johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,997
- 142,016
Hawa ndio Wabunge wa Chadema waliounga mkono Juhudi na kuhamia CCM na Ubunge wao tayari kuwa Manaibu Waziri
Rais Samia bila hiyana na kwa Upendo aliamua kuendelea nao
Sema wameanza kumuangusha na Yeye hana namna zaidi ya kuwapumzisha
Waitara...... OUT
Gekui.......... OUT
Who next?
Mlale Unono 😀😀🔥
Rais Samia bila hiyana na kwa Upendo aliamua kuendelea nao
Sema wameanza kumuangusha na Yeye hana namna zaidi ya kuwapumzisha
Waitara...... OUT
Gekui.......... OUT
Who next?
Mlale Unono 😀😀🔥