisha lengo