Mwita Waitara unajidhalilisha

Mwita Waitara unajidhalilisha

Hili shambulizi walilipanga wenyewe ni inside job chadema na Tundu alikuwa sehemu ya mpango mzima na alijua lkn likaenda ndivyo sivyo yaani Mungu akawaumbua, lkn walitaka wafanye assasination attempt ili waishitumu Serikali yetu!
Are you insane?
 
Hili shambulizi walilipanga wenyewe ni inside job chadema na Tundu alikuwa sehemu ya mpango mzima na alijua lkn likaenda ndivyo sivyo yaani Mungu akawaumbua, lkn walitaka wafanye assasination attempt ili waishitumu Serikali yetu!
Na naamini mwita anahabari nyingi nyeti.Mwita sio fara kwamba anaongea tu asiyoyajua.Aongee ya chacha aongee ya lisu nk wanataka kusema kada mtiifu kama mwita asijue yaliyokuwa nyuma yake?
 
Sasa kwani akisema hayo anaongopa?

Si ilikuwa hivyo au mna jipya la kutaka kutudanganya..

Kazi ya ndani ya chadema hiyo labda hata anahusika kwa jinsi anavyoendelea kupayuka ovyo huko aliko majuu.

Dereva wake anakua yote na bastora aliishika pia.. lazima.. na wakuu wenu wanajua zaidi.. msituletee hya malizaneni huko mshitakiane mfungwe
Issue ni kwanini unaogopwa uchunguz huru, na kwanini kamera itolewe hayo ni maswal ambayo yanatia shaka na pia lile eneo nani analilinda? Acheni majibu mepesi aisee mmelugeuza hili kuwa Taifa la watu wapumbavu kbs, shame on you guys very shame indeed.
 
Umeambiwa bunduki ilikuwa moja? Hata hivyo mbona wamekataa uchunguzi huru?!
Umejaribu kujenga image ya tukio na kupima inawezekane urushaji wa risasi hadi zikafika 38?
 
Na naamini mwita anahabari nyingi nyeti.Mwita sio fara kwamba anaongea tu asiyoyajua.Aongee ya chacha aongee ya lisu nk wanataka kusema kada mtiifu kama mwita asijue yaliyokuwa nyuma yake?
Umeshaambiwa anautaka uwazir kamili na hayo ndio makubaliano yao na yule Fifi.
 
Chadema mnamuogopa sana waitara ; nyuzi haziishi kumhusu, nini tatizo?
Ana mengi anayajua kuhusu chadema, so anavyofunguka inakuwa anatia mchanga kitumbua.Swala la lisu wao hawataki hata kidogo mtu aongee nje ya mitazamo yao.Wao wanachotaka kusikia ni kuituhum serikali tu na si vingine.Huruhusiwi kujenga hoja nje ya hiyo mitazamo
 
Leo tarehe 05/08/2018 nimeshangazwa sana na kusikitishwa na kauli iliyotolewa na aliyekuwa mbunge wa ukonga Bw mwita waitara wakati akihojiwa na Leonard Mapuli mtangazaji wa Startv Tanzania kuwa anashangaa sana kwa mh Lisu kuumia mguu wa kulia ili hali risasi zilitoka upande wa kushoto
Najua Bw waitara ni msomi na anajua ni nini anaongea na ni kwa faida ya nani. Napia anajua kwa undani kabisa ni kwa nini mh Tundu Antiphas Lissu aliumizwa mguu wa kulia ila kwa makusudi anataka kuupotosha umma na kuwafanya watanzania ni wajinga na wavivu wa kufikiri
Mbaya zaidi Mwita Waitara pia kamtuhumu driva wa lisu kuwa ndio muhusika mkuu kwa shambulio LA Lisu

Kwa faida ya wengine ni kwamba baada ya Lisu kuona watu #wasiojulikana wameshuika kwenye gari huku wameshika silaha za moto Lisu alikilaza kiti na KULALA KWA TUMBO na hiyo ndio ikawa salama yake. sasa tumuulize huyu mnafiki mwta waitara aliyejiondoa ufahamu mtu akilala kwa tumbo kwenye kiti cha mbele cha abiria mguu wa kulia utakuwa upande gani?
Itawezekana vipi Lisu aliyeumizwa amtetee adui yake aliyetaka kumuuwa?
Watanzania tuna uchungu mkubwa sana na kusikitishwa na shambulio la lisu anatokea mtu anatoa kauli za kejeli na kebehi kwenye maumivu na mateso ya mtu.. Mtu huyo lazima tutamlaani kwa nguvu zetu zote na kwa uwezo wetu wote
Kuhama chama ni utashi na uamuzi wa mtu binafsi kwa hilo hatuwezi mlaumu lakini pale anapotumia tamaa zake binafsi kupotosha umma tutasema na kumlaani kwa sauti ya juu
Njaa na tamaa yako Bw Waitara isikufanye ufikirie kwa tumbo badala ya kichwa
Mungu ibariki Tanzania........
Mkuria Waitara njaa Kali usidhani CCM ni chama cha Wapika majungu! CCM INA watu makini na wanakuchora tu unavyobwabwaja pumba na chuki zako dhidi ya Mbowe. Hata usingejiunga huko tena kuwaletea hasara tayari wako imara. Sidhani mtu kama were unaweza hata kupewa Ukatibu kata. I wish wale wa Kule Tarime waliompiga Mtikila jiwe la mdomo wangekuwepo.
 
Hivi kweli Sub machine gun mbili angepona?!
Unaambiwa walikua wanarusha ovyoovyo,arafu ni Mungu tu aliamua kumnusuru lisu.Kwa matukio ya uvamizi ukisikia mtu anakuambia walilaza kiti arafu akalala kifudifudi lazima ustaajabu kdg.Hili tukio limevunja record za dunia kwa kutumika risasi nyingi na kumuacha mlengwa akiwa hai.
 
Achaneni na huyo aliyepungukiwa.
 
Unaambiwa walikua wanarusha ovyoovyo,arafu ni Mungu tu aliamua kumnusuru lisu.Kwa matukio ya uvamizi ukisikia mtu anakuambia walilaza kiti arafu akalala kifudifudi lazima ustaajabu kdg.Hili tukio limevunja record za dunia kwa kutumika risasi nyingi na kumuacha mlengwa akiwa hai.
Sasa inakuwaje dereva anatoka bila mkwaruzo wa risasi.
 
Yani Jamaa anaongea vitu vya ajabu kiasi kwamba hata CCM watamkataa na watamlaghai Kwa kiwango kikubwa sn.
Kajitoa ufahamu si kidogo,Ila Mungu anamwona.Itakuwa kila siku trillion 1 inaingia kwny account yake.


Poleni watumishi fedha zinatumika ktk kuwanunua hawa matapeli wa siasa badala ya kujali maslahi yenu fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii ambayo inawakandamiza.
 
Sasa kwani akisema hayo anaongopa?

Si ilikuwa hivyo au mna jipya la kutaka kutudanganya..

Kazi ya ndani ya chadema hiyo labda hata anahusika kwa jinsi anavyoendelea kupayuka ovyo huko aliko majuu.

Dereva wake anakua yote na bastora aliishika pia.. lazima.. na wakuu wenu wanajua zaidi.. msituletee hya malizaneni huko mshitakiane mfungwe

Unaongea ka hayawani kwenye Siku zako.
 
Sasa inakuwaje dereva anatoka bila mkwaruzo wa risasi.
Dereva baada ya kulaza kiti cha lisu, akashuka kujificha chini ya gari.Jitaidi uwe unajenga picha ya haya maelezo
 
Back
Top Bottom