Mwita Waitara kukumbwa na yaliyomkuta Wassira

Kwa kadri ya imani ya Wakurya , NI AIBU KUBWA SANA KWA MWANAUME WA KIKURYA KUSHINDWA NA MWANAMKE KATIKA JAMBO LOLOTE , Tangu Mzee Wassira ashindwe kwenye kinyang'anyiro cha ubunge na Dada Easter Bulaya amejificha chini ya uvungu wa kitanda , taarifa zinadokeza kwamba sehemu pekee anayojitahidi kwenda ni kwenye clinic yake ya kisukari kilichompata baada ya kushindwa ubunge , hii ni kwa vile madaktari walimuonya kwamba asipohudhuria hiyo clinic atakufa .

Jimbo la Ukonga ambalo ni kama Tarime ya DSM kutokana na kukaliwa na Wakurya wengi , wakazi wake ambao wengi ni wakulima , wafugaji wa kuku na askari wastaafu wamejiapiza hasa baada ya Chadema kumteua mgombea Mwanamke , wamejiapiza kumtosa Msaliti Waitara ( ALIYEKIMBIA CCM NA KUPOKELEWA CHADEMA BAADA YA KUKATAA KUMPIKIA CHAI EMMANUEL NCHIMBI ALIYEKUWA MWENYEKITI WA UVCCM , kumbuka kwamba waitara aliajiriwa kuwa katibu Mhutasi wa Nchimbi ) na kuhakikisha kwamba Mgombea wa chadema ambaye ni mwanamke anashinda kwa kishindo .

Njia pekee ya waitara kuwa kiongozi ni kuteuliwa kama Chalamila
Mkuu kama buyungu walipelekwa 400 unadhani hapa dar watakuwa wangapi?
 
Hakuna sehemu CCM inaweza shinda kwa uhalali, yani hata uchukue mchanga vs mbunge yoyote wa CCM katika jimbo lolote lile, kura zikihesabiwa kwa haki mchanga unashinda.

CCM wameishiwa mbinu wapo mwishoni kabisa, mda si mrefu tunaingia msituni tunairudisha nchi katika utawala wa sheria.
Labda msitu wa manyoya ya sehemu za siri!
 
Mara ya mwanzo nilikuwa nasikitika sana chadema kushiriki hizi chaguzi, lakini ule wa buyungu umenipa picha umuhimu wa chadema kushiriki hizi chaguzi fake, inasidia kuwaambiaa ukweli wananchi juu ya serikali yao na kuonyesha kuwa chadema bado baadhi ya watanzania wana imani nayo. Hawa mabalozi watusaidie tu kuwasema hawa wezi ccm mwisho wa siku wataona aibu kwa kuanikwa mabaya yao.
Labda makaburu, unatoaje taarifa za uongo tena sehemu ambako hukuwa na mwakilishi, unasubiria umbea wa mbowe!
 
y
Kwa kadri ya imani ya Wakurya , NI AIBU KUBWA SANA KWA MWANAUME WA KIKURYA KUSHINDWA NA MWANAMKE KATIKA JAMBO LOLOTE , Tangu Mzee Wassira ashindwe kwenye kinyang'anyiro cha ubunge na Dada Easter Bulaya amejificha chini ya uvungu wa kitanda , taarifa zinadokeza kwamba sehemu pekee anayojitahidi kwenda ni kwenye clinic yake ya kisukari kilichompata baada ya kushindwa ubunge , hii ni kwa vile madaktari walimuonya kwamba asipohudhuria hiyo clinic atakufa .

Jimbo la Ukonga ambalo ni kama Tarime ya DSM kutokana na kukaliwa na Wakurya wengi , wakazi wake ambao wengi ni wakulima , wafugaji wa kuku na askari wastaafu wamejiapiza hasa baada ya Chadema kumteua mgombea Mwanamke , wamejiapiza kumtosa Msaliti Waitara ( ALIYEKIMBIA CCM NA KUPOKELEWA CHADEMA BAADA YA KUKATAA KUMPIKIA CHAI EMMANUEL NCHIMBI ALIYEKUWA MWENYEKITI WA UVCCM , kumbuka kwamba waitara aliajiriwa kuwa katibu Mhutasi wa Nchimbi ) na kuhakikisha kwamba Mgombea wa chadema ambaye ni mwanamke anashinda kwa kishindo .

Njia pekee ya waitara kuwa kiongozi ni kuteuliwa kama Chalamila[/QUOTE

Tunacho hitaji ni Uchaguzi Huru na wa Haki
Tunacho hitaji ni Uchaguzi Huru na wa Haki
 
Mara ya mwanzo nilikuwa nasikitika sana chadema kushiriki hizi chaguzi, lakini ule wa buyungu umenipa picha umuhimu wa chadema kushiriki hizi chaguzi fake, inasidia kuwaambiaa ukweli wananchi juu ya serikali yao na kuonyesha kuwa chadema bado baadhi ya watanzania wana imani nayo. Hawa mabalozi watusaidie tu kuwasema hawa wezi ccm mwisho wa siku wataona aibu kwa kuanikwa mabaya yao.
Umebaki peke yako cdm
 
Back
Top Bottom