Abdallahkova
JF-Expert Member
- Apr 19, 2017
- 1,154
- 1,128
Wale wako hospital walojeruhiwa sa zakaria nivibaka ? Mijitu mingine bwana sijui yakizaliwa wapi ? Umaskini nitabu sana .maskini mmelaaniwa kabisa maana huwezi kuishi kwakusema ukweli lazima ujipendekeze ili ule .Hilo tukio Zima Ni bongo movie Ni suala la muda ukweli haujawahi kufichika milele,30+ bullets kwenye short range halafu uishie kupigwa miguu!! Tena unaambiwa eti limepangwa na serikali,WTF! Of all hit men waliopo kwenye vikosi vya nchi hii watumwe vilaza WA kiwango hicho? It doesn't make sense!! Mngeshazika huyo jamaa yenu hata kama Mungu angekuwa upande wake siku hiyo! Labda siyo SMG ninayoijua Mimi.