Wewe unaongea ya Chacha, kaongea Lissu mwenyewe. Tumuamini Chacha au Lissu mhusika?Na naamini mwita anahabari nyingi nyeti.Mwita sio fara kwamba anaongea tu asiyoyajua.Aongee ya chacha aongee ya lisu nk wanataka kusema kada mtiifu kama mwita asijue yaliyokuwa nyuma yake?
Including yourself; you have absolutely no escape route, you WILL BITE THE DUST.Nadhani ni vizuri aachane na mambo ya siasa ni vizuri akalime nyanya Ikungi kuna ardhi yenye rutuba au next time anaweza kubite the dust.
Wewe umeishia darasa la nne halafu unamshauri TAL, top class lawyer aende akalime Ikingu, ukiiba kuku nani atakutetea mahakamani? Oh sorry, wezi wa kuku kama wewe huwa hamuwezi kuafford mawakili.Sssa unataka akirudi awe ananijificha nyuma ya Fatuma Karume?!..ushauri niliotoa ni mzuri.
Magazini unayoijua wewe ni ile ya SMG inayobeba risasi 30 zingine huzijui????Magazini ya risasi 38 ni ipi hiyo?!..kuna maswali mengi kwenye shambulio hilo
Unaanza siasa za kichadema za kudhani bila ushahidi.Hata uandike kurasa 100 binafsi siwezi kuamini kwamba chadema hawajahusika maswali ni mengi hayana majibu, kama ulivyouliza ni wapi chadema wangetoa silaha hata mimi nauliza kama Serikali na machinery yake wangetaka kumuua kweli Tundu Lisu wangeshindwaje? Unajua ni nani aliyempa Tundu Lisu huduma ya kwanza? Walishindwa nini pale Dodoma kummalizia kama hilo ndiyo lilikuwa lengo la Serikali yetu? Hivyo kuanzia kupotea kwa Saanane mpaka kumficha dereva aliyekuwepo kwenye crime scene ambaye sasa wamemhamishia Ubelgiji kote huku kunanifanya niamini kwamba chadema wanahusika na hata Tundu Lisu mwenyewe anahusika pia!
Lol! Then you know nothing about investigating a criminal act. Of course huzipi cameras nafasi because they don't fit in your narrative.Mambo ya CCTV cameras and hizo blah blah kwangu hata sizipi nafasi Sana sababu hata sijui kama kwel zilikuwepo maanake anayetuhumu Ni mwanasiasa na tukio Zima liko kisiasa zaidi.
Nakushauri ipeleke ushahidi wako polisi na usipoupeleka basi tujue ni kiki za kisiasa kwani ume ahidiwa singe nono kupotosha ukweli ili uweze kumlinda Bashite na mkulu. Kwa nini serikali pamoja na wewe hamtaki uchunguzi huru? Kazi kuleta propaganda kwenye mitandao?Hata uandike kurasa 100 binafsi siwezi kuamini kwamba chadema hawajahusika maswali ni mengi hayana majibu, kama ulivyouliza ni wapi chadema wangetoa silaha hata mimi nauliza kama Serikali na machinery yake wangetaka kumuua kweli Tundu Lisu wangeshindwaje? Unajua ni nani aliyempa Tundu Lisu huduma ya kwanza? Walishindwa nini pale Dodoma kummalizia kama hilo ndiyo lilikuwa lengo la Serikali yetu? Hivyo kuanzia kupotea kwa Saanane mpaka kumficha dereva aliyekuwepo kwenye crime scene ambaye sasa wamemhamishia Ubelgiji kote huku kunanifanya niamini kwamba chadema wanahusika na hata Tundu Lisu mwenyewe anahusika pia!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] serikali ina mengi hii serikali inayouliza kibali vya watu wafanyao kazi nje na kuwatafuta watu kwenye mitandao kama wanasema mfalme? Hujaona serikali zenye kazi nyingi nini? Tembea unone!Serikali yetu haina huo muda, ina mengi ya kufanya!
Walipitaje getini hali kuna ulinziHalafu CCTV camera zilizorekodi tukio zikiwa kwa mh waziri na naibu spika zikaondolewa na hao hao cdm, makubwa!
ni Aibu kubwa kwa mwita waitara kudhani kpindi hiki anaweza kucheza na Akili za watanzania, hatambui kuwa watu wana Akili kuliko yeye na wanamchora jinsi anavyojikanyaga kaganya mpaka apate laana zaidi ndipo atakuja kuzinduka baadae.Sijui kwann ukivaa nguo ya kijani lzm uwezo wa kufikiri upungue
\Leo tarehe 05/08/2018 nimeshangazwa sana na kusikitishwa na kauli iliyotolewa na aliyekuwa mbunge wa ukonga Bw mwita waitara wakati akihojiwa na Leonard Mapuli mtangazaji wa Startv Tanzania kuwa anashangaa sana kwa mh Lisu kuumia mguu wa kulia ili hali risasi zilitoka upande wa kushoto
Najua Bw waitara ni msomi na anajua ni nini anaongea na ni kwa faida ya nani. Napia anajua kwa undani kabisa ni kwa nini mh Tundu Antiphas Lissu aliumizwa mguu wa kulia ila kwa makusudi anataka kuupotosha umma na kuwafanya watanzania ni wajinga na wavivu wa kufikiri
Mbaya zaidi Mwita Waitara pia kamtuhumu driva wa lisu kuwa ndio muhusika mkuu kwa shambulio LA Lisu
Kwa faida ya wengine ni kwamba baada ya Lisu kuona watu #wasiojulikana wameshuika kwenye gari huku wameshika silaha za moto Lisu alikilaza kiti na KULALA KWA TUMBO na hiyo ndio ikawa salama yake. sasa tumuulize huyu mnafiki mwta waitara aliyejiondoa ufahamu mtu akilala kwa tumbo kwenye kiti cha mbele cha abiria mguu wa kulia utakuwa upande gani?
Itawezekana vipi Lisu aliyeumizwa amtetee adui yake aliyetaka kumuuwa?
Watanzania tuna uchungu mkubwa sana na kusikitishwa na shambulio la lisu anatokea mtu anatoa kauli za kejeli na kebehi kwenye maumivu na mateso ya mtu.. Mtu huyo lazima tutamlaani kwa nguvu zetu zote na kwa uwezo wetu wote
Kuhama chama ni utashi na uamuzi wa mtu binafsi kwa hilo hatuwezi mlaumu lakini pale anapotumia tamaa zake binafsi kupotosha umma tutasema na kumlaani kwa sauti ya juu
Njaa na tamaa yako Bw Waitara isikufanye ufikirie kwa tumbo badala ya kichwa
Mungu ibariki Tanzania........
wakiruhusu FBI waje ni ndani ya siku 3 wanatoa jawabu na watasema ni nani alizichukua zile cct camera pia ni kwa nini walinzi hawakutoa upinzani kwa watu waliokuwa wakishambulia Lisu.Nakushauri ipeleke ushahidi wako polisi na usipoupeleka basi tujue ni kiki za kisiasa kwani ume ahidiwa singe nono kupotosha ukweli ili uweze kumlinda Bashite na mkulu. Kwa nini serikali pamoja na wewe hamtaki uchunguzi huru? Kazi kuleta propaganda kwenye mitandao?
Uchunguzi huru sasa hivi unahitajika kuliko wakati wowote tujue wewe msemaji wa Bashite au labda ni Bashite mwenyewe umeleta utetezi ambao wakati wa tukio ulikuwa huna, na baada ys kukaa chini na kutafakari kwa miezi kadhaa mkaona hii hoja inaweza kuwachomoa no nasema no kubwa hamuepuki kikombe hiki muda ni hakimu.
Nina uhakika 99% wewe unaweza kuwa mmoja wa wahusika na njama za kutoa uhai wa Lisu
Haimjengi zaidi ya watu kumchora tu na kujua alimvo mweupe kichwani. Akipigwa kimya kutokusema vibaya kule alipolelewa anakosa nini,tunajua hana shukrani afadhiliki,alitakiwa ajiongeze asitumike kujidhalilisha kwa ajili ya tumbo tu.ni Aibu kubwa kwa mwita waitara kudhani kpindi hiki anaweza kucheza na Akili za watanzania, hatambui kuwa watu wana Akili kuliko yeye na wanamchora jinsi anavyojikanyaga kaganya mpaka apate laana zaidi ndipo atakuja kuzinduka baadae.
mwita waitara kapagawa ni kama Mwehu mvuta Bangi sasa amekariri zidumu fikra za wale wanaomtuma kuropoka ni Aibu anazidi kudhalilika kadri anavyozidi kuongea ujinga ujinga wake.\
Kwa hatua aliyofikia wiatara sasa hata akiambiwa na pole pole katangaze kuwa mama yako mchawi anawanga usiku hata bila ushahidi ataenda kusema...huyu jamaa hayuko vizuri kichwani sasa sijui ni hayo madarka na vyeo alivyohadiwa au au katupiwa kitu...acheni kupoteza mda nae....
Yeye ndio mwenye chuki cause baada ya kuhama anaanza kuropoka uzushiKuwahama imekuwa chuki?!