Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
- Thread starter
- #21
Unakumbuka kampeni aliyoifanya Waitara kuivuruga Chadema huko Tarime kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020? Nini kilifanyika jibu unalo.Kila uchaguzi? Tarime miaka yote ni ngome ya upinzani tokea miaka ya 90 hilo lipo wazi.... Hilo jimbo CCM walibeba 2010 na kelele zikawa nyingi sana ila 2015 likagawanywa na bado yakabebwa na upinzani na halmashauri ikabebwa.
So hata 2025 yatarudi tu CHADEMA maadam uchaguzi utakua fair walau kma 2015 na 2010!
Ni mpumbavu tu anayeweza kuamini majimbo yote yaliichagua CCM hiko kitu hakipo duniani kote hata Mandela na umaarufu wote ule alishinda kwa 60% pekee na bado makaburu yakazoa viti zaidi ya 80!! Demokrasia ni two way traffic
Ni kweli Tarime ilikuwa ngome ya Chadema, lakini baada ya Wangwe kufariki nguvu imekwisha kabisa, na Waitara ndio alikuja kumalizia kabisa kabla ya uchaguzi mkuu 2020.
Kama watu wameikubali Ccm kuna ugumu gani wasichague majimbo yote mawili, acha kupotosha watu.
Usilete mfano wa uchaguzi wa South Africa ambao kura mpaka leo hugawanyika kwa kuangalia rangi na ukabila. Kwa jimbo kama Western Cape panga pangua lazima National Party wapate kura nyingi. Weka mifano inayorandana na uhalisia.
Unadhani Tarime ya mwaka 2010 ndio ileile? Chadema ya mwaka 2010 ndio ileile?